M.Kwidohya
Member
- Feb 18, 2013
- 61
- 7
Bibi wa miaka 50 ameanguka baada ya kusimama kwa muda mwingi akiwa anasubiri time yake ya kwenda kupiga kula alipofikishwa hospital alikuwa ameshaaga dunia.
Ni kitu gani tunajifunza hapo? Huyo bibi walishwndwa kumpisha ni utalatibu gani ambao wazee na walemavu wameekewa ni lazima tuwape vipaumbele, wote tuna haki sawa ya kupiga kura
Ni kitu gani tunajifunza hapo? Huyo bibi walishwndwa kumpisha ni utalatibu gani ambao wazee na walemavu wameekewa ni lazima tuwape vipaumbele, wote tuna haki sawa ya kupiga kura