Anthony Kabeho
Member
- Apr 12, 2018
- 71
- 33
Habarini wanajamvi,
Heshima kubwa kwenu maana mmekuwa msaada Sana kwa vijana katika harakati za kujikomboa na umaskini na kuacha utegemezi wa ajira baada ya kumaliza vyuo maana umekuwa kizungumkuti Sana.
Nipo hapa mbele yenu nikiuliza na kuomba mwenye connection au uelewa wa jinsi ya kupata mzigo wa mayeboyebo kutoka kiwandani Malawi maana yamekuwa na soko ukilinganisha na ya Tanzania.
Nataka kujiweka katika biashara hii naombeni mawazo ushauri na usaidizi jinsi ya kupata mzigo directly kutoka Malawi, nimeambatanisha mfano wa yeboyebo hizo hapo chini.
Kwa habari nzuri waweza nicheki DM au kwa email williamzdetony@gmail.com View attachment 2448158
Heshima kubwa kwenu maana mmekuwa msaada Sana kwa vijana katika harakati za kujikomboa na umaskini na kuacha utegemezi wa ajira baada ya kumaliza vyuo maana umekuwa kizungumkuti Sana.
Nipo hapa mbele yenu nikiuliza na kuomba mwenye connection au uelewa wa jinsi ya kupata mzigo wa mayeboyebo kutoka kiwandani Malawi maana yamekuwa na soko ukilinganisha na ya Tanzania.
Nataka kujiweka katika biashara hii naombeni mawazo ushauri na usaidizi jinsi ya kupata mzigo directly kutoka Malawi, nimeambatanisha mfano wa yeboyebo hizo hapo chini.
Kwa habari nzuri waweza nicheki DM au kwa email williamzdetony@gmail.com View attachment 2448158