Tujenge nchi jamani. Uchaguzi umepita. Haya majeraha inabidi tuyaache yapone. Watu wanahasira na wengine wana furaha. Si vyema kumshambulia mtu mwenye huzuni. Kama unafuraha, shereheka kimya kimya. Tujenge nchi na tulete hoja zenye kutuunganisha.
Mi nina rafiki zangu niliwaondoa mpaka fb, wananiomba msamaha. Ila mimi sijawasamehe maana walinitukana sana, wengine mpaka kusema eti nina mapepo. Ila mi nachoona mzee mamvi alitumia nguvu za giza.
Maana kuna watu kama akina baergu, lisu na msigwa na akina lema ambao nilikuwa nawaamini ni wapiganaji ila wapi bwana, mamvi aliwashika akili wakawa wanafurahi.