Muyagha
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 234
- 201
Cheka cheka na nyani utavuna
mabua.
*Umemuingiza mama kwenye biashara akichota noti kumpa mwanae akale bata utamfanya nini?
*Business is a separate entity, huwezi toka nyumbani na kwenda kwenye biashara yako kuchukua pesa itakavyo,
* Kinachotoka kwenye biashara kwenda kwa mwenye biashara ni faida sio mauzo,
*Tengeneza mfumo madhubuti wa udhibiti (strong internal control mechanism) utakao ondoa mianya yote ya kukomba pesa toka kwenye biashara.....
* Acha kucheka cheka na nyani... Watu wanahangaika kupata mitaji miaka nenda rudi wewe unauchezea utakuja JUTA.
Sent using Jamii Forums mobile app
mabua.
*Umemuingiza mama kwenye biashara akichota noti kumpa mwanae akale bata utamfanya nini?
*Business is a separate entity, huwezi toka nyumbani na kwenda kwenye biashara yako kuchukua pesa itakavyo,
* Kinachotoka kwenye biashara kwenda kwa mwenye biashara ni faida sio mauzo,
*Tengeneza mfumo madhubuti wa udhibiti (strong internal control mechanism) utakao ondoa mianya yote ya kukomba pesa toka kwenye biashara.....
* Acha kucheka cheka na nyani... Watu wanahangaika kupata mitaji miaka nenda rudi wewe unauchezea utakuja JUTA.
Sent using Jamii Forums mobile app