Biashara ya yeboyebo

Biashara ya yeboyebo

😂
20240922_111636.jpg
20240922_105058.jpg
20240922_105043.jpg
20240922_105039.jpg
20240922_105027.jpg
20240922_105019.jpg
20240930_120413.jpg
20240930_122120.jpg
 
Umechanganya ID mkuu 😁
😀hapana nafahamu nachofanya n am free with it as siibi wala kufanya baya lolote, niko na IDs mbili na natumia yeyote nayojisikia wakat huo,JF since 2012 leo hii nishindwe handle minor stuffs kama hizi?
 
Hajui huyu I'd ya pili huwa hatufungui thread tuliyoanzisha kwa I'd nyingine
hapana nafahamu nachofanya n am free with it as siibi wala kufanya baya lolote, niko na IDs mbili na natumia yeyote nayojisikia wakat huo,JF since 2012 leo hii nishindwe handle minor stuffs kama hizi?Back to topic YES nahitaji pia
 
hapana nafahamu nachofanya n am free with it as siibi wala kufanya baya lolote, niko na IDs mbili na natumia yeyote nayojisikia wakat huo,JF since 2012 leo hii nishindwe handle minor stuffs kama hizi?Back to topic YES nahitaji pia
Anhaaa let's talk.. hizo yebo hapo zina bei tayari na zipo sehem nyingine nyingi tu. Hizi zinauzwa Kiroba chenye pea 60
 
Nina wazo la kuanza kufanya biashara ya yeboyebo ninaomba msaada wenu wadau kwa anaejua machimbo na namna gani nifanye hii biashara nifanikiwe.

Pia niwe na mtaji kiasi gani ili kufanikiwa katika hii biashara.
Mtaji wa laki 8 ni standard nzur japo sio mkubwa kwa kuangalia kigezo cha varieties au upate mtu wa kuchanga nae
 
Back
Top Bottom