nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 288
- 230
Nataka nifanye hii biashara kwenye mikoa kati ya Dar es Salaam, Arusha au Mwanza. Kuna yoyote mwenye ujuzi juu wa hii biashara?
Naomba atujuze
Naomba atujuze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujuzi kivipi? haueleweki mbona?
cha kufanya mkuu wewe nunua hvyo vitenge vyako toka kigoma kisha anza kuvisupply hiyo mikoa uliyoitaja
hakuna cha ujuzi wowote hapo maana sijakuelewa unataka ujuzi wa nini kwenye biashara kma hiyo
ujuzi wa kukopesha au upi??