Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Hii biashara nlingiaga kichwa kichwa nlikula hasara kubwa sana angekuwa mtu mwingine angekufilia mbali na pressure, Sema Mimi nli base kwenye uvuvi jongoo bahari.....
Ila ukijipanga uvuvi unalipa.....
Sema tu Kazi hizi Zina wenyeweeeee
Ova
Mamy vp Bro, mishe dah busy sn bro fanya tumeet japo kdg tu basi.
Vipi vilikukwamisha Mkuu Mrangi? Wizi wa wavuvi au unpredictability ya mavuno?Hii biashara nlingiaga kichwa kichwa nlikula hasara kubwa sana angekuwa mtu mwingine angekufilia mbali na pressure, Sema Mimi nli base kwenye uvuvi jongoo bahari.....
Ila ukijipanga uvuvi unalipa.....
Sema tu Kazi hizi Zina wenyeweeeee
Ova
1)jongoo serikali ilikuwa haitoi vibali
Ilikuwa magumashi
2)upatikanaji ulikuwa mdg ila wanunuzi nlikuwa nao wa moto
3)sikuwa na uzoefu na mambo haya ya uvuvi nlinunua boti 2 na mashine endira hp 15 na hp 9.9 nkaingia kazini totaly
Maana wanunuzi nlikuwa nao
Wakati ule mzee baba wazir wa uvuvi kna operation moja ilifanyika nchi nzima kwenye maziwa na bahari waliwatumia navy kwenye kamata kamata mm ilinikumbaaa hko mafia
Mpk Leo sitaki hata kusikia
Ova
Mpya ziko juuMkuu unaonekana mzoefu kidogo kwenye hizi mambo, embu nisaidie kujua bei ya boti na engine haswa Yamaha
Mpya ziko juu
Ila used Yamaha endura hp 9 hadi 15
Ukiwa na mln 7,8 unapata
Ila jaribu kwenda feri pale Kuna workshop
Ya engen za boti utapata idea
Ova
Unaweza pia kwenda sleep wayShukran mkuu