Biblia kwa Jicho Jingine

Unampiga na kitu kizito muhaya wa watu aiseee.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni ndefu ila haichoshi kusoma Safi sana nimesoma yote nimepata muunganiko mkubwa sana kwenye maandiko ya BIBLIA ambayo mengine nilikuwa nashindwa kuelewa. Nasubiri uchambuzi mwingine.
 
Ila ndio maana Mwandishi kasema amerejea vitabu vingi ila kitabu Kikuu ni Biblia. Kwahiyo hapa anajenga dhana hasa kwa upande wa wanaoamini Biblia. Ila kwa imani zingine ni Vizuri pia kujifunza.
 
Duh sitaki kuamininkuwa huu Uzi ni wa zamani na sijawahi kuuona[emoji848][emoji119][emoji87]
Makubwa haya!

Sijamaliza kusoma,bado kidogo,ila nimependa ulivyoelezea na kufafanua ,'I wish' ungekuwa unaweka na mistari ya kusapot maana ipo kabisa,kila nikisoma naona kabisa ilipoandikwa!
Kudos[emoji106]
Km sehemu yaa uumbaji na kitabu cha mwanzo ...sehemu ya kiti cha enzi naona kabisa isaya,Daniel...
 
Fact!
 
Hata sioni cha kuongeza!uko sawa dude!

Na ndo maana hata level za watumishi wa Mungu (kwa maana ya nguvu za Mungu walizonazo ) zimetofautiana!
 
Ndio kwa sbb Mungu ni Roho!
 
Sehemu ya kwanza tuko sawa!
Ila hii sehemu ya pili natofautiana na wewe hapa uliposema Melkzedeki alikuwa malaika!
Melkizedeki sio malaika,soma vzr kitabu cha Mwanzo kisha nenda Waebrania utajua alikuwa nani!
 
[emoji87][emoji848][emoji16]duh kumbe?!!
Sasa si angesema tu kuwa kuna mahali kaicopy kwani kuna tatizo?

Ndo maana tangu 2018 mpk leo hakuna muendelezo[emoji23][emoji119]
Wabongo jamani!
Anyway,kwa sie wanaosoma biblia nankufuatilianmambo ya rohoni hawapati shida kuelewa!
 
@Christine1 nashukuru umesoma yote, achana na comment negative, kama kuna sehemu ipo hoi mada basi ashukuriwe aliye ileta hapa, hata kama haijatoa funzo lakini imeleta kitu fulani katika vingi vimhusuvyo Mungu .
 
Kumbe tabia ya kukimbia uzi ni toka kitambo sana.

Ila mkuu umeelezea vema sana.
 
Mi mwenyewe nilikuwa kama nyinyi baada ya kusoma huu uzi ulinishika sana so nikawa ni miongoni mwa waliokuwa wanasubiri mwendelezo..basi ikawa ni kila siku tunamtag kuulizia mwendelezo lakini jamaa alikuwa kimya, tukazama PM lakini jamaa kimya ndio mpaka leo, lakini mm sikukata tamaa nikaendelea kuchimba vitabu mbalimbali mpaka nilipokuja kukutana na hii story yake ndio nikagundua aliicopy kule na kuileta hapa ila ni uzi mzuri sana na una maarifa mengi mapya ya kujifunza, Big up kwake mleta uzi ameamsha watu wengi.
 
Mkuu natamani kupata hiyo link alikoitoa hiyo habari ili na mm nikasome
 
Tunaomba link na sisi tupitie pitie
 

KWELI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…