Bibi Titi Mohammed: Historia, harakati na wasifu wake

We mleta thread umeanza udini wako! Huna lolote

Huo ndio upumbvu mlionao, mkiambiwa kweli mnajidai tunaleta udini, yaani nyinyi siku zote mnakuwa kama vile serikali ya marekani "mkisema nyinyi nisawa lakini wengine inakuwa noma" Huo uliolezwa ni ukweli mtupu lakini kwa vile alotajwa ni muislamu inkuwa hana uzito hata kama anastahiki kupewa haki yake.
Na ukweli ni kwamba Nyerere bila ya watu kama Bi Titi bint Mohammad asingeweza kufanya chochote. Hiyi Historia yenu mlipewa ya kughushi hayo ndio madhara yake mjomba JIFUNZE UELEWE ASILI YA TANGANYIKA.

Soma historia kaka ujifunze kuujua uhuru wa Tanganyika ulipatikana vp na ni akina nani walishiriki usiropoke na ujinga wako huo. Kama huko Tanganyika mnashindwa kuijua historia yenu vizuri basi njoo Zenji tukufunze mjomba.
 

Mkandara,
Hili swali ungeliekeleza kwa mwanahistoria wetu Mohammed Said. Yeye amejikita zaidi kuandika juu ya waanzilishi wa harakati za uhuru ambao historia ya kawaida imewasahau. Nina hakika atakuwa na habari za bwana Matola.
 


Wanajamii forums kuna mwanamke mmoja shupavu enzi za kupigania uhuru ambaye alikuwa bega kwa bega na Nyerere na kudiriki kuwanyooshea viledole vibosile waingereza kama Halima Mdee anavyowanyoshea vidole vibosile wa serikali na CCM wanaowanyang'anya ardhi wananchi na kujilimbikizia bila kuziendeleza.
  • Kwenye picha anaonekana nani anamfahamu?
  • Je, ni nyadhifa gani alishawahi kuzishika na alionyesha uwezo sawa kama alivyokuwa kipindi cha kupigania uhuru?
 
Mbona mnatudharau wazee na vijimaswali kama hivi? Ni wazi ulikuwa hujazaliwa enzi hizo! Haya, umeshajibiwa.
 
Mambo kama haya ndio yanawafanya watu wahoji mtu kutangazwa mwenye rehema. Ni vigumu sana mwanasiasa kuitwa mwenye rehema kama hutaki nitajie unayemjua.
 
http://4.bp.blogspot.com/-ViPKGxfvt...v5rjQdg/s1600/BIBI_TITI_MOHAMMED-1%5B1%5D.JPG Bibi Titi Mohammed (1926 - 5 Novemba, 2000) alikuwa ni mmoja wa wanawake wa kwanza kushika nafasi za ubunge na uwaziri nchini Tanzania.
Pia alikuwa kati ya wanawake wa kwanza kujiunga na harakati za kugombea uhuru wa Tanganyika.Mwaka 1969 Bibi Titi Mohammed alikamatwa na mwaka uliofuata alifikishwa mahakamani kwa kosa la kula njama ya kutaka kupindua Serikali. Katika kesi hiyo, Bibi Titi alikuwa ni mwanamke pekee katika washtakiwa 7.

Baada ya kesi hiyo kusikilizwa alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha. Hata hivyo, mwaka 1972 alisamehewa na Rais Julius Kambarage Nyerere.

Baada ya kutolewa Jela, Mohammed aliongoza maisha yake akiwa mpweke. Mume wake alimtelekeza wakati wa kesi, ushirika wake wakisiasa ukanyang'anywa, na marafiki zake wengi wakamlaani na kumtenga.
Mnamo mwaka wa 1991, wakati Tanzania ikisherekea miaka 30 ya Uhuru, Bibi Titi alionekana katika makaratasi ya chamatawalaCCM kama"Shujaa wa Kike Aliyepigania Uhuru".
Mnamo tar. 5 novemba 2000 Bibi Titi alifariki kwenye hospitali ya 'Net Care Hospital' ya mjini Johannesburg ambako alikuwa akitibiwa.
Moja kati ya barabara kubwa za jijini Dar es salaam imepewa jina la Bibi Titi kwa heshima ya mafaniko makubwa aliyoyafanya wakati wa mbio za kutafuta uhuru wa Mtanzania.mia
 
Mkono wake hata wa kwenye "umoja wa kina mama" hawamfikii.
 
Mbona huwa hatajwi kwenye list iliyo husika kuleta uhuru, au wanamhujumu?
 
Mbona huwa hatajwi kwenye list iliyo husika kuleta uhuru, au wanamhujumu?

ndo tusubili tuone kama watamtaja.hii nchi ni ya watu mkuu.wanatajana kwa kujuana na kupeana madegree.mia
 
Uhuru wetu tulioupata umechangiwa na watu mbali mbali, lakn mbona taarifa za weng wao n ngumu kupata?? Wadau kuna mwenye taarifa za harakati za Bibi titi mohamedi ktk kupigania uhuru?? Tujuzane!
 
Bwana mkubwa, barabara haiwezi kuitwa Bibi Titi sreet. Huo ulioutaja ni mtaa. Ile barabara inayoanzia pale CBE hadi Serena (sheraton ya zamani) inaitwa Bibi Titi road.
 
hv ni hatua gani zichukuliwe ktk soma la historia la nchi hii ili tuweze kuwatambua hawa wengine mana ktk kosoma kwangu kote kuhusu historia ya nchi hii nilimjua nyerere ktk kila jambo kumbe kuna wengine kibao hatuwafahamu na walijitoa kupigania uhuru wa nchi hii
 

Wangapi wapo hai hapo?
 
ukumbi wa wawa nazi kutaja wazee kibao..km Tambaza na wengine ambao in reality wameshakula kuliko hata wanajeshi wetu ktk vita ya kagera, kuliko hata akina Nyerere....

Mnayo kazi ndugu zangu....
 
Jamani kutumia nguvu na mali kujenga chama si hoja hasa pale unaposaliti malengo ya chama, chama ni kikundi cha watu wenye lengo moja, kwa chadema ni kuingia ikulu, mtu anapokiuka malengo si mwanachama,msaliti
 
Hebu tueleze kambona na bibi tti walisaliti nini siasa za TANU, Tatizo kubwa viongozi wa kiafrika hawa taki challenge. Sio, titi wala kambona tu, kwa taarifa yako wapo viongozi wengi wakati wa siasa za chama kimoja na wakati wa utawala wa mwl. nyerere walipinga siasa za chama kimoja na wakashauri mfumo wa vyama vingi ulo kuwepo kabla ya uhuru. hapo ndipo mwl. akaanza kuwaweka vizuizini viongozi waaandamizi miongoni mwao ni balozi kasaga tumbo. sasa tueleze bibi titi na kambona walikosea nini? siku zote ukiwa kiongozi usiogope changamoto
 
Usaliti ni usaliti tu, hata ukitumwa sokoni kufata chakula, hela ukazinywa bia, kambona na bibi titi walisaliti imani ya chama chao, mfumo wa chama kimoja,mazingira yaliruhusu kuitwa wasaliti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…