Wadau mpo powa!
Hivi karibuni kumeibuka biashara nyingi sana za mitandaoni ambazo zimekuwa zikivutia sana kwa kujinadi kwao. Mfano wa biashara hizo ni D9, Amazon traders, Elnet Africa, Helping hand,rifaro africa, dollarplane, bitclub advantage etc.
Kwa kifupi zimekuwa ni biashara zenye ushawishi mkubwa sana kiasi kwamba watanzania wengi wamekuwa wakijiunga nikiwepo mimi. Shida iliyopo biashara hizo zimekuwa zikiibuka na kufa haraka sana kabla ya kukamilisha mafanikio unayoaidiwa muda wa kujiunga.
Kibaya zaidi zimekuwa zikitumia sana pesa ya nje yaani dollar na bitcoin. Je huu sio utakatishaji wa pesa ya Tanzania? Kuna watu wameuza hadi nyumba na kujiunga na mwisho wa siku wameambiwa network imehakiwa je huu sio uharamia mwingine kwa watz? Ni kweli kwamba serikali haiwezi kuingilia kati kwenye hizi biashara?
Wadau nawakilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi karibuni kumeibuka biashara nyingi sana za mitandaoni ambazo zimekuwa zikivutia sana kwa kujinadi kwao. Mfano wa biashara hizo ni D9, Amazon traders, Elnet Africa, Helping hand,rifaro africa, dollarplane, bitclub advantage etc.
Kwa kifupi zimekuwa ni biashara zenye ushawishi mkubwa sana kiasi kwamba watanzania wengi wamekuwa wakijiunga nikiwepo mimi. Shida iliyopo biashara hizo zimekuwa zikiibuka na kufa haraka sana kabla ya kukamilisha mafanikio unayoaidiwa muda wa kujiunga.
Kibaya zaidi zimekuwa zikitumia sana pesa ya nje yaani dollar na bitcoin. Je huu sio utakatishaji wa pesa ya Tanzania? Kuna watu wameuza hadi nyumba na kujiunga na mwisho wa siku wameambiwa network imehakiwa je huu sio uharamia mwingine kwa watz? Ni kweli kwamba serikali haiwezi kuingilia kati kwenye hizi biashara?
Wadau nawakilisha
Sent using Jamii Forums mobile app