jops gachi
New Member
- May 31, 2024
- 1
- 1
Ngoja wataalamu zaid waje ila pia ushawahi kufanya business yoyote na ni biashara gan labda unapenda kufanya??Habari wana JF,biashara gani inafaida ya nzuri kwa mtaji wa million moja?
Ni heri ungenyamaza kuliko hiki ulichokiandikaUchaguzi unakuja mwakani hapo biashara Kwa hiyo 1 M ni politics tu ugombee uongozi.
Mitano tena Kwa mama,
Nchi inafunguka hata watu wanatafuta business ideas,
They are coming for more ideas
uza mitungi ya gesiHabari wana JF,biashara gani inafaida ya nzuri kwa mtaji wa million moja?
Kamanda sikuhizi sioni kabisa zile habari zako!uza mitungi ya gesi
Zipi mkuu?Kamanda sikuhizi sioni kabisa zile habari zako!
Njoo tuuze majeneza kakaHabari wana JF,biashara gani inafaida ya nzuri kwa mtaji wa million moja?
Asigombee bali amchangie mama fomu ili apate mitano tena, kisha asubiri uteuzi!Uchaguzi unakuja mwakani hapo biashara Kwa hiyo 1 M ni politics tu ugombee uongozi.
Mitano tena Kwa mama,
Nchi inafunguka hata watu wanatafuta business ideas,
They are coming for more ideas
Zile za macelebrity mkuuZipi mkuu?
Nimewaachia nafasi kidogo vijana .Zile za macelebrity mkuu
Kila biashara inafaida nzuri ni wewe jinsi utakavyoipangiliaHabari wana JF,biashara gani inafaida ya nzuri kwa mtaji wa million moja?
Kuwa seriously sawa mzee wa chaiuza mitungi ya gesi
Mkuu una uzoefu kuhusu hii mishe? Naomba mchanganuo wake kama itawezekana.uza mitungi ya gesi
Zipo mishe anazoweza kufanya kwa iyo pesa sana sana kama yupo mkoani maana kule kupata location ya biashara sio ghali kama dar. Tatizo jamaa hajasema yupo wapiTafuta kazi kwanza ya kufanya .
Ukipata ndo uje kuomba ushauri ufanye biashara gani...;
Maana kwa hiyo bajeti ya 1M