Boss nimeoziona mali.
Machimbo yote mm nayajua. Unataka ukauzie wapiBoss nimeoziona mali.
Lakn mbona unafurahi?
Nipe location za bei ya chini maana hiyo ndo ya kuuzia na vipi kama unataka kuchua jumla ?
Soko Iringa mkuuMachimbo yote mm nayajua. Unataka ukauzie wapi
Na wewe muhitaj au?Soko Iringa mkuu
Nichek inbox although tutadiskas hapa kwa faid ya wengineBoss nimeoziona mali.
Lakn mbona unafurahi?
Nipe location za bei ya chini maana hiyo ndo ya kuuzia na vipi kama unataka kuchua jumla ?
Umechanganya ID mkuu 😁Soko Iringa mkuu
Hajui huyu I'd ya pili huwa hatufungui thread tuliyoanzisha kwa I'd nyingineUmechanganya ID mkuu 😁
😀hapana nafahamu nachofanya n am free with it as siibi wala kufanya baya lolote, niko na IDs mbili na natumia yeyote nayojisikia wakat huo,JF since 2012 leo hii nishindwe handle minor stuffs kama hizi?Umechanganya ID mkuu 😁
hapana nafahamu nachofanya n am free with it as siibi wala kufanya baya lolote, niko na IDs mbili na natumia yeyote nayojisikia wakat huo,JF since 2012 leo hii nishindwe handle minor stuffs kama hizi?Back to topic YES nahitaji piaHajui huyu I'd ya pili huwa hatufungui thread tuliyoanzisha kwa I'd nyingine
Anhaaa let's talk.. hizo yebo hapo zina bei tayari na zipo sehem nyingine nyingi tu. Hizi zinauzwa Kiroba chenye pea 60hapana nafahamu nachofanya n am free with it as siibi wala kufanya baya lolote, niko na IDs mbili na natumia yeyote nayojisikia wakat huo,JF since 2012 leo hii nishindwe handle minor stuffs kama hizi?Back to topic YES nahitaji pia
😹😹😹😹😀hapana nafahamu nachofanya n am free with it as siibi wala kufanya baya lolote, niko na IDs mbili na natumia yeyote nayojisikia wakat huo,JF since 2012 leo hii nishindwe handle minor stuffs kama hizi?
Mtaji wa laki 8 ni standard nzur japo sio mkubwa kwa kuangalia kigezo cha varieties au upate mtu wa kuchanga naeNina wazo la kuanza kufanya biashara ya yeboyebo ninaomba msaada wenu wadau kwa anaejua machimbo na namna gani nifanye hii biashara nifanikiwe.
Pia niwe na mtaji kiasi gani ili kufanikiwa katika hii biashara.
😂ile salt hapo mwiso nikahisi binadamu mmoja hivi😹😹😹😹
ndani size ngapi to ngapi? Na bei hii kiroba ni tsh ngapi?Anhaaa let's talk.. hizo yebo hapo zina bei tayari na zipo sehem nyingine nyingi tu. Hizi zinauzwa Kiroba chenye pea 60
Hizo bei zilizowekwa hapo juu ni bei za kiroba. Size inarange yani kiroba kina mgawanyo kuna wakubwa na viroba vya kiatu kilekile cha watotondani size ngapi to ngapi? Na bei hii kiroba ni tsh ngapi?
Umeona hizo yebo hapo juu nimeweka?.ndani size ngapi to ngapi? Na bei hii kiroba ni tsh ngapi?