Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

Kuna jamaa mmoja CRDB pekee yake wanamlipa kamisheni ya 4m
 
Hakuna cha ndumba, ni uzembe, tamaa na ujinga. Watu wengi huibiwa kindezi halafu wanajifanya madawa.
 
Ushauri; usianzishe biashara kwa kutegeme watu mnaofahamiana
 
Muhimu ni aina ya operater
 
Ni kama kazi nyinginezo tu ukizubaa hutaona faida ni lazima ukomae haswa
 
Hiyo biashara mpendwa inahitaji umakini wa hali ya juu inautapeli wa aina nyingi mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…