Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
DangaNonga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DangaNonga...
Unafahamu kwamba duniani hakuna jambo jipya ndo maana kuna innovations. U bring up the gaps from previous edition!!Hahahaha hii umeitoa facebook ukibisha sawa?ila nzuri ya kujadili but nishaiona ni copy and paste
8. Uchawa (chanzo kipya cha mapesa)1. Sembe
2. Utakatisha hela
3. Ukuwadi
4. Biashara watu
5. Utapeli
6. Mipango mjini
7. Udalali
Nk:
Mkuu hata mimi nimetafakari sana, mwishoni nika hitimisha wana shughuli nyingine za kuingiza kipatoKinondoni studio na sinza fremu ya chini ni million 1
Lakini unakuta duka Lina nguo 10 na ukiingia ndani full kiyoyozi na nje mwenye duka kapaki ndinga ya maana
Mimi uwa najiuliza Hawa uwa wanafanya biashara gani pale na wanawezaje kulipa Kodi!!?
Madini ya uraniumNdo kitu gani body fafanua
ngada na jichoKinondoni studio na sinza fremu ya chini ni million 1
Lakini unakuta duka Lina nguo 10 na ukiingia ndani full kiyoyozi na nje mwenye duka kapaki ndinga ya maana
Mimi uwa najiuliza Hawa uwa wanafanya biashara gani pale na wanawezaje kulipa Kodi!!?
Hata huko X sio origin yake, hao wote wametoa SnapchatNa huko X/Twitter siyo original wameitoa badoo na tinder
Kua uyaone,duka gereshaKinondoni studio na sinza fremu ya chini ni million 1
Lakini unakuta duka Lina nguo 10 na ukiingia ndani full kiyoyozi na nje mwenye duka kapaki ndinga ya maana
Mimi uwa najiuliza Hawa uwa wanafanya biashara gani pale na wanawezaje kulipa Kodi!!?
Uongooooo,huu ni uongooooComment nyingi ni negative sijuh wanauza unga sijuh biashara haramu uongo mtupu kwenye biashara iko iv kwa sasa biashara nyingi ni online ko kufungua frame ni kuonyesha tu guarantee kwa wateja wako ila kuuza unaweza ukawa unauza mizigo ya watu kkoo kupitia online ila unafanya hii onekana ni ya dukani kwako..