Biashata ya kubeti

Biashata ya kubeti

masagati

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
492
Reaction score
357
salaam wana jf.
Naomba usaidizi wa hii biashara ya kubeti nataka kuifanya ila cjui pa kuanzia naomba Mwenye kujua anisaidia .
Natanguliza shukrani kwa wana jf wote
Not: kuwa wakala
 
salaam wana jf.
Naomba usaidizi wa hii biashara ya kubeti nataka kuifanya ila cjui pa kuanzia naomba Mwenye kujua anisaidia .
Natanguliza shukrani kwa wana jf wote
Itakuwa ni vema kama uta edit bandiko lako ili ueleweke.

Unataka kubet
Unataka kufungua kampuni ya kubeti
Unataka kuwa wakala au

Edit bandiko lako wengi tukuelewe.
 
Itakuwa ni vema kama uta edit bandiko lako ili ueleweke.

Unataka kubet
Unataka kufungua kampuni ya kubeti
Unataka kuwa wakala au

Edit bandiko lako wengi tukuelewe.

Asante mkuu:
Lengo kuwa wakala na siyo vinginevyo
Nashukuru nimesha anza na pesa mingi napiga
 
tapatalk_1481834371461-jpeg.446688
 
Back
Top Bottom