Bibi Titi Mohamed na Lucy Lameck

Bibi Titi Mohamed na Lucy Lameck

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
BIBI TITI MOHAMED NA LUCY LAMECK
Kushoto ni Bibi Titi Mohamed na kulia ni Lucy Lameck wakiwa China na Mao Tse Tung.

Hii picha kaniletea dada yangu mmoja ambae aliona nimeweka picha ya safari ya kwanza ya Nyerere UNO 1955 na katika picha hiyo yuko Bibi Titi na Lucy Lameck lakini nimesema sina jina la msichana mdogo aliyekuwa kasimama pembeni ya Nyerere.

Dada yangu akaniandikia akaniambia kuwa huyo ni Lucy Lameck.

Nikamuomba ithibati ya taarifa hii kuwa huyo msichana ni Lucy Lameck.

Jibu lake lilinisisimua sana.
Aliniandikia: "Ni Lucy Lameck nina uhakika bila kupepesa."

Kuna mtu alipata kuniandikia kunieleza hilo lakini sikumuamini.

Nikamuuliza dada yangu kutaka uhakika zaidi kipi kinachomthibitishia yeye kuwa huyo msichana ni Lucy Lameck?

Soma jibu aliloniandikia: "Ninamtambua sana.

Nilikuwa karibu nae toka 1967 na hata alivyokuwa anatibiwa London alipenda kufikia kwangu...

Tafuta picha zake zingine utaona kama kutakuwa na tofauti.

Hata style ya vazi lake ni yeye..."

Kwa miaka mingi nilikuwa katika picha hiyo ya pili natafuta majina ya wanawake hawa wawili - jina la huyu msichana na huyo mwanamke mwingine aliyesimama katikati ya Bibi Titi na Julius Nyerere.

Kwangu mimi kuwa huyu bint mdogo ni Lucy Lameck hii ni "Eureka."

Mwaka wa 1955 akina mama hawa wawili walipokuwa Uwanja wa Ndege wa Dar-es-Salaam wakimsindikiza Julius Nyerere safari yake ya kwanza UNO wakati huo wakipigania uhuru wa Tanganyika hawakujua historia ilikuwa imewawekea kitu kipi katika maisha yao.

Hawakujua kuwa wakiwa pamoja na viongozi wakubwa watakuja kupiga picha na Chairman Mao Peking na nchi wanayotoka haitakuwa Tanganyika bali Tanzania.

1726762814847.jpeg

1726762879447.jpeg

1726762917181.jpeg

1726762946669.jpeg
 
Kuna alie
BIBI TITI MOHAMED NA LUCY LAMECK
Kushoto ni Bibi Titi Mohamed na kulia ni Lucy Lameck wakiwa China na Mao Tse Tung.

Hii picha kaniletea dada yangu mmoja ambae aliona nimeweka picha ya safari ya kwanza ya Nyerere UNO 1955 na katika picha hiyo yuko Bibi Titi na Lucy Lameck lakini nimesema sina jina la msichana mdogo aliyekuwa kasimama pembeni ya Nyerere.

Dada yangu akaniandikia akaniambia kuwa huyo ni Lucy Lameck.
Nikamuomba ithibati ya taarifa hii kuwa huyo msichana ni Lucy Lameck.

Jibu lake lilinisisimua sana.
Aliniandikia: "Ni Lucy Lameck nina uhakika bila kupepesa."

Kuna mtu alipata kuniandikia kunieleza hilo lakini sikumuamini.

Nikamuuliza dada yangu kutaka uhakika zaidi kipi kinachomthibitishia yeye kuwa huyo msichana ni Lucy Lameck?

Soma jibu aliloniandikia: "Ninamtambua sana.

Nilikuwa karibu nae toka 1967 na hata alivyokuwa anatibiwa London alipenda kufikia kwangu...

Tafuta picha zake zingine utaona kama kutakuwa na tofauti.
Hata style ya vazi lake ni yeye..."

Kwa miaka mingi nilikuwa katika picha hiyo ya pili natafuta majina ya wanawake hawa wawili - jina la huyu msichana na huyo mwanamke mwingine aliyesimama katikati ya Bibi Titi na Julius Nyerere.

Kwangu mimi kuwa huyu bint mdogo ni Lucy Lameck hii ni "Eureka."

Mwaka wa 1955 akina mama hawa wawili walipokuwa Uwanja wa Ndege wa Dar-es-Salaam wakimsindikiza Julius Nyerere safari yake ya kwanza UNO wakati huo wakipigania uhuru wa Tanganyika hawakujua historia ilikuwa imewawekea kitu kipi katika maisha yao.

Hawakujua kuwa wakiwa pamoja na viongozi wakubwa watakuja kupiga picha na Chairman Mao Peking na nchi wanayotoka haitakuwa Tanganyika bali Tanzania.

Hai mpaka sasa kweli??
 
Ulitaka usikie anaitwa Hawa binti Salum
Mdukuzi,

Kipi kinachosababisha wewe ughadhibike?

Historia ndiyo iliyotupa majina hayo:

Hawa bint Maftah, Tatu bint Mzee, Halima Selengia, Halima bint Khamis, Bibi Titi Mohamed, Chiku bint Said Kisusa, Amina Kinabo, Mama bint Maalim, Nyange bint Chande, Zarula bint Abdulrahman, Fatma bint Matola, Amina Feruzi...

Sasa isingeshangaza kama ingekuwa Hawa bint Salum.
 
BIBI TITI MOHAMED NA LUCY LAMECK
Kushoto ni Bibi Titi Mohamed na kulia ni Lucy Lameck wakiwa China na Mao Tse Tung.

Hii picha kaniletea dada yangu mmoja ambae aliona nimeweka picha ya safari ya kwanza ya Nyerere UNO 1955 na katika picha hiyo yuko Bibi Titi na Lucy Lameck lakini nimesema sina jina la msichana mdogo aliyekuwa kasimama pembeni ya Nyerere.

Dada yangu akaniandikia akaniambia kuwa huyo ni Lucy Lameck.

Nikamuomba ithibati ya taarifa hii kuwa huyo msichana ni Lucy Lameck.

Jibu lake lilinisisimua sana.
Aliniandikia: "Ni Lucy Lameck nina uhakika bila kupepesa."

Kuna mtu alipata kuniandikia kunieleza hilo lakini sikumuamini.

Nikamuuliza dada yangu kutaka uhakika zaidi kipi kinachomthibitishia yeye kuwa huyo msichana ni Lucy Lameck?

Soma jibu aliloniandikia: "Ninamtambua sana.

Nilikuwa karibu nae toka 1967 na hata alivyokuwa anatibiwa London alipenda kufikia kwangu...

Tafuta picha zake zingine utaona kama kutakuwa na tofauti.

Hata style ya vazi lake ni yeye..."

Kwa miaka mingi nilikuwa katika picha hiyo ya pili natafuta majina ya wanawake hawa wawili - jina la huyu msichana na huyo mwanamke mwingine aliyesimama katikati ya Bibi Titi na Julius Nyerere.

Kwangu mimi kuwa huyu bint mdogo ni Lucy Lameck hii ni "Eureka."

Mwaka wa 1955 akina mama hawa wawili walipokuwa Uwanja wa Ndege wa Dar-es-Salaam wakimsindikiza Julius Nyerere safari yake ya kwanza UNO wakati huo wakipigania uhuru wa Tanganyika hawakujua historia ilikuwa imewawekea kitu kipi katika maisha yao.

Hawakujua kuwa wakiwa pamoja na viongozi wakubwa watakuja kupiga picha na Chairman Mao Peking na nchi wanayotoka haitakuwa Tanganyika bali Tanzania.

Ukisoma kitabu cha Nyerere hiki cha mwishoni kilichoandikwa na Saida Yahya Othman, Ng’wanza Kamata na Issa Shivji, utamjua zaidi Lucy Lameck na mambo yake.

Kuna wakati mzee mzima alitoka nyumbani bila walinzi wake, kila mmoja akawa na wasiwasi, maana hawajui aliko. Ilikuwa kama vile anatembea tembea tu nyumbani kwake baada ya kurudi nyumbani, ghafla akatoweka.

Walihaha kumsaka, hadi Dossa Aziz, akawashtua. Basi akawaambia, wala wasihangaike kumtafuta mzee mzima, atarudi tu, kwani alikuwa mahali na Lucy Lameck. Ndiyo wakaelewa sasa.

Ova
 
Mdukuzi,

Kipi kinachosababisha wewe ughadhibike?

Historia ndiyo iliyotupa majina hayo:

Hawa bint Maftah, Tatu bint Mzee, Halima Selengia, Halima bint Khamis, Bibi Titi Mohamed, Chiku bint Said Kisusa, Amina Kinabo, Mama bint Maalim, Nyange bint Chande, Zarula bint Abdulrahman, Fatma bint Matola, Amina Feruzi...

Sasa isingeshangaza kama ingekuwa Hawa bint Salum.
Point yangu ni kuwa ulitaka verification kisa ni Lucy ila angekuwa Hawa ungeridhia
 
Ukisoma kitabu cha Nyerere hiki cha mwishoni kilichoandikwa na Saida Yahya Othman, Ng’wanza Kamata na Issa Shivji, utamjua zaidi Lucy Lameck na mambo yake.

Kuna wakati mzee mzima alitoka nyumbani bila walinzi wake, kila mmoja akawa na wasiwasi, maana hawajui aliko. Ilikuwa kama vile anatembea tembea tu nyumbani kwake baada ya kurudi nyumbani, ghafla akatoweka.

Walihaha kumsaka, hadi Dossa Aziz, akawashtua. Basi akawaambia, wala wasihangaike kumtafuta mzee mzima, atarudi tu, kwani alikuwa mahali na Lucy Lameck. Ndiyo wakaelewa sasa.

Ova
Mdukuzi,
Inaelekea hujasoma hicho kitabu cha Nyerere (Nyerere Biography) na ikiwa umesoma basi umesahau ulichosoma.

Hilo ulilogusia hapo hayo uliyosema chanzo chake si Dossa Aziz bali ni Abbas Sykes.

Nitakuongezea kitu hapo.

Hata mimi waandishi hao uliowataja walipokuja kunihoji kuhusu Mwalimu waliniuiza kuhusu hilo.

Kasome kitabu hicho.

1727055770571.jpeg

Kulia Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman na Dr. Ngwaza Kamata
(Picha niliwapiga siku walipokuja kunihoji 2013)

1727056199782.jpeg

Kitabu kilipotoka Prof. Shivji na timu yake walinizawadia kitabu kwa mchango wangu​
 
Picha za kale zinafikirisha sana
Odense,
Hakika zinafikisha kupita kiasi picha za kale.

Mimi nina ozoefu mkubwa sana katika hilo kwani nina picha za harakati za kupigania uhuru ambazo si wengi wamepata kuziona.

Zaidi si kuwa nina picha peke yake bali nina picha zenye hadithi na historia kuhusu picha hizo na wahusika wake.

Angalia picha hii niliyopewa na rafiki yangu sasa marehemu Maulid ''Chubby'' Tosiri, mtoto wa Iddi Tosiri.

Baba yake Mzee Iddi Tosiri kadi yake ya TANU ni No. 25 na alihudhuria mkutano wa kwanza wa TANU Ukumbi wa Arnautoglo August, 1954:

1727056722972.jpeg

Julius Nyerere
(Picha kutoka Maktaba ya Iddi Tosiri)​
 
Ukisoma kitabu cha Nyerere hiki cha mwishoni kilichoandikwa na Saida Yahya Othman, Ng’wanza Kamata na Issa Shivji, utamjua zaidi Lucy Lameck na mambo yake.

Kuna wakati mzee mzima alitoka nyumbani bila walinzi wake, kila mmoja akawa na wasiwasi, maana hawajui aliko. Ilikuwa kama vile anatembea tembea tu nyumbani kwake baada ya kurudi nyumbani, ghafla akatoweka.

Walihaha kumsaka, hadi Dossa Aziz, akawashtua. Basi akawaambia, wala wasihangaike kumtafuta mzee mzima, atarudi tu, kwani alikuwa mahali na Lucy Lameck. Ndiyo wakaelewa sasa.

Ova
ILikuwa chakula ya babu sio?
 
Ni Lucy Lameck kweli, picha yake ninatafuta kwa simu siioni lakini niliiona mara ya kwanza hapo makumbusho ya Arusha declaration, sambamba na historia yake fupi....

1.Mwanamke wa kwanza kupata leseni ya kuendesha gari Tanganyika.

2. Lakini majuzi nilisikia moja ya mitaa huko ujerumani umeitwa kwa jina lake.
 
Ukisoma kitabu cha Nyerere hiki cha mwishoni kilichoandikwa na Saida Yahya Othman, Ng’wanza Kamata na Issa Shivji, utamjua zaidi Lucy Lameck na mambo yake.

Kuna wakati mzee mzima alitoka nyumbani bila walinzi wake, kila mmoja akawa na wasiwasi, maana hawajui aliko. Ilikuwa kama vile anatembea tembea tu nyumbani kwake baada ya kurudi nyumbani, ghafla akatoweka.

Walihaha kumsaka, hadi Dossa Aziz, akawashtua. Basi akawaambia, wala wasihangaike kumtafuta mzee mzima, atarudi tu, kwani alikuwa mahali na Lucy Lameck. Ndiyo wakaelewa sasa.

Ova
Hivi nakipataje hicho kitabu? Natamani kukisoma
 
Back
Top Bottom