Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

Kwann vibanda kibao vya mawakala wakati faida ndogo sana.?????
Dah swali gumu kidogo, lakini ukiangalia vibanda vingi utakuta ni wadada ndio wamiliki wa biashara, sina hakika kwa hawa wa uwakala ila wakati mwingine kina dada wanaweza kudumu kwenye biashara zenye faida ndogo kutokana na 'support' za wenza wao na ile dhana ya wanaume kwamba 'mtu' wangu ajishughulishe asikae idle akajiingiza kwenye 'mambo' ya hovyo.
 
Hell no[emoji134][emoji134][emoji134]

460/= TAX/ LEVY EXCLUSIVE???

C'amon guys[emoji849]
 
Kama ni hivi biashara hii ni nzuri kwa sehemu kama sokon inalipa.ila kama ninkweli anayosema huyo wa comment ya juu kwamba muamala wa milion moja unapata 460 basi hii biashara ni taka taka.
Zaidi ya takataka, namuona rafiki yangu kaikomalia nikajua mambo safi
 
Mimi nahis napingana na wanao Sema faida ni ndogo kwa sababu Kuna wakala Ana tigo pesa, mpesa na Airtell money ila kwa mwezi anapiga laki 4 vipi wale wenye mpaka branch za bank?

Mimi kuna jamaa yangu kwa mwezi inagonga 2na nusu mpaka Tatu na nusu Milion
 
Inategemea na kias Chako Cha mtaji pamoja na mzunguko wa wateja wako siyo utegemea kupata laki 3 na mtaji wako Ni laki 3 au nne hapo anayepata hyo laki 3 ujue amewekeza Zaid ya milion 2 Hadi 3
 
Yaani wanaweka ili kujihakikishia kwamba wewe wamekuacha na cash ili wanapo kuvamia wawe na uhakika cash unayo wasifanye kazi bure.

Mama.e sio poa. Watu wanakuja wana deposit M 5 zinaingia kwao na hao hao wanakuja kuzilamba tena....SMH

Aaah mtu aniibie hivi lazima nimrushie jini. Haha
 
Una imply uongozi wa mama Samia utakuwa weak kudhibiti uhalfu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…