ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Habari wadau;
Kwa wanofahamu kuhusu hii biashara ya insurance Agency ningependa kujua;
Taratibu za kufuata kabla ya kuanzisha
Kodi zake huko TRA
Gharama ya Leseni
Kiasi cha mtaji
Jinsi faida inavyopatikana
Na Lolote ambalo lafaa kunisaidia kuielewa
Asante
Kwa wanofahamu kuhusu hii biashara ya insurance Agency ningependa kujua;
Taratibu za kufuata kabla ya kuanzisha
Kodi zake huko TRA
Gharama ya Leseni
Kiasi cha mtaji
Jinsi faida inavyopatikana
Na Lolote ambalo lafaa kunisaidia kuielewa
Asante