gpblaze
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 304
- 14
Wajasiriamali naombeni ushauri kwenye kunishauri aina ya biashara ya mtaji mdogo wa tsh laki 2. Mtendaji ni mama mtoto wangu.yuko flexible kiasi anaweza kufanya biashara za aina tofauti.
Mkoa ni dar es salaam
Maeneo ya biashara ni karibu na sinza.au kama naweza kushauriwa kuhusu eneo nitafurahi pia.
Mkoa ni dar es salaam
Maeneo ya biashara ni karibu na sinza.au kama naweza kushauriwa kuhusu eneo nitafurahi pia.