Bibi lakini kigori,....!!!!

Bibi lakini kigori,....!!!!

Kisoda2

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2008
Posts
2,475
Reaction score
745
Bibi mmoja aliolewa mara 3,mmume wa 4 akamkuta bado bikra.
mume akamuuliza kulikoni mambo haya??
Bibi akajibu tena kwa kujiamini:-
Mume wa 1 alikua muuza ICE CREAM,hivyo alikua ananinyonya tu.
Wa 2 mpiga picha,nae kazi ilikua ni kunipigapicha tu.
Wa 3 alikua anafanya kazi bank,naye alikuwa akihesabu SHANGA zangu tu!
Mume aksema basi;mimi fundi BOMBA kijasho kitakutoka mwaka huu,....!!
 
hahahahahahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hi fundi bomba kazi ya nini vile?😉
 
fundi bomba ana lay pipes, sio?
 
Fundi bomba eeeeeeee huwa anapitisha bomba sehemu nyingine mmmmmm vichakani,kwenyematope naaa na kwenye mashimo,bibi kazi unayoooooooooooooo
 
Fundi bomba ni yule anayetengeneza bomba zilizoharibika.......
 
Back
Top Bottom