Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

TANGAZO

Kwa wahitaji wa laini za uwakala zenye majina yao natengengeza hizo kwa muda muchache inakamilika ndani ya masaa 24.

Laini zinatengenezwa ni kama zifuatazo:

NB malipo ni baada ya kazi[emoji736][emoji736]
Nijuze laini ni shilingi ngapi unatengeneza Mpesa
 
Hakuna biashara humo....wakala mkuu anapata pesa wengine tunahangaika tu..hii biashara inatoa hela ya kula tu
 
Tupatie option nyingine pendwa ndugu.Juzi nimepigwa 760k baada ya wife kunasa ndoano ya matapeli
 
Tupatie option nyingine pendwa ndugu.Juzi nimepigwa 760k baada ya wife kunasa ndoano ya matapeli
Tushirikishane mkuu ilikuwaje! Mimi ndiyo nakaribia kuingia rasmi kwenye hii biashara. Na kiukweli hao matapeli na majambazi wanaogopesha kwa kiasi chake.
 
Tushirikishane mkuu ilikuwaje! Mimi ndiyo nakaribia kuingia rasmi kwenye hii biashara. Na kiukweli hao matapeli na majambazi wanaogopesha kwa kiasi chake.
Ni hatari mkuu.aliambiwa wanafanya maboresho kwa ajili ya ku boost commission then wakaanza kumwelekeza bonyeza hapa then pale kustuka kawatumia hela tote.
All in all utapeli ni mwingi Sana mkuu ila huu wa kupigiwa simu ni WA kizembe kabisa na mm nilishaelekeza wasifanye chochote ila ndio hivyo akanasa.
Kama ndio unaanza elekeza mtu wako kwenye simu ya wakala ikipigiwa Kama sio namna 100 asipokee katu. Na akipokea inabd ujulishwe kabla hajafanya chochote.
Bado wale Sasa wanaokujaga kwenye kibanda na sms feki,pesa feki au pesa pungufu wakala ukikiuka kanuni moja tu unakuta umetapeliwa hela tote.
Nb.Epuka katu katu simu ya wakala kushikwana mteja wa aina yoyote.Hili zingatia mno ndio chanzo Cha wengi kulizwa
 
Sawa unaingiza kias gani kwa mwezi
 
Unaweza kumlaumu wife bure, hawa jamaa sometimes wanatumia hadi nguvu za giza.

Wanaweza kuja physically wakatupia dawa ya kumpumbaza kisha wanapiga simu, hapo atasahau maelekezo na maonyo yote uliyompa awali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…