Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

Kwann vibanda kibao vya mawakala wakati faida ndogo sana.?????
Dah swali gumu kidogo, lakini ukiangalia vibanda vingi utakuta ni wadada ndio wamiliki wa biashara, sina hakika kwa hawa wa uwakala ila wakati mwingine kina dada wanaweza kudumu kwenye biashara zenye faida ndogo kutokana na 'support' za wenza wao na ile dhana ya wanaume kwamba 'mtu' wangu ajishughulishe asikae idle akajiingiza kwenye 'mambo' ya hovyo.
 
Pia nimegundua watu wengi huwa hawafanyi analysis kabla ya kuingia kwenye business, wengi huiga tu kwa kuona fulani anafanya.

Mfano, watu wengi anapotoa pesa kama mteja kwenye let's say M-pesa kiasi cha laki 1 na kukatwa 3,650/= anahisi pesa yote ile inaenda kwa wakala, kisha anaangalia movement ya wateja... anaona jamaa anapiga pesa hatari [emoji23][emoji23]

Ila kiuhalisia katika ile 3,650/= ya kutolea, wakala anabaki na tshs. 460/= na hapo bado haijakatwa kodi 10%. Sasa ndio hizo uzidundulize hadi mwisho wa mwezi uje utoe gharama ya kulipa operator(s), hujalipa kodi ya pango, umeme, ulinzi nk. unabaki na kiasi kidogo sana kwa kweli.
Hell no[emoji134][emoji134][emoji134]

460/= TAX/ LEVY EXCLUSIVE???

C'amon guys[emoji849]
 
Kama ni hivi biashara hii ni nzuri kwa sehemu kama sokon inalipa.ila kama ninkweli anayosema huyo wa comment ya juu kwamba muamala wa milion moja unapata 460 basi hii biashara ni taka taka.
Zaidi ya takataka, namuona rafiki yangu kaikomalia nikajua mambo safi
 
Mimi nahis napingana na wanao Sema faida ni ndogo kwa sababu Kuna wakala Ana tigo pesa, mpesa na Airtell money ila kwa mwezi anapiga laki 4 vipi wale wenye mpaka branch za bank?

Mimi kuna jamaa yangu kwa mwezi inagonga 2na nusu mpaka Tatu na nusu Milion
 
Mimi nahis napingana na wanao Sema faida ni ndogo kwa sababu Kuna wakala Ana tigo pesa, mpesa na Airtell money ila kwa mwezi anapiga laki 4 vipi wale wenye mpaka branch za bank???

Mimi Kuna jamaa yangu kwa mwezi inagonga 2na nusu mpaka Tatu na nusu Milion
Inategemea na kias Chako Cha mtaji pamoja na mzunguko wa wateja wako siyo utegemea kupata laki 3 na mtaji wako Ni laki 3 au nne hapo anayepata hyo laki 3 ujue amewekeza Zaid ya milion 2 Hadi 3
 
Yaani wanaweka ili kujihakikishia kwamba wewe wamekuacha na cash ili wanapo kuvamia wawe na uhakika cash unayo wasifanye kazi bure.

Mama.e sio poa. Watu wanakuja wana deposit M 5 zinaingia kwao na hao hao wanakuja kuzilamba tena....SMH

Aaah mtu aniibie hivi lazima nimrushie jini. Haha
 
Hii biashara nilishasemaga ni ya watu wavivu kufikiri! Kuna mtu alininanga ila nilikuwa nishampa ukweli!

Its useles ku risk million 10 kwa mwezi mzima kwa returns za 1.5M ambayo ni makadirio ya juu sana unaweza pata chini ya hapo! Kuna kupigwa risasi na sahizi Magufuli hayupo maana ujambazi utakuwa nje nje! Kuna chumaulete pia! Its surely a risky bet
Una imply uongozi wa mama Samia utakuwa weak kudhibiti uhalfu ?
 
Back
Top Bottom