Bible Error: Mwanzo 1:1-3a Kosa kubwa la Milenia, kutafsiri kutoka kwenye lugha ya Kiebrania

Bible Error: Mwanzo 1:1-3a Kosa kubwa la Milenia, kutafsiri kutoka kwenye lugha ya Kiebrania

Mathayo 28:19

Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
Hio aya inazungumzia kubatiza watu sio kuabudi hivyo vitatu hapo nyie mnasomaje biblia, wala biblia haiafiki kuabudu hivyo hayo ni maelezo namna ya kubatiza
 
Mimi ni mkristo nimelelewa katika ukristo tangu nikiwa mdogo.

Mwanzo tu wa biblia katika kitabu cha mwanzo 1:1-3a kunakuwa na makosa makubwa ambayo yamedumu karne na karne. Haya yalitokana na kutafsiri moja kwa moja lugha ya kiebrania kwenda kwenye Lugha ya Kigriki na hatimaye lugha ya kingereza.

Inasomeka
1. In the beginning God created the heavens and the earth.
2. Now the earth was formless and empty, darkness was over the surface of the deep, and the Spirit of God was hovering over the waters.
3. And God said, "Let there be light," and there was light.

Kutoka kwenye origin (Hebrew)
1. Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz,

Maelezo Kwenye mstari wa kwanza

Kwenye kiebrania tunaona hapo anaongelea Elohim neno elohim ni wingi. Yaani Miungu. maana yake hapo anaongelea miungu na wala siyo Mungu mmoja. Umoja wa neno Elohim ni Eloah

Hapo tayari kunakuwa na mkanganyiko mwanzoni tu.

Maelezo zaidi
Katika hiyo 1:1-3a inasomwa yote kwa pamoja. Lakini yule aliyekuwa anatafsiri aliigawanya na kisha akahatibu maana nzima ya maelezo.

Kwenya hebrew bible haiongelei kuhusu the beginning of creation.

Bali inaelezea kuwa wakati Miungu walipokuwa wakiumba dunia dunia ilikuwa ukiwa.

Inaweza kusomeka:-
1 When Gods began to create heaven and earth—2 the earth being unformed and void, with darkness over the surface of the deep and a wind from Gods sweeping over the water—3a Gods said, ‘Let there be light

Hii hapa juu ndiyo tafsiri sahihi ya kitabu cha mwanzo kabisa.

Nitaendelea kuchanganua zaidi.

Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Hongera kiongozi kwa kujua kiebrania
 
Despite its plural form, Elohim is perceived as a singular term. According to Genesis, Elohim is considered a monotheistic term despite its polytheistic grammatical structure.
Yes, that's correct! The Hebrew word Elohim (אֱלֹהִים) is grammatically plural but is often used in the Hebrew Bible to refer to the one true God in a singular sense.
Anaefuatilia mambo ataona makosa yaliofanyika kutokana na kutafisiri biblia kutoka lugha yake ya asili kwenda lugha nyingine. Sababu za makosa hayo ziko wazi.

Ukiacha makosa ya kutafisiri pia sio maneno yote yaliyomo katika biblia ni maneno ya Mungu. Mengine ni maneno ya mwandishi mwenyewe.

Kwa hiyo ni muhimu unaposoma vitabu vya biblia kujua mwandishi wa hicho kitabu ni nani: historia yake. Kitabu kiliandikwa wakati gani na aliwaandikia kina nani, ujumbe wake ni nini.

Wayahudi ndio watu pekee duniani wenye utalaamu wa dini. Ndio wanaojua dini. Hatahivyo, katika historia yao ya dini mpaka leo wayahudi hawataji jina la Mungu.

Kitabu cha Kutoka kinaeleza kuwa Musa alipewa consonant "YHWH" - kama jina la Mungu. Matamshi hayo kwa yenyewe hayatamkiki kama neno lenye maana.

Kwa sababu wayahudi hawaruhusiwi kutaja jina la Mungu (YHWH), ili kuepuka kutaja jina hilo wanataja maneno Adonai, Elohim, kueleza sifa na ukuu; uwezo na matendo ya Mungu.

Kitabu cha Mwanzo 1:1, pamoja na kwamba kinaeleza tokeo la ulimwengu lakini fundisho lake kuu ni kuanguka kwa mtu. Kitabu hiki kinaeleza mambo msingi ili kuweza kujua si tu biblia, lakini pia uumbaji kwa ujumla.

Kumbe katika msingi huo ni muhimu kujua muhusika mkuu, ambaye biblia inamtaja kuwa muumbaji wa vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, yaani Mungu.

Mungu maana yake ni nini?

Pili ni vitu vilivyoumbwa:-

Dunia ni nini?

Mbinguni ni nini?

Mtu ni nini?

Ulimwengu ni nini?

Maswali haya yatatuwezesha sio tu kuacha kushughulika na mambo madogo badala yake kushughulikia mambo ya juu na kuwa na maarifa ya vitu na ushahidi wao wa ndani.
Ivi MUNGU nalo ni jina la MUNGU au ?
 
Mimi ni mkristo nimelelewa katika ukristo tangu nikiwa mdogo.

Mwanzo tu wa biblia katika kitabu cha mwanzo 1:1-3a kunakuwa na makosa makubwa ambayo yamedumu karne na karne. Haya yalitokana na kutafsiri moja kwa moja lugha ya kiebrania kwenda kwenye Lugha ya Kigriki na hatimaye lugha ya kingereza.

Inasomeka
1. In the beginning God created the heavens and the earth.
2. Now the earth was formless and empty, darkness was over the surface of the deep, and the Spirit of God was hovering over the waters.
3. And God said, "Let there be light," and there was light.

Kutoka kwenye origin (Hebrew)
1. Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz,

Maelezo Kwenye mstari wa kwanza

Kwenye kiebrania tunaona hapo anaongelea Elohim neno elohim ni wingi. Yaani Miungu. maana yake hapo anaongelea miungu na wala siyo Mungu mmoja. Umoja wa neno Elohim ni Eloah

Hapo tayari kunakuwa na mkanganyiko mwanzoni tu.

Maelezo zaidi
Katika hiyo 1:1-3a inasomwa yote kwa pamoja. Lakini yule aliyekuwa anatafsiri aliigawanya na kisha akahatibu maana nzima ya maelezo.

Kwenya hebrew bible haiongelei kuhusu the beginning of creation.

Bali inaelezea kuwa wakati Miungu walipokuwa wakiumba dunia dunia ilikuwa ukiwa.

Inaweza kusomeka:-
1 When Gods began to create heaven and earth—2 the earth being unformed and void, with darkness over the surface of the deep and a wind from Gods sweeping over the water—3a Gods said, ‘Let there be light

Hii hapa juu ndiyo tafsiri sahihi ya kitabu cha mwanzo kabisa.

Nitaendelea kuchanganua zaidi.

Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Hiyo ni tafsiri sahihi kwako.

Mimi naweza kuja na yangu na ikawa sahihi kwangu.


'When God began creating the heavens and the earth, the earth was a shapeless, chaotic mass, with the Spirit of God brooding over the dark vapors.

Elohim ndio unakuja sasa kuipata pale Mungu anaposema, NA TUFANYE. Katika wingi, zile nafsi tatu za uungu.

Kwa ujumla haya mambo ni imani.
 
Back
Top Bottom