Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
😊😊hi darling..[emoji5][emoji5]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😊😊hi darling..[emoji5][emoji5]
Hello[emoji4][emoji4]hi darling..
Hahahah acha tuu wiwo wangu...najipanga mwakani nihubiri injili,.😊Hello
Nakuona, kumbe upo vizuri my beautiful wizzle.
Hahahah acha tuu wiwo wangu...najipanga mwakani nihubiri injili,.[emoji4]
Ni kweli ila na elimu ya darasani inatakiwaChuo cha Biblia ni Roho Mtakatifu,huyo ndiye anayekufundisha kuhubiri yaliyo ya kweli,source soma Matendo 2:1-39 uone siku ambayo Roho Mtakatifu aliwashukia watu wasio hata na Elimu na wakaihubiri Injili ya kweli.Nawasilisha
Watu wenye mtazamo wa upande mmoja huwa mnasumbua sana makanisani.Chuo cha Biblia ni Roho Mtakatifu,huyo ndiye anayekufundisha kuhubiri yaliyo ya kweli,source soma Matendo 2:1-39 uone siku ambayo Roho Mtakatifu aliwashukia watu wasio hata na Elimu na wakaihubiri Injili ya kweli.Nawasilisha
Ada ya bure ni shiling ngapi?KAMPALA SCHOOL OF THEOLOGY.... UKIWA SERIOUS NITAKUTUMIA MAWASILIANO YAO...HAKUNA KULIPA HATA MIA HADI URIPOTI CHUONI. ADA SAWA NA BURE.
Roho wa Mungu hayupo kwenye elimu yako Ndugu yangu amka,tumejengwa juu ya Mitume na Manabii,na kama wao waliipata Injili na ufunuo shuleni,nyie someni,ila kumbuka pia ufunuo Yohana katika Roho siku ya Bwana...nukuu WAEFESO 2:20-22, UFUNUO 1:10Watu wenye mtazamo wa upande mmoja huwa mnasumbua sana makanisani.
Ili kazi iende vizuri zaidi unatakiwa ufahamu umuhimu wa TAALUMA pamoja na KIPAWA.
Mungu akubariki kwa kusema ni kweli,ila nakukumbusha Mungu hamwiti mtu kutoka shuleni akitaka amfanyie kazi,bali kutoka pasipoeleweka kumbuka Daudi kutoka kuchunga Kondoo,Musa kutoka kuchunga Kondoo,Samsoni kutoka tumboni mwa mamaye,Paulo kutoka muuaji,Petro kutoka mvuvi,Yusufu kutoka muota ndoto kisha mfungwa kisha mkombozi wa Israel kipindi cha njaa...na wengine wengi kama ww ni msomaji wa Biblia unakubaliana na hiloNi kweli ila na elimu ya darasani inatakiwa
NAKUTUMIA NA KINGINE KIPO SWAZILAND/ESWATINI NI KIZURI SANA NA GHARAMA ZIPO CHINI. NARUDIA TENA HULIPII CHOCHOTE HADI UNARIPOTI CHUONI, HAKUNA UTAPELI.