Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Migwenhe,Ndebhelwa Tabora!Wewe raia wa nchi gani?
Ni kwel mna upeo nyinyi wagogo? Huo upeo kwa nn MSI apply kweny maisha omba omba wakubwa nyiesisi dodoma tuliichinja ukawa kisawasawa ni watu wemye upeo wa hali ya juu sana
Ww mlala hoi ambaye hat ela ya paracetamol hauna ndo wa kuonewa huruma, yule sio mwenzio ana lipwa na kulindwa kama wazir Mkuu mstaafu,,sasa ww unaye nuka shka?Jamani naomba tumuhurumie huyu mzee inasema hasara alioingia katika kuusaka uraisi tangu 2005 hadi 2015 ni takriban Bil 200, ameuza ng`ombe zaidi ya 2000 na baadhi ya Vijanja vyake, ni hasara kubwa mno! anaugulia mengi mwenzenu