Mtoto Tajiri
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 300
- 173
Habari wakuu! Nina wazo siku moja kwenda China au Thailand, ila nilitaka kujua hivi ukichukua mchele contena la futi 20 laweza kukugharimu bei gani hadi linafika bongo maana nimesikia kuwa wao wanauza kwa Tani, kuhusu China bado sijakuwa na idea, Nakaribisha wale wazoefu Please