hao ni watanzania wana asili ya nchi zingine.. ndio maana mtoa mada amesema why wahindi au wageni wanaweza huku wazawa... hatuwezi.
ushawai ona kampuni ya familia ya watanzania wenye asili ya tanzania . yaani weusi wanafanikiwa na family business
ushawai ona kampuni ya familia ya watanzania wenye asili ya tanzania . yaani weusi wanafanikiwa na family business
Mtia mada ninakupinga ninao mfano hai wa biashara ya familia issue Ni organisation structure na majukum
Mfano. Standard oil ya David na Albert rockerfellar American
Gsm group Africa ya gharib na said Saad Mohammed Tanzania
Motisun group ya shubhash na jitu Patel Tanzania
Bakhresa group of companies Salim bakhresa and sons Tanzania
METL YA Mohammed and his father's ghulam and azim dewj
Hao hawajui management useme hvyo
Sent using Jamii Forums mobile app