National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Bitcoin na Forex ni real.. tatizo watu ni wajinga wanapigwa.. nipo kwenye forex zaidi ya 7 yeasrBitcoin ni ya kweli lakini mitaani watu walitumia jina kupiga. Mwaka 2011 nilikuwa naona matangazo yake lakini nilipuuza. Ningewekeza leo hii ningekuwa nacheka.
Mkuu naomba shule kiongoziBitcoin na Forex ni real.. tatizo watu ni wajinga wanapigwa.. nipo kwenye forex zaidi ya 7 yeasr
Duh inatia huruma,kiinua mgongo chote alikipeleka huko?
Hili Bomu limeshalipuka Bukoba huko watu wameanza kudai, sasa wamehamia Zanzibar na wanawakomba walokole zaidi maana wanajua walokole akili zao wanazijua wenyeweVanilla international.
JATU PLC wakati inaanza imenikuta kwenye group WhatsApp ndio ya Moto nikapita kushoto hiviWahuniiiii.....Paaaah!
Hao jamaa wa Kalynda ndio wahuni kishenzi niliingia mpaka kwenye website yao nikajisajiri nikaona ndani walivyoweka matako wale wezi pumbavu zaoForex na Bitcoin kivipi ?
nimecheka sana kuona Kalynda 😅😅😅
Alliance Global bado wanawapiga wajinga wa kutoka KIJIJINI hukosijawahi kamtika hapo. alafu na bado zipo mtaa, na kuna wazalendo balaa.
na hii ndo ilinianzaga 2018.Alliance Global bado wanawapiga wajinga wa kutoka KIJIJINI huko
Ilikula kichwa changuDECI ilikua noma sana. Ilisomba Walokole kibao maana ilikua inavimishwa Makanisani
Ilisomba kweli na wengi walikuwa wachungaji waliwahi fursa wakawa wanavuna tu ..watu wakaondoa pesa kwenye taaisis rasmi za fedha na kupanda...weeeeDECI ilikua noma sana. Ilisomba Walokole kibao maana ilikua inavimishwa Makanisani
58. Faida Investment