mijey
Member
- Mar 16, 2023
- 16
- 15
Jamani Mimi ninako ishi nimeona biashara nyingi lakini nikafuatilia biashara ya kujumlisha vinywaji nikaona inafaida pia shida Ni mtaji tu kwaiyo yeyote mwenye mtaji ambaye amekosa biashara ya kufanya achunguze biashara hiyo
Kama ita mfaa aifanye Kama haita mfaa aachane nayo Cha kwanza kumbuka kuchunguza biashara unayo chagua usikurupike biashara kisa wamesema au nimesema inafaida kwasababu siwezi jua mazingira yako Yanaendeje na biashara hiyo
Kama ita mfaa aifanye Kama haita mfaa aachane nayo Cha kwanza kumbuka kuchunguza biashara unayo chagua usikurupike biashara kisa wamesema au nimesema inafaida kwasababu siwezi jua mazingira yako Yanaendeje na biashara hiyo