Biashara ya zao la kahawa

Biashara ya zao la kahawa

Wernery G Kapinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
376
Reaction score
127
Kwa wale wanaotaka kununua zao la KAHAWA ya Maganda, muda ni sasa. Kipimo ni Dumla Kwa Sh. 4,000/=

Dumla inatoa kilo moja mpaka kilo mmss..wm,oja na robo ikiwa Kavu. Bei ya kilo Kwa kahawa Kavu ni 7,000/= na hiyo ni bei ya mwaka Jana. Mwaka huu unatarajiwa kuwa zaidi ya hapo.

Mimi nimeshaanza. Tunaweza kuwasiliana.

Ukishanunia kahawa mbichi unakoboa, kisha unaanika. Gharama za kukoboa ni wewe kukubaliana na wenye mashine. Zaidi utafute MTU mzoefu na mkubaliane. Kila la kheri
 
Kwa wale wanaotaka kununua zao la KAHAWA ya Maganda, muda ni sasa. Kipimo ni Dumla Kwa Sh. 4,000/=

Dumla inatoa kilo moja mpaka kilo mmss..wm,oja na robo ikiwa Kavu. Bei ya kilo Kwa kahawa Kavu ni 7,000/= na hiyo ni bei ya mwaka Jana. Mwaka huu unatarajiwa kuwa zaidi ya hapo.

Mimi nimeshaanza. Tunaweza kuwasiliana.

Ukishanunia kahawa mbichi unakoboa, kisha unaanika. Gharama za kukoboa ni wewe kukubaliana na wenye mashine. Zaidi utafute MTU mzoefu na mkubaliane. Kila la kheri
Uko wapi mkuu? nataka nianze hii biashara
 
Kwa wale wanaotaka kununua zao la KAHAWA ya Maganda, muda ni sasa. Kipimo ni Dumla Kwa Sh. 4,000/=

Dumla inatoa kilo moja mpaka kilo mmss..wm,oja na robo ikiwa Kavu. Bei ya kilo Kwa kahawa Kavu ni 7,000/= na hiyo ni bei ya mwaka Jana. Mwaka huu unatarajiwa kuwa zaidi ya hapo.

Mimi nimeshaanza. Tunaweza kuwasiliana.

Ukishanunia kahawa mbichi unakoboa, kisha unaanika. Gharama za kukoboa ni wewe kukubaliana na wenye mashine. Zaidi utafute MTU mzoefu na mkubaliane. Kila la kheri
Boss bado unafanya biashara ya kahawa
 
Nipe number boss...ugonile ulinkafu
Nitakutumia. Ila mavuno Kwa mwaka Huu ni kuanzia mwezi September...! Na bei ya mwaka Huu tutaanza kuijua mwezi July. Ni biashara nzuri..! Wanunuzi WA mwanzo mwanzo wananufaika Sana. Kwa sababu wananunua kahawa Kwa bei ndogo koz watu wanakuwa na Shida na pesa.
 
Back
Top Bottom