Biashara za Mtandao (Network Marketing) zilizowahi kuwaliza Watanzania

Technic ya network marketing kupata distributors ni nzuri sana

Natamani nipate hii mbwinu nihamishie kwenye bidhaa zangu

Any help ?
 
58. Faida Investment

Daah walinipiga 30 hao maana nili nilipewa karatasi ina majina matano nikaenda Bank kudeposite 50 nami nikapewa katatasi 5 zenye majina yangu ,nikafanikiwa kupata wawili tu nikarudisha 20 ,thalatha ikaenda....Since then sijawahi kuingia tena kwenye hayo madude hata ilivyokuja DECI ,Forever wengi waliiingia lakini mimi sijaingia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…