Biblia ilivyosema msinyimane nadhani ilimlenga zaidi mwanamume kwa sababu ndo humkinai mke haraka

Biblia ilivyosema msinyimane nadhani ilimlenga zaidi mwanamume kwa sababu ndo humkinai mke haraka

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
japo ni ushauri wa mtume paulo ila kwetu sisi wakristo tunamuona kama ni mtu muhimu nyaraka zake tunazitumia yeye alisema kwamba wanandoa wasinyimane penzi.

Nachokiwaza mimi aliyekuwa anaombwa kuwa na uvumilivu ni mwanaume kwa sababu wanandoa wakizoena na kuishi pamoja mume huanza kumuona mke kama dada yake.

Hata akiwa mzuri sana hawezi kumfanya kila siku..ila kwa upande wa mwanamke jinsi anavyokaa na mume ndo libido juu yake inaongezeka na tena atakuwa anataka wafanye kila siku ila mume eti aishiwe hamu asitamani vya nje. Sasa unakuta mume kachoka anataka apumzike walau kwa week wafanye mara mbili tu.ndo maana nasema kwamba wosia huo wa paulo ulikuwa maalumu kwa wanaume.
 
Mbona hamueleweki!! Sio nyie kila siku humu mnalalamika kuchokwa na wake zenu, mara mnanyimwa!!
 
Mbona hamueleweki!! Sio nyie kila siku humu mnalalamika kuchokwa na wake zenu, mara mnanyimwa!!
Nimeona comment yako ulijibu kwamba mume mmoja hatosgi kwamba tunapunjana...sijui kama mtoa mada yule na wewe mmemkaa na ndoa zenu kwa zaidi ya mwaka...ukweli ni kwamba mume huanza kumuona mke kama dada yake so perfomance hushuka sana
 
Nimeona comment yako ulijibu kwamba mume mmoja hatosgi kwamba tunapunjana...sijui kama mtoa mada yule na wewe mmemkaa na ndoa zenu kwa zaidi ya mwaka...ukweli ni kwamba mume huanza kumuona mke kama dada yake so perfomance hushuka sana
Stick kwenye mada hii.
Huo ni ukweli wa upande wa mwanaume, unaujua upande wa wanawake? Au umeamua kutusemea?
 
Back
Top Bottom