Biashara za Mtandao (Network Marketing) zilizowahi kuwaliza Watanzania

Kuna mnyama mmoja wa kuitwa AGAM alimnyoosha bro wangu mmoja.Akawa analala ndani tu mpaka pressure manina.Aliwaunga wanandugu wakawa wanatembea na password kama mazombi.Bi mkubwa wangu nae alikuwemo alinyooshwa M 7.Ilikuwa kivumbi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]aiseee
 
Jamaniii,hiyo number 9, miaka furani nakumbuka Eunice Kahama hukooo,na rafiki yake Rose wakauzauzaaaaa,na ka kaujanja ujanja lakini wakakutana na mjanja baba lao. Sijui hata walipo leo.
 
Umaskini na upumbavu ndio chanzo cha haya yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…