Biashara yenye wateja wa uhakika

Biashara yenye wateja wa uhakika

Eternal

Member
Joined
Mar 4, 2023
Posts
6
Reaction score
21
Wakuu amani na iwe nanyi. Nahitaji mtu wa kushirikiana naye katika biashara. Awe na mtaji wa fedha kwa ajili ya kununulia bidhaa mimi ninao wateja na connection ya kuupata mzigo. Mahali pa kuupata mzigo ni popote pale ndani ya Tanzania.

Kwanini natafuta partner? Sababu ni kuwa nimeyumba mtaji sina kwa sasa ila nina oda za wateja na wanahitaji mzigo.

Tutazunguka na wewe mwenye pesa ndio utanunua mzigo mwenyewe na tutakutana na mnunuzi na wewe ndo utapokea pesa yako, utahusika na pesa zako mwenyewe na tutaandikishana kisheria.

Faida: utapata kipato kama faida, utaweza kujifunza biashara kwa vitendo, utapata connection na wateja wa nje ya nchi, ni biashara yenye risk ndogo kulingana na mtindo ninao ufanya (yaani tunachukua mzigo baada ya kupata oda), pia ni cash sales no credit sale.
 
Wakuu amani na iwe nanyi. Nahitaji mtu wa kushirikiana naye katika biashara. Awe na mtaji wa fedha kwa ajili ya kununulia bidhaa mimi ninao wateja na connection ya kuupata mzigo. Mahali pa kuupata mzigo ni popote pale ndani ya Tanzania.

Kwanini natafuta partner? Sababu ni kuwa nimeyumba mtaji sina kwa sasa ila nina oda za wateja na wanahitaji mzigo.

Tutazunguka na wewe mwenye pesa ndio utanunua mzigo mwenyewe na tutakutana na mnunuzi na wewe ndo utapokea pesa yako, utahusika na pesa zako mwenyewe na tutaandikishana kisheria.

Faida: utapata kipato kama faida, utaweza kujifunza biashara kwa vitendo, utapata connection na wateja wa nje ya nchi, ni biashara yenye risk ndogo kulingana na mtindo ninao ufanya (yaani tunachukua mzigo baada ya kupata oda), pia ni cash sales no credit sale.
wanakuja
 
hivi unaweza kumpa huyu mipango ambayo kama sio yeye utaweza kuwa huwahakika wizi kura mpaka sasa
IMG_0612.jpeg
 
Haujasema ni biashara gani mkuu?, mtaji kiasi gani?

usalama wa pesa ukoje?
Kwasasa nina oda za kuuza korosho nyeupe, wateja ni wa uhakika.
Usalama wa pesa zako ni kuwa wewe ndo utahusika kwanzia kununua hadi kuuza ila tutakuwa pamoja kwenye kila hatua.

Faida kwangu nitapata gawio la asilimia hamsini ya faida itayokuwa imepatikana baada ya kutoa matumizi yote, pia nitakuwa nimewatunza wateja wangu. Nawe utapata faida ya asilimia hamsini pia utakuwa umepata connection ya wateja na pia utakuwa umepata ujuzi wa biashara. Korosho bei nayochukulia ni elfu 16 kwa kilo oda niliyonayo ni 1.3 tons. Tunaweza anza na kilo 100 tu kwa safari ya kwanza.

Bidhaa ninazouza ni nyingi sio mazao tu.
 
Kwasasa nina oda za kuuza korosho nyeupe, wateja ni wa uhakika.
Usalama wa pesa zako ni kuwa wewe ndo utahusika kwanzia kununua hadi kuuza ila tutakuwa pamoja kwenye kila hatua.

Faida kwangu nitapata gawio la asilimia hamsini ya faida itayokuwa imepatikana baada ya kutoa matumizi yote, pia nitakuwa nimewatunza wateja wangu. Nawe utapata faida ya asilimia hamsini pia utakuwa umepata connection ya wateja na pia utakuwa umepata ujuzi wa biashara. Korosho bei nayochukulia ni elfu 16 kwa kilo oda niliyonayo ni 1.3 tons. Tunaweza anza na kilo 100 tu kwa safari ya kwanza.

Bidhaa ninazouza ni nyingi sio mazao tu.
kwanini Ume lenga asilimia 50/50 mkuu, kwakuwa wewe ndio muhitaji unge enda 40/60 unge mshawishi mtu.

Kwani wateja ni wako na nahisi uki Pata mtaji lazima umkache muwekezaji wako.
 
kwanini Ume lenga asilimia 50/50 mkuu, kwakuwa wewe ndio muhitaji unge enda 40/60 unge mshawishi mtu.

Kwani wateja ni wako na nahisi uki Pata mtaji lazima umkache muwekezaji wako.
Ni swala la kukaa mezani na kukubaliana 40/60 inawezekana.

Pia kwenye swala la pesa ujanja ujanja huwa ni mwingi sana hasa kwa sisi wabongo hivyo swala la kuzungukana huko mbele linawezekana kwa pande zote mbili. Kufika mbali itategemea na uaminifu wa sote ila hatupaswi kuaminiana kabisa, cha msingi ni kuhakikisha kila mmoja anapata alichokitarajia kwa kila project.
 
Wakuu amani na iwe nanyi. Nahitaji mtu wa kushirikiana naye katika biashara. Awe na mtaji wa fedha kwa ajili ya kununulia bidhaa mimi ninao wateja na connection ya kuupata mzigo. Mahali pa kuupata mzigo ni popote pale ndani ya Tanzania.

Kwanini natafuta partner? Sababu ni kuwa nimeyumba mtaji sina kwa sasa ila nina oda za wateja na wanahitaji mzigo.

Tutazunguka na wewe mwenye pesa ndio utanunua mzigo mwenyewe na tutakutana na mnunuzi na wewe ndo utapokea pesa yako, utahusika na pesa zako mwenyewe na tutaandikishana kisheria.

Faida: utapata kipato kama faida, utaweza kujifunza biashara kwa vitendo, utapata connection na wateja wa nje ya nchi, ni biashara yenye risk ndogo kulingana na mtindo ninao ufanya (yaani tunachukua mzigo baada ya kupata oda), pia ni cash sales no credit sale.
Ukitaka biashara yenye wateja wa uhakika ni biashara ya mwendokasi tu. Tenda hao wateja wa mwendokasi wanalipia kabisa na risiti wanapewa lakini huduma hawapewi. Wanakaa vituoni hadi kwa saa 2 bila kupewa huduma wakati washalipia
 
Ukitaka biashara yenye wateja wa uhakika ni biashara ya mwendokasi tu. Tenda hao wateja wa mwendokasi wanalipia kabisa na risiti wanapewa lakini huduma hawapewi. Wanakaa vituoni hadi kwa saa 2 bila kupewa huduma wakati washalipia
😁😁 mkuu hao ni wa uhakika sababu tu hakuna mshindani ndo maana SP anakuwa na kiburi. Huduma mbovu lakini utaenda tu maana huna cha kufanya.
Lakini mimi ninayo izungumzia ni ile ambayo mteja atamleta mteja kulingana na huduma yako kwake, pia demand yake inakuwa ipo juu kuliko upatikanaji wake.
 
Mchanganuo wenyewe mbona wa kipigaji yaani mtaji wangu alafu faida tugawane 50/50
Mkuu biashara ni zaidi ya mtaji wa pesa, pesa ingekuwa kila kitu basi wafanyabiashara wote tungekuwa matajiri sana. Pesa pekee haitoshi kufanikisha biashara, hujui ni gharama gani nimetumia hadi kuwapata hao wateja, hujui ni kwa namna gani nimeweza kuaminika na hao wateja. Hujui ni kwa namna gani nimetafuta information kuhusiana na upatikanaji wa bidhaa. Hujui ni kiasi gani nimewekeza elimu kuhusu biashara husika.
 
Wakuu amani na iwe nanyi. Nahitaji mtu wa kushirikiana naye katika biashara. Awe na mtaji wa fedha kwa ajili ya kununulia bidhaa mimi ninao wateja na connection ya kuupata mzigo. Mahali pa kuupata mzigo ni popote pale ndani ya Tanzania.

Kwanini natafuta partner? Sababu ni kuwa nimeyumba mtaji sina kwa sasa ila nina oda za wateja na wanahitaji mzigo.

Tutazunguka na wewe mwenye pesa ndio utanunua mzigo mwenyewe na tutakutana na mnunuzi na wewe ndo utapokea pesa yako, utahusika na pesa zako mwenyewe na tutaandikishana kisheria.

Faida: utapata kipato kama faida, utaweza kujifunza biashara kwa vitendo, utapata connection na wateja wa nje ya nchi, ni biashara yenye risk ndogo kulingana na mtindo ninao ufanya (yaani tunachukua mzigo baada ya kupata oda), pia ni cash sales no credit sale.
tunasafirisha miraa au
 
Back
Top Bottom