Biashara ya viatu vya mtumba

Biashara ya viatu vya mtumba

CHRISSIE255

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2020
Posts
221
Reaction score
180
Wapendwa, poleni na majukumu.

Kuna jambo naomba mnisaidie kuhusu biashara ya viatu vya mtumba, hususani akina mama.

Kuanzisha hiyo biashara ni vitu gani muhimu napaswa kuwa navyo?

Na je, kati ya Arusha na Mwanza ni wapi naweza kupata mzigo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom