Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
- Thread starter
-
- #21
Mkuu anzisha binafis naona inalipa ila iwe uswahilin kwawapenda kuangalia muvie au season mm nilianza na desktop yenye 2ram na hhd 500gb sasa nina desktop yenye 6ram na 6TB kwahiyo dogo anapigakaz vizuri mambo yanaenda nimejenga vyumba 2 kupitia hiyo mishe hii yote imefanyika baada ya miaka3 nadogo mishe zake zinakwenda
Bob pak wako vizuri wanayo mpaka bajaj ya deilvery.Anzisha nakushauri uwe na computer ambazo ni very powerfull kama 2 au tatu, external hard disks za kutosha kuweka movie, uwe na internet router na bandle la kutosha & provider mzuri mwenye internet yenye speed (kwa ajili ya ku download movies) pia kama mtaji unao kodi ofisi ambayo utaiweka vizuri na kuvutia wateja, na zaidi kuwa na kama laki 2 hivi ya kwenda kununua movie ambazo ni latest kwa wanaouza ili mwanzo wako uwe mzuri kiasi mtu akija kuulizia movie asikose
Ama unaeeza kuanza na hicho ulichonacho ukakuwa taratibu...all the best katika biashara yako mkuu, mimi kila weekend lazima niache 10,000/= kwa wale jamaa wanajiita bob paak movies
Aisee kumbe inalipaa eehe
Laptop yangu imekufa Kioo boss...Hii biashara ningeifanya walahi...!![emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Sana, haswa ukiwa sehemu nzuri. Pia soma wateja wako wanataka nini ili ucheze kotekote.
Maana kuna wanaotaka zilizotafsiriwa na wasiotaka hizo.
Ukiweza ununue flash na memory cards uwe nazo hapo. Cd sio kihiiivyo nowdays.Nimenunua dvd empty 50 kwa 16,000/
Sure,wanaokuja na Flash wanawekewa.Ukiweza ununue flash na memory cards uwe nazo hapo. Cd sio kihiiivyo nowdays.
Naombeni kujua muvi(hasa zilizotafsiriwa ) zinauzwa Wapi kwa hapa darAnzisha nakushauri uwe na computer ambazo ni very powerfull kama 2 au tatu, external hard disks za kutosha kuweka movie, uwe na internet router na bandle la kutosha & provider mzuri mwenye internet yenye speed (kwa ajili ya ku download movies) pia kama mtaji unao kodi ofisi ambayo utaiweka vizuri na kuvutia wateja, na zaidi kuwa na kama laki 2 hivi ya kwenda kununua movie ambazo ni latest kwa wanaouza ili mwanzo wako uwe mzuri kiasi mtu akija kuulizia movie asikose
Ama unaeeza kuanza na hicho ulichonacho ukakuwa taratibu...all the best katika biashara yako mkuu, mimi kila weekend lazima niache 10,000/= kwa wale jamaa wanajiita bob paak movies
Nilipoona jina lako la kati haikunipa shida sana kuelewa ulichoandika.Achana na wazo la hiyo biashara.