Afrika inajulikana kwa umasikini lakini watu wengi hawaelewi ni kwanini Afika ni masikini sana. Wengi wanafikiria rushwa na nguvu za nje zimesababisha umasikini wa Afrika.
Nguvu kubwa za nje zilisababisha haya kuanzia karne ya 14, Nchi za Magharibi na Ufalme wa Ottoman