) Watu wanahangaika kupata mitaji miaka nenda rudi wewe unauchezea utakuja JUTA
Sent using Jamii Forums mobile app
NakaziaTripp, Haoahao ndugu ukifirisika watakuwa was Kwanza kukucheka.....dhibiti biashara hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nakumbuka wakati napitia nyaraka za kihasibu ilikuwa inajulikana kama "Entity Concept"Nakupa ushauri wa bure huu kijana, biashara/kampuni ambayo itafanikiwa na kudumu ni ile ambayo haitakua na muingiliana na matatizo yako au ya familia yako, wewe na biashara yako ni vitu viwili tofauti. Ukiweza kuweka mpaka wa biashara zako na matatizo yako binafsi basi lazima itafanikiwa vinginevyo subiri kufirisika tu. Ulishawahi Jiuliza kwa nini biashara/kampuni za watu wngi masikini hufirisika???
Kiukweli suala la kumtoa mtu kisa kampa pesa ndugu yako ni utata