Biashara ya Uwakala wa Bima

Biashara ya Uwakala wa Bima

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,154
Reaction score
4,184
Habari wadau;
Kwa wanofahamu kuhusu hii biashara ya insurance Agency ningependa kujua;

Taratibu za kufuata kabla ya kuanzisha
Kodi zake huko TRA
Gharama ya Leseni
Kiasi cha mtaji
Jinsi faida inavyopatikana
Na Lolote ambalo lafaa kunisaidia kuielewa

Asante
 
Back
Top Bottom