OK. Baki hivyo hivyo au rudi tena shule πWeeeeeee...sijapoteza aiss...nimejua kusoma na kutuma meseji!Ila topic ya uzazi ndo inanisumbua!
Ishu ni watoto je hana?Ina maana hana watoto? Kwamba alikuwa na umbo la kawaida au umbo la ajabu? Mtu anaweza kuzaliwa ana uke wa ajabu, tundu tu la kutolea mkojo
Sawa Ila ngoja nishughurikie Kwanza hili la matundu mawiliOK. Baki hivyo hivyo au rudi tena shule [emoji3]
SawaSawa Ila ngoja nishughurikie Kwanza hili la matundu mawili
Hakuna ulazima kama ameridhika na hali yakeMbona sio kitu cha ajabu icho,tatizo mshaona kumake love ni lazima
Hata kama una mpenzi mmoja lakini kama sio mumeo/mkeo ni zinaa hiyo mnafanya au uzinziWoi.
Ukiwa na mpenzi mmoja zinaa utapaje?
Ana matatizo ya akili
Mabinti wa sikuhizi wana washkaji wengi kaka. Atamalizaje week sasaWiki???
Ni kweli.Hata kama una mpenzi mmoja lakini kama sio mumeo/mkeo ni zinaa hiyo mnafanya au uzinzi
Mwisho wa siku ni maamuzi yake alijichaguliaNi kweli.
Angekuwa na huyo mmoja hamna mahali pamesema anatakiwa kuwa na wawili.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Motoni unakaa VIP[emoji16]