Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Tuko mpamoja mkuu...elimu ya form 6 inatosha sana......ila walitutangulia ndio wametudaganya......Maamuzi ya elimu yako wanamuachia mtu mmoja akitaka anakufelisha...Mimi sionagi nilifata nini University...
AiseeMimi nimesoma chuo mwaka wa kwanza, ilibidi mwezi wa 10 niingie mwaka wa pili lakini nimekimbia chuo kwanza baada ya kuona ni ujinga nilichotarajia kukipata chuo ni tofauti kabisa, yaani nilijikuta nakariri tu, maana niliyosoma semester iliyopita siyakumbuki ila ukiangalia matokeo nimeperform vizuri, nikakaa nikatafakari nikaona kwa elimu niliyofikia inanitosha kabisa, na nikiendelea na chuo nitakua ni mjinga wa mwisho.
Nimeamua nitafute mil 2 niingie porini kulima lakini sio kupoteza Muda wangu na pesa chuo, mimi mzazi wangu ana uwezo wa kunilipia kila kitu chuo kwa wakati na boom nimepata lakini Nimeamua kuachana na chuo,
Nakushauri fanya biashara ukienda chuo baadae utakuja kujuta sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaotembelea STK wamesomea udereva sio uchumi.Aisee! Very touching, biashara yangu na mtaji wangu ndo university.
ila napatamani nikiamini nikihitimu nitaanza kutembelea STK
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu sio kufika chuo kikuu mkubwa, unaweza usiwe na cheti hata kimoja lakini ukawa na elimu nzuri na kubwa kuliko mwenye cheti cha PhD inategemea wewe unaitafsiri vipi ElimuHuwezi linganisha elimu na hela...ukifanya hivyo utakuwa kichaaa....nenda shule elimu ni Mali kuliko hiyo laki 2 kwa siku
[emoji3] [emoji3] [emoji3] aisee!Wanaotembelea STK wamesomea udereva sio uchumi.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] aisee!Wanaotembelea STK wamesomea udereva sio uchumi.