zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,075
- 9,263
60+ .Uzee ni kuanzia umri gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
60+ .Uzee ni kuanzia umri gani?
Bibi wa miaka 50 ameanguka baada ya kusimama kwa muda mwingi akiwa anasubiri time yake ya kwenda kupiga kula alipofikishwa hospital alikuwa ameshaaga dunia.
Ni kitu gani tunajifunza hapo? Huyo bibi walishwndwa kumpisha ni utalatibu gani ambao wazee na walemavu wameekewa ni lazima tuwape vipaumbele, wote tuna haki sawa ya kupiga kula
Bibi wa miaka 50 ameanguka baada ya kusimama kwa muda mwingi akiwa anasubiri time yake ya kwenda kupiga kula alipofikishwa hospital alikuwa ameshaaga dunia.
Ni kitu gani tunajifunza hapo? Huyo bibi walishwndwa kumpisha ni utalatibu gani ambao wazee na walemavu wameekewa ni lazima tuwape vipaumbele, wote tuna haki sawa ya kupiga kula
Hivi unasema bibi ukimaanisha kikongwe, au ukimaanisha mwanamke ie bibi yangu ana mimba?Bibi wa miaka 50 ameanguka baada ya kusimama kwa muda mwingi akiwa anasubiri time yake ya kwenda kupiga kula alipofikishwa hospital alikuwa ameshaaga dunia.
Ni kitu gani tunajifunza hapo? Huyo bibi walishwndwa kumpisha ni utalatibu gani ambao wazee na walemavu wameekewa ni lazima tuwape vipaumbele, wote tuna haki sawa ya kupiga kura
Wenzetu lugha ni ngumu so jst undrstnd tu
Bibi wa miaka 50 ameanguka baada ya kusimama kwa muda mwingi akiwa anasubiri time yake ya kwenda kupiga kula alipofikishwa hospital alikuwa ameshaaga dunia.
Ni kitu gani tunajifunza hapo? Huyo bibi walishwndwa kumpisha ni utalatibu gani ambao wazee na walemavu wameekewa ni lazima tuwape vipaumbele, wote tuna haki sawa ya kupiga kura
Duh miaka 50 bibi? Hapana wakati kwa MA- CCM huyo ni Kijana.
Wakuu vipi matokeo ya uchaguzi kenya nani anaonekana kupaa?
Mimi nimesikia BBC swahili, ni bibi wa miaka 70 ndo amefariki katika hospitali ya wilaya, baada ya kukimbiziwa huko mara baada ya kuanguka akiwa kwenye foleni ya kwenye kituo cha kupigia kura.Bibi wa miaka 50 ameanguka baada ya kusimama kwa muda mwingi akiwa anasubiri time yake ya kwenda kupiga kula alipofikishwa hospital alikuwa ameshaaga dunia.
Ni kitu gani tunajifunza hapo? Huyo bibi walishwndwa kumpisha ni utalatibu gani ambao wazee na walemavu wameekewa ni lazima tuwape vipaumbele, wote tuna haki sawa ya kupiga kura
Uzee ni kuanzia umri gani?
50 yrs bibi??mpk aanguke kwa ajili ya uzee??too much..Nahis alikuwa na magonjwa yake