Biblia kwa Jicho Jingine

Biblia kwa Jicho Jingine

Nilishampata kitambo tu. Ni Mungu mmoja tu mwenye enzi, Mtukufu wa daraja, Hakuzaa wala kuzaliwa, Hana mshirika. Na ndo muumba wa vitu vyoote, vinavyoonekana na visivyoonekana. So, i believe in oneness of him.!

Katika akili ya kawaida tu. Inawezekanaje kiumbe kimoja (MUNGU) kiwe kinajigawanya na kujikusanya...ili hali kinauwezo wa kutumia malaika zake.!? Bado siamini katika utatu wa Mungu. Dhana hio ni tata sana na haina uthibitisho.

Mfano, Yesu alipopaa kwenda mbiguni alisema ataenda kukaa ktk mkono wa kuume wa Mungu.

Swali, Inawezekanaje akati yeye ni Mungu.!? Anawezaje kukaa kuume kwake mwenyewe.!?

Hapo ndo huwa nakuja kuamini kuwa ni kweli dhana ya trinity ilikopiwa na ku paste toka imani za Ugiriki ya kale.
Tunatofautina katika Viwango vya Kumjua "MUNGU"
lakini kama Mungu unamfikiria na kumfahamu hivyo pasi "UNAPOTOKA" Chukua hatua
 
Pingamizi zangu za kimantiki kuhusu uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa kiingereza "proof by contradiction", bado hazijapata majibu ya kuziondoa.

Hivyo, Mungu hayupo.

Kama mtu anasemayupo, athibitishe kwa kuanza kuondoa contradictions zilizopo katika habari ya kuwapokwake.


Mungu anatakiwa asiwe na contradiction. Huyu Mungub wa Biblia na Quran kwa mfano, mtu akiweza kuniondolea contradictions zote zilizopo katika habari zake, sio tu nitakubali, bali pia nitafurahi sana. Contradictions hizo ni hizi.
Kwa uchache.

1. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, upendo wote na utakatifu wote, kaumba ulimwengu ambao maovu yanaweza kutokea, wakati alikuwa ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezi kutokea? Naomba jibu lisiwe kusema maovu yapo kwa sababu ya shetani. Swali linauliza kabla shetani hajaumbwa Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezi kuwepo. Jibu la swali lisiseme maovu ni matokeo ya dhambi za watu. Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani. Jibu lisiseme free will, hatuna hiyo inayoitwa free will katika mengi sana na hata kui define tu watu hawawezi.

2. Inakuwaje Mungu awe ndiyo mtoa rehema ya kumjua, anachagua mwenyewe nani amjue na nani asimjue, halafu mtu akishindwa kumjua Mungu, kwa sababu Mungu hajamchagua huyo mtu kumpa neema yake Mungu ya kumjua, huyo mtu aonekane ana makosa, ahukumiwe kuchomwa moto? Baba anawezaje kumhukumu mtoto ambaye hajui kusoma, kama mtoto hajui kusoma kwa sababu baba ndiye aliyemnyima nafasi ya kwenda shule?

3. Inakuwaje mahakama za watu tu zinakataza mtoto kuhukumiwa kwa makosa ya mzazi, lakini vitabu vya Mungu vinasema Mungu anahukumu watoto na wajukuu vizazi hata vizazi? Kwa kosa la mzazi wa zamani sana? Huyu Mungu mbona haki yake haijafikia hata haki yetu watu tu?

4. Mnasema Mungu anajua yote. Anayajua maisha ya mtu yote mwanzo mpaka mwisho kabla hata mtu hajaishi. Na anachojua huyo Mungu kitatokea, ni lazima kitokee. Anavyojua si kama utabiri wa hali ya hewa kwamba kuna 80% ya mvua. Yeye anajua kitu kamili hakina utata. Sasa kama anajua hivyo, ina maana mtu muuaji, alimjua huyu atakuwa muuaji kabla hata hajazaliwa. Na muuaji huyo hawezi kuepuka kuua hata afanye nini. Kwa sababu kuepuka kuua wakati Mungu kashajua huyu ataua ni kum prove Mungu wrong. Sasa kama huyu mtu anaenda kuwa muuaji, na hana jinsi ya kuepuka hilo, tutasemaje ana uhuru wa kuamua na anaua kwa uamuzu wake na atahukumiwa motoni kwa uuaji?

5. Mbona hivyo vitabu vinavyosemwa ni vya Mungu vina contradictions lukuki?

6. Mbona huyo Mungu mnayemsema yupo hathibitishiki? Anajificha asijulikanw vizuri kwa nini? Kwa nini hakufanya ulimwengu uweze kumjua vizuri bila uwezo wowote wa kuwepo ubishi juu ya uwepo wake?

7. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anaweza kuumba jiwe zito sana kiasi yeye mwenyewe ashindwe kulibeba? Akiweza kuumba jiwe hilo, atakuwa hawezi yote, maana kuna jiwe atakuwa kashindwa kulibeba. Akishindwa kuumba jiwe hilo, atakuwa hawezi yote maana kuna jiwe atakuwa kashindwa kuliumba.

8. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ameruhusu kifo kitenganishe wapendanao, baba na mama, wazazi na mtoto, marafiki etc, wakati alikuwa na uwezo, ujuzi na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao kifo hakiwezekani kuwepo?

Kwa nini watetezi wa Quran waajitapa sana kusema vitu fulani vichache vimethibitishwa kisayansi, kuinadi Quran kama kitabu cha ukweli, wakati vingi sana vina contradictions ama vinapingana na sayansi ama havijathibitishwa kisayansi, hawasemi vinapingana nansayansi au havijathibitishwa kisayansi?

10.Kama kuna Mungu kweli, kwa nini karuhusu confusion ya dini nyingi tofauti kuwa na vitabu vingi tofauti vyote vinasema vya Mungu wa kweli?

Kwa leo tuishie na maswali haya 10.

Unaweza kujibu ?
MAJIBU:
1. Mungu aliwaumba wanadamu kwa fikira huru tofauti na viumbe wengine. Kumbuka kabla ya kizazi hiki vilishawahi kuwepo vizazi vingine vikajichanganya na akavifyekelea mbali. So, Mungu akaamua kuja na version mpya ya mwanadam yenye free will. Akaamua kuiwekea mitihani yote anayojua yeye ili kuona hii version ya mwanadam itakuwaje, at the same time apart from hii mitihani bado huwa kuna mpango badae wa kuiokoa hii version ili ikaishi anapopataka yeye hapo badae. Mungu yote hayo anayafanya kwa starehe zake ili afikia lengo alilolikusudia, ila wee kwa uwezo wko wa kufikiri unahisi karuhusu dhambi. Mungu ana mikakati kababe na ya kushngaza saana sema nakupa kwa kifupi tu.

2. Mungu, hachagui nani amjue wala nani asimjue. Hayo ni mapokeo tu ya wanadam. Mungu alimuuba mwanadam kwa mfano wake na akampa free will, swala la kumjua au usimjue hilo ni juu yako. Jitahidi usome COMPARATIVE RELIGIONS mwenyewe, ili usi base sana kufundishwa. Some tmes soma maandiko mwenyewe then utapata msimamo wa kweli.

3. Ikiwa mahakama za wanadam tu hazihukum vizazi na vizazi vip Mungu Mwenye enzi afanye hivyo.!? Hiko kitu hakipo. Huko ni kukaririshwa na mapokeo mabovu. Kulaani vizazi na vizazi hio huwa ni kazi ya shetan (miungu) kuwafunga njia ili mumrudie yeye badala ya Mungu. Allah SW (Mungu) hana ishu hizo.

4. Ni kweli Mungu (Allah SW) yu ajua yote. Lakini kamruhusu mwanadam afanye kila analotaka ila upo muda maalum aliouandaa yeye ambapo baada ya hii dunia Binadam tena hatakuwa na opposite side (free will). Lengo lake ni kuja na version mpya ya mwanadam anayoitaka hapo badae. Kumbuka Allah yuko kwenye test hajatumalizia kutuumba. Kiumbe kamili kitakuja kuishi dunia isiyo ya kawaida na kitakuwa na umbo lisilo la kawaida na lisilokufa.

5. Kuhusu vitabu. Em jitahdi usome Quran tukufu one day. Haina contradictions zozote na wala haijipingi yenyewe kwa yenyewe kama kile kingine. Ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake. Story zake, aya zimapangwa kimtiririko ya kwanza hadi ya mwisho. Sentensi zake zimenyooka kuanzia mwanzo wa dunia kuumbwa hadi itakavyo isha.

6. Mungu yupo na anathibitika. Ukitaka kumuona Mungu live inabidi ufuate masharti yake, kitu ambacho wanadam wengi hawawezi. Mungu huweza kukuijia kwa umbo lolote lile ambalo kwa uwezo wa fikra zako hutoamini. Anaweza kukuijia ktk Nuru Angavu na atajitambulisha kwako, aweza kuja kama mbibi au mbabu mchafu/saana nk. Kingine Mungu anathibitika kwa kujiangalia wewe mwenyewe au kazi zake. Wanasema, "For every paint there is a painter, and for every creation there is a creator". Nothing exists from nothing. Kila kitu ukionacho kina mwanzo wake, itategemea huo mwanzo wee unauitaje. Wengine huuita Nature, Nguvu, Big bang, nk. Sisi tulioamini ndo tunaita ni Mungu Mwenyezi (Allah SW). Na off course hili ndo jibu halisi, yaani Mungu/Allah.

7. Ndio, Mungu ni muweza wa yote hakika. Ni kweli anaweza kuumba jiwe kuubwa saana na hata yeye mwenyewe akashindwa kulibeba na hakika badae hilohilo jiwe kuubwa aweza kulifanya likawa doogo saana na akaweza kulibeba. Huyo ndo Allah SW/Mungu ninayemuabudu hata mimi. Hashindwi kitu.! Bali yeye anaamua tu. Aweze au asiweze.!

8. Yeah, kuhusu kifo lazima kiwepo ili uweze kuwa elevated katika umbo lisilo kufa. Kumbuka nimekuambia Mungu yupo ktk test, yaani ni sawa wee unapo create gari au robot lazima ulifanyie test kwa muda furani ndo ulichagulie njia kama ni robot. Kama ni gari badae ndo utaliruhusu lianze kutumika. Vivo hivyo hata Allah, mwanadam bado yupo ktk majaribio akiyavuka upo ulimwengu wake hapo badae, akishindwa kunamarekebisho hapo baadae na hayo marekebisho yakishindikana atakuwa destroyed na kubakiza walofaulu na waliorekebishika ndo watakuwa elevated kwenye hio dunia mpya through death. So, kufa ni muhimu ili u-gain heavenly body/immortality.

10. Ni kweli Mungu yupo hakika.! Mungu hajaruhusu confusion ktk kitabu chake. Bali free will/uhuru waliopewa wanadam juu ya maamuzi yao wenyewe ndo wanajichanganya na kuamua kila mtu aanzishe anachokiamini. Na Mungu ana dini/mfumo mmoja tu wa kuabudu. Zingine ni mbwebwe za Mwanadam.

Hitimisho, Allah anauwezo sana wa kuzuia yote yanayoendelea hapa duniani, ila kayaacha kwa maksudi kabisa ili kutimiza lengo lake. Na siyo yote yanayofanywa na binadam ni chukizo kwake. Mengine ni burudani kwake kama pambo la ulimwengu. Upo muda aliouamua yeye na ni siri yake binafsi (top secret) utafika ambapo binadam hatakuwa na uhuru tena wa kufanya analolitaka. Atakuwa recreated with heavenly body which is immortal and unfree to think. Atakuwa full kutii, na kutukuza tu, maisha yake yote kwenye dunia mpya. Nimekujibu kwa ufupi saana kwa maana nikikupa majibu ya kina ntakesha. Nikpata muda ntakutumia videos zenye uthibitisho wa kisayansi juu ya uwepo wa Mungu. Allah akupe nguvu. ALLAH AKBAR.!
 
Unafanya makosa yafuatayo.

1. Unanilazimisha kunyamaza.
2. Unavunja kauli mbiu ya JF ya "Where We Dare To Talk Openly" kwa kutaka kunivunjia uhuru wangu wa kujieleza.
3. Unafikiri kumchoka mtu mwenye mawazo tofauti nawe ni sababu tosha ya mtu huyo kunyamaza.
4. Unanitaka kuanzisha mada bila sababu.
5.Unaandika maoni yangu ya kipuuzi, bila kuweza kuthibitisha kwamba ni ya kipuuzi.
6.Unaandika kuwa naharibu mada za watu, bila kuweza kuthibitisha kwamba naharibu mada.
7. Umenitukana kwamba nafanya ubwege, bila kuweza kuthibitisha kwamba nafanya ubwege.
8. Unaandika "tumekuchoka" bila kueleza mlionichoka ni wewe na nani.
9.Unaendekeza udikteta katika forum inayothamini uhuru wa mawazo.
10. Hujaweza kujibu hoja zangu za msingi za kutaka uthibitisho kwamba Mungu yupo.
Hakuna aliyekuzuhia kutalk openly ndugu,
Tatizo ni kuwa, ukiona uzi wowote unazungumzia mambo ya Mungu wewe haraka sana unaanza ohoo Kwanza Mungu ayupo, mara thibitisha km kweli yupo. Kitu kinachopelekea kuharibu maudhui mazima ya mada husika na kuanza kujadili hoja yako
 
MAJIBU:
1. Mungu aliwaumba wanadamu kwa fikira huru tofauti na viumbe wengine. Kumbuka kabla ya kizazi hiki vilishawahi kuwepo vizazi vingine vikajichanganya na akavifyekelea mbali. So, Mungu akaamua kuja na version mpya ya mwanadam yenye free will. Akaamua kuiwekea mitihani yote anayojua yeye ili kuona hii version ya mwanadam itakuwaje, at the same time apart from hii mitihani bado huwa kuna mpango badae wa kuiokoa hii version ili ikaishi anapopataka yeye hapo badae. Mungu yote hayo anayafanya kwa starehe zake ili afikia lengo alilolikusudia, ila wee kwa uwezo wko wa kufikiri unahisi karuhusu dhambi. Mungu ana mikakati kababe na ya kushngaza saana sema nakupa kwa kifupi tu.

Kwanza kabisa, si kweli kwamba watu wana fikra huru.

Soma utafiti wa kisomi huu hapa kutoka jarida la Scientific American

Is Free Will an Illusion?

Pili, Mungu anayefyekelea vizazi, anakuwaje Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?

Ina maana alivyoumba ulimwengu alijua atavifyekelea mbali hivi vizazi akaviumba tu, ili avifyekelee mbali?

Kama ni kweli alijua hilo, Mungu anayeumba vizazi huku akijua atavifyekelea mbali, ni kweli ana upendo wote?

Kama hakujua kwamba atavifyekelea mbali, Mungu asiyejua kwamba atavifyekelea mbali vizazi, ana ujuzi wote?

Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote ataumbaje watu kwa version? Ina maana alikosea mwanzo, akaona afanye update kama software engineer ambaye hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote?

Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote naye anahitaji kufanya updates?

Mungu wako anajitekenye mwenyewe na kucheka mwenyewe? Kwa kutupa mitihani? Kama anajua majibu yote, anatupa mitihani ili iweje?

Mwalimu anampa mwanafunzi mtihani ili mwalimu ajue mwananfunzi anajua nini. Huyo Mungu ambaye ndiye anatoa uwezo wa mtu kujua yote anayojua, anatoa mtihani ili iweje wakati yeye Mungu mnasema anajua kila kitu?

.
2. Mungu, hachagui nani amjue wala nani asimjue. Hayo ni mapokeo tu ya wanadam. Mungu alimuuba mwanadam kwa mfano wake na akampa free will, swala la kumjua au usimjue hilo ni juu yako. Jitahidi usome COMPARATIVE RELIGIONS mwenyewe, ili usi base sana kufundishwa. Some tmes soma maandiko mwenyewe then utapata msimamo wa kweli..

Free will is an illussion, soma wataalam wanasema hilo hapa

Is Free Will an Illusion?

Mtu ukizaliwa Saudi Aarabia most likely utakuwa Muislamu na kumuamini Allah, by sheer chance of birth and environment, ukizaliwa Italy most likely utakuwa Catholic. Unapozaliwa tu pana determine utakulia dini gani na kuamini nini.

Watu karibu wote wanaoamini Mungu wanaamini dini walizozaliwa nazo, hapo hakuna free will.

Watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri hawana free will.

Watu wenye addictions zilizo na genetic links hawana free will.

Free will is an illussion.

Mungu hayupo, ndiyo maana huwezi kuthibitisha yupo

3. Ikiwa mahakama za wanadam tu hazihukum vizazi na vizazi vip Mungu Mwenye enzi afanye hivyo.!? Hiko kitu hakipo. Huko ni kukaririshwa na mapokeo mabovu. Kulaani vizazi na vizazi hio huwa ni kazi ya shetan (miungu) kuwafunga njia ili mumrudie yeye badala ya Mungu. Allah SW (Mungu) hana ishu hizo.

Hakuna mistari ambayo Mungu kalaani watu kwenye Quran?

4. Ni kweli Mungu (Allah SW) yu ajua yote. Lakini kamruhusu mwanadam afanye kila analotaka ila upo muda maalum aliouandaa yeye ambapo baada ya hii dunia Binadam tena hatakuwa na opposite side (free will). Lengo lake ni kuja na version mpya ya mwanadam anayoitaka hapo badae. Kumbuka Allah yuko kwenye test hajatumalizia kutuumba. Kiumbe kamili kitakuja kuishi dunia isiyo ya kawaida na kitakuwa na umbo lisilo la kawaida na lisilokufa.

Kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao tsunami linaweza kupiga na kuua mpaka vitoto vichanga, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao tsunami haliwezi kupiga?

Hujajibu swali hili.

Mwanadamu hajaruhusiwa afanye kila analotaka, mfano, nataka nirudi nyuma katika muda, nirekebishe mambo fulani, lakini siwezi. Kusema mtu karuhusiwa kufanya kila analotaka ni uongo.

Aallah yupo kwenye test? Ina maana Mungu wako ujuzi wake wote hautoshi mpaka afanye test? Test inafanywa na mtu asiye na uhakika, Aallah wako hana uhakika?

Unaweza kuthibitisha hiyo dunia isiyo ya kwaiada si story tu?

5. Kuhusu vitabu. Em jitahdi usome Quran tukufu one day. Haina contradictions zozote na wala haijipingi yenyewe kwa yenyewe kama kile kingine. Ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake. Story zake, aya zimapangwa kimtiririko ya kwanza hadi ya mwisho. Sentensi zake zimenyooka kuanzia mwanzo wa dunia kuumbwa hadi itakavyo isha.

Qquran si tukufu, imeandikwa na watu tu, ndiyo maana ina contradictions.

Qquran inasema kuna watu Aallah kawaziba macho, mioyo na amsikio wasimjue.

Hata mkifanya vipi hawatamjua. Kisha Allah atawapa hukumu kubwa hawa.

Yani Mungu badala ya kuwaongoza watu wamjue, anawaziba macho, masikio na mioyo wasimje.

Halafu anawahukumu kwa sababu hawakumjua.

Unaona hiki kitabu cha Mungu kweli?

6. Mungu yupo na anathibitika. Ukitaka kumuona Mungu live inabidi ufuate masharti yake, kitu ambacho wanadam wengi hawawezi. Mungu huweza kukuijia kwa umbo lolote lile ambalo kwa uwezo wa fikra zako hutoamini. Anaweza kukuijia ktk Nuru Angavu na atajitambulisha kwako, aweza kuja kama mbibi au mbabu mchafu/saana nk. Kingine Mungu anathibitika kwa kujiangalia wewe mwenyewe au kazi zake. Wanasema, "For every paint there is a painter, and for every creation there is a creator". Nothing exists from nothing. Kila kitu ukionacho kina mwanzo wake, itategemea huo mwanzo wee unauitaje. Wengine huuita Nature, Nguvu, Big bang, nk. Sisi tulioamini ndo tunaita ni Mungu Mwenyezi (Allah SW). Na off course hili ndo jibu halisi, yaani Mungu/Allah.

Thibitisha Mungu yupo, usilete longolongo.

Unaelewa ukisema for every creation there is a creator unasema Mungu hawezi kuwepo?

Kwa sababu na yeye atahitaji creator wake, na creator wake atahitaji creator wake, ad infinitum, ad nauseum?

Unaelewa hilo linaonesha Mungu hawezi kuwepo, haliuoneshi Mungu yupo?

7. Ndio, Mungu ni muweza wa yote hakika. Ni kweli anaweza kuumba jiwe kuubwa saana na hata yeye mwenyewe akashindwa kulibeba na hakika badae hilohilo jiwe kuubwa aweza kulifanya likawa doogo saana na akaweza kulibeba. Huyo ndo Allah SW/Mungu ninayemuabudu hata mimi. Hashindwi kitu.! Bali yeye anaamua tu. Aweze au asiweze.!

Unaelewa kwamba ukishasema Mungu anaweza kuumba jiwe kubwa sana hata yeye ashindwe kulibeba, tayari umeshasema huyo Mungu si muweza yote, kwa sababu ameshindwa kubeba hilo jiwe?

Unaelewa hilo?

8. Yeah, kuhusu kifo lazima kiwepo ili uweze kuwa elevated katika umbo lisilo kufa. Kumbuka nimekuambia Mungu yupo ktk test, yaani ni sawa wee unapo create gari au robot lazima ulifanyie test kwa muda furani ndo ulichagulie njia kama ni robot. Kama ni gari badae ndo utaliruhusu lianze kutumika. Vivo hivyo hata Allah, mwanadam bado yupo ktk majaribio akiyavuka upo ulimwengu wake hapo badae, akishindwa kunamarekebisho hapo baadae na hayo marekebisho yakishindikana atakuwa destroyed na kubakiza walofaulu na waliorekebishika ndo watakuwa elevated kwenye hio dunia mpya through death. So, kufa ni muhimu ili u-gain heavenly body/immortality.

Mungu muweza yote amshindwa kuwa elevate watu kwenye umbo lisilo kufa bila kuwatenganisha na familia zao kwa kifo?

Mungu wako anahitaji kufanya test? kwa sababu hana uhakika na mambo yake?

10. Ni kweli Mungu yupo hakika.! Mungu hajaruhusu confusion ktk kitabu chake. Bali free will/uhuru waliopewa wanadam juu ya maamuzi yao wenyewe ndo wanajichanganya na kuamua kila mtu aanzishe anachokiamini. Na Mungu ana dini/mfumo mmoja tu wa kuabudu. Zingine ni mbwebwe za Mwanadam.

Kama Mungu hajaruhusu confusion, mbona dunia ina dini nyingi sana na kuna confusion nani Mungu wa kweli?

Imekuwaje confusion ambaypo Mungu hajairuhusu iweze kutokea?

Hitimisho, Allah anauwezo sana wa kuzuia yote yanayoendelea hapa duniani, ila kayaacha kwa maksudi kabisa ili kutimiza lengo lake. Na siyo yote yanayofanywa na binadam ni chukizo kwake. Mengine ni burudani kwake kama pambo la ulimwengu. Upo muda aliouamua yeye na ni siri yake binafsi (top secret) utafika ambapo binadam hatakuwa na uhuru tena wa kufanya analolitaka. Atakuwa recreated with heavenly body which is immortal and unfree to think. Atakuwa full kutii, na kutukuza tu, maisha yake yote kwenye dunia mpya. Nimekujibu kwa ufupi saana kwa maana nikikupa majibu ya kina ntakesha. Nikpata muda ntakutumia videos zenye uthibitisho wa kisayansi juu ya uwepo wa Mungu. Allah akupe nguvu. ALLAH AKBAR.!

Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na si hadithi za uongo tu?

Unaweza kuondoa contradictions hizi za kwenye Quran?

Contradictions / Difficulties in the Qur'an

Internal Contradictions:
  1. Who suffers loss if Muhammad was wrong? Sura 34:50 commands Muhammad to say, "If I go astray, I go astray only to my own loss," which is a severe factual error in the Qur'an as well as contradicting the teaching of the Qur'an in a number of other verses.
  2. Allah, Adam, and the Angels. There are a great number of problems and inconsistencies between the several accounts of Adam's creation, Allah's command to prostrate before Adam, Satans refusal, etc.
  3. Who Was the First Muslim? Muhammad [6:14, 163], Moses [7:143], some Egyptians [26:51], or Abraham [2:127-133, 3:67] or Adam, the first man who also received inspiration from Allah [2:37]?
  4. Can Allah be seen and did Muhammad see his Lord? Yes [S. 53:1-18, 81:15-29], No [6:102-103, 42:51].
  5. Were Warners Sent to All Mankind Before Muhammad? Allah had supposedly sent warners to every people [10:47, 16:35-36, 35:24], Abraham and Ishmael are specifically claimed to have visited Mecca and built the Kaaba [2:125-129]. Yet, Muhammad supposedly is sent to a people who never had a messenger before [28:46, 32:3, 34:44, 36:2-6]. This article also raises other issues: What about Hud and Salih who supposedly were sent to the Arabs? What about the Book that was supposedly given to Ishmael? Etc.
  6. What will be the food for the people in Hell? The food for the people in Hell will be only "Dhari" [Sura 88:6], or only foul pus from the washing of wounds [S. 69:36], or will they also get to eat from the tree of Zaqqum [S. 37:66]? Together, these verses constitute three contradictions.
  7. Can Angels Cause the Death of People? The Qur'an attacks those who worship anyone besides God (e.g. angels or prophets) because those can neither create, nor give life, nor cause anyone to die. Yet, the Qur'an explicitly states that one angel or several angels are causing certain people to die [Sura 4:97, 16:28, 32, 32:11].
  8. Confusion Concerning Identity of the Spirit and Gabriel (a long discussion of dozens of references)
  9. 'Iddah rules for divorced and widowed women appear to be arbitrary and inconsistent.
  10. Is there a minimum age of marriage for girls?
  11. To Marry or Not to Marry? The Qur'an forbids believers to marry idolatrous women [Sura 2:221], and calls Christians idolaters and unbelievers [9:28-33], but still allows Muslims to marry Christian women [5:5].
  12. Will it be accepted of them or not?
  13. Will Allah reward the good deeds of Unbelievers? S. 9:17 and 9:69 clearly say no. However, S. 99:7 implies yes. Moreover, S. 2:62 promises Christians reward for their good deeds. But S. 9:28-33; 5:17, 72-73 calls Christians idolaters, and S. 9:17 is very clear that idolaters will have no reward.
  14. Should Muslims Accept Peace or Not?
  15. Fighting All People Until They Do What?
  16. Compel them or Not?
  17. Can They Disbelieve in the Last Day and be Safe?
  18. Should Muslims show kindness to their parents? On the one hand, the Quran commands all Muslims to show kindness to their parents, even if they are disbelievers [17:23-24, 31:14-15, 29:8, etc.]. On the other hand, it demands not to show any love or friendship to those who oppose Muhammad, even if they are their parents [9:23, 58:22].
  19. Can one be a believer in God and oppose Muhammad at the same time?
  20. How many mothers does a Muslim have? Only one [58:2, the woman who gave birth and none else], or two [4:23, including the mother who nursed him], or at least ten [33:6]?
  21. And it just doesn't add up: Sura 4:11-12 and 4:176 state the Qur'anic inheritance law. When a man dies, and is leaving behind three daughters, his two parents and his wife, they will receive the respective shares of 2/3 for the 3 daughters together, 1/3 for the parents together [both according to verse 4:11] and 1/8 for the wife [4:12] which adds up to more than the available estate. A second example: A man leaves only his mother, his wife and two sisters, then they receive 1/3 [mother, 4:11], 1/4 [wife, 4:12] and 2/3 [the two sisters, 4:176], which again adds up to 15/12 of the available property.
  22. How many angels were talking to Mary? When the Qur'an speaks about the announciation of the birth of Jesus to the virgin Mary, Sura 3:42,45 speaks about (several) angels while it is only one in Sura 19:17-21. (This article has received many Muslim responses which are quoted or linked and/or discussed at the end of the article.)
  23. Further numerical discrepancies Does Allah's day equal to 1,000 human years (Sura 22:47, 32:5) or 50,000 human years (Sura 70:4)? --- According to Sura 56:7 there will be THREE distinct groups of people at the Last Judgement, but 90:18-19, 99:6-8, etc. mention only TWO groups. --- There are conflicting views on who takes the souls at death: THE Angel of Death [32:11], THE angels (plural) [47:27] but also "It is Allah that takes the souls (of men) at death." [39:42] Angels have 2, 3, or 4 pairs of wings [35:1]; but Gabriel had 600 wings. [Sahih Bukhari, Volume 4, Book 54, Number 455]
  24. How many days did Allah need to destroy the people of Aad? One day [54:19] or several days [41:16; 69:6,7]
  25. Six or eight days of creation? Sura 7:54, 10:3, 11:7, and 25:59 clearly state that God created "the heavens and the earth" in six days. But in 41:9-12 the detailed description of the creation procedure adds up to eight days. (This topic also includes many Muslim responses and further discussion.)
  26. Quick or Slow Creation? Allah creates the heavens and the earth in six days [7:54] and many Muslims want to be modern and scientific, and make that six eons, but then again, He creates instantaneously [2:117], "Be! And it is".
  27. Heavens or Earth? Which was created first? First earth and then heaven [2:29], heaven and after that earth [79:27-30].
  28. Calling together or ripping apart? In the process of creation heaven and earth were first apart and are called to come together [41:11], while 21:30 states that they were originally one piece and then ripped apart.
  29. What was man created from? A blood clot [96:1-2], water [21:30, 24:45, 25:54], "sounding" (i.e. burned) clay [15:26], dust [3:59, 30:20, 35:11], nothing [19:67] and this is then denied in 52:35, earth [11:61], a drop of thickened fluid [16:4, 75:37]
  30. What were jinn created from?
  31. The descent of the Quran: Piecemeal or all at once?
  32. Examining the inherent problems with the descent of the Quran
  33. Is half the Quran already fully detailed?
  34. Fully Detailed Or Incomplete? The Qur'an claims for itself to be (fully) detailed, that nothing is left out of the book [6:38, 6:114, 12:111, 16:89 etc.]. However there are plenty of important issues which are left unclear in the Qur'an. This article discusses the confusion found in the quranic statements on wine.
  35. Is the Quran Completely Clear or Not?
  36. The Perspicuity of the Quran and It’s Mysterious Letters
  37. Worshiping the Same or a Different God? Muhammad is commanded to speak to the disbelievers: ... nor do you worship what I worship [109:3]. However, other verses in the Qur'an state clearly that those disbelieving his message are in fact worshiping the same God, Allah.
  38. Did the Meccan Polytheist Believe That Allah Was The Supreme Being?
  39. To Intercede or Not To Intercede? - That is the Question! The Qur'an makes contradictory statements whether on the Day of Judgment intercession will be possible. No: [2:122-123, 254; 6:51; 82:18-19; etc.]. Yes: [20:109; 34:23; 43:86; 53:26; etc.]. Each position can be further supported by ahadith.
  40. How the Islamic Doctrine of Intercession undermines Allah's Omniscience
  41. Where is Allah and his throne? Allah is nearer than the jugular vein [50:16], but he is also on the throne [57:4] which is upon the water [11:7], and at the same time so far away, that it takes between 1,000 and 50,000 years to reach him [32:5, 70:4].
  42. The origin of calamity? Is the evil in our life from Satan [38:41], Ourselves [4:79], or Allah [4:78]?
  43. How merciful is Allah's mercy? He has prescribed mercy for himself [6:12], yet he does not guide some, even though he could [6:35, 14:4].
  44. Does Allah command to do evil? No [7:28, 16:90]. Yes [17:16, ]. Two examples are also given, where Allah clearly commanded or permitted indecent actions [2:229-230, 2:187].
  45. Should Muhammad Get Paid Or Shouldn’t He?
  46. A Contradiction Regarding Muhammad's Fatherhood
  47. Will there be inquiry in Paradise? "neither will they question one another" [23:101] but nevertheless they will be "engaging in mutual inquiry" [52:25], "and they will ... question one another" [37:27].
  48. Are angels protectors? "NO protector besides Allah" [2:107, 29:22]. But in Sura 41:31 the angels themselves say: "We are your protectors in this life and the Hereafter." And also in other suras is their role described as guarding [13:11, 50:17-18] and protecting [82:10].
  49. Is Allah the only Wali? On the one hand, Allah is supposedly the only wali (protector, helper, friend) [9:116, 17:111, 32:4, 42:28], on the other hand, the messenger and the believers are walis [5:55, 9:71], Allah has walis [10:62], and he raises walis [4:75].
  50. Does Allah Act Alone Or Does He Have Partners That Assist Him?
  51. Is Allah the Only Judge or Not?
  52. Is Allah the only sovereign or isn’t he?
  53. Are all obedient and prostrating to Allah? That is the claim in 16:49 and 30:26, but dozens of verses speak of the proud disobedience of Satan [7:11, 15:28-31, 17:61, 20:116, 38:71-74, 18:50] as well of many different human beings who reject His commands and His revelations.
  54. Does Allah forgive shirk? Shirk is considered the worst of all sins, but the author of the Qur'an seems unable to decide if Allah will ever forgive it or not. No [4:48, 116], Yes [4:153, 25:68-71]. Abraham committed this sin of polytheism as he takes moon, sun, stars to be his Lord [6:76-78], yet Muslims believe that all prophets are without any sin.
  55. Abraham and the Sun
  56. Abraham's Monotheism
  57. Abraham's Progeny? How the Qur'an messed up Abraham's family tree
  58. Did All Prophets Receive the Same Book?
  59. The event of worship of the golden calf: The Israelites repented about worshipping the golden calf BEFORE Moses returned from the mountain [7:149], yet they refused to repent but rather continued to worship the calf until Moses came back [20:91]. Does Aaron share in their guilt? No [20:85-90], yes [20:92, 7:151].
  60. Was Jonah cast on the desert shore or was he not? "Then We cast him on a desert shore while he was sick" [37:145] "Had not Grace from his Lord reached him, he would indeed have been cast off on the naked shore while he was reprobate." [68:49]
  61. Moses and the Injil? Jesus is born more than 1,000 years after Moses, but in 7:157 Allah speaks to Moses about what is written in the Injil [the book given to Jesus].
  62. Can slander of chaste women be forgiven? Yes [24:5], No [24:23].
  63. How do we receive the record on Judgment Day? On Judgement day the lost people are given the Record (of their bad deeds): Behind their back [84:10], or in their left hand [69:25].
  64. Can angels disobey? No angel is arrogant, they all obey Allah [16:49-50], but: "And behold, we said to the ANGELS: 'Bow down to Adam'. And THEY bowed down, EXCEPT Iblis. He refused and was haughty." [2:34]. This article includes links to answers to four Muslim responses.
  65. How many wings does an angel have? Angels have 2, 3, or 4 wings [35:1]; but Gabriel had 600 wings according to Sahih al-Bukhari.
  66. Is Satan an angel or a jinn?
  67. Three contradictions in 2:97 and 16:101-103 Who brings the revelation from Allah to Muhammad? The ANGEL Gabriel [2:97], or the Holy Spirit [16:102]? The new revelation confirms the old [2:97] or substitutes it [16:101]? The Qur'an is PURE Arabic [16:103] but there are numerous foreign, non-Arabic words in it.
  68. Do not say, "Three"!? It is impossible to recite Sura 4:171 without transgressing the command contained in it.
  69. The infinite loop problem Sura 26:192,195,196: "It (the Qur'an) is indeed a revelation from the Lord of the Worlds, ... in clear Arabic speech and indeed IT (the Qur'an) is in the writings of the earlier (prophets)." Now, the 'earlier writings' are the Torah and the Injil for example, written in Hebrew and Greek. HOW can an ARABIC Qur'an be contained in books of other languages? Furthermore, it would have to contain this very passage of the Qur'an since the Qur'an is properly contained in them. Hence these earlier writings have to be contained in yet other earlier writings and we are in an infinite loop, which is absurd.
  70. Is the Torah like the Qur'an, or is it not? The Muslim claim of the corruption of the Bible leads to a contradiction between S. 2:24 and 17:88 on the one hand, and 28:49 and 46:10 on the other.
  71. Should Jews and Christians follow the Bible or the Quran?
  72. "An old woman" and God's character About the story of Lot: "So we delivered him and his family, - all exept an old woman who lingered behind." [Sura 26:170-171] And again: "But we saved him and his family, exept his wife: she was of those who lagged behind. [Sura 7:83]. Either this is a contradiction or if indeed Lot's wife is derogatorily called "an old woman" then this does not show much respect for her as a wife of a prophet.
  73. More problems with the story of Lot "And his people gave NO answer but this: They said, "Drive them out of your city: these are indeed men who want to be clean and pure!" [Sura 7:82 & 27:56]. Yet: "But his people gave NO answer but this: They said: "Bring us the Wrath of Allah if thou tellest the truth." [Sura 29:29]. Obviously these answers are different.
  74. The "pleasure" of Allah? Is God's action of punishment or mercy and guidance or misguidance arbitrary?
  75. Did Abraham smash the idols? The accounts of Abraham, Suras 19:41-49, 6:74-83 differ quite a bit from Sura 21:51-59. While in Sura 21 Abraham confronts his people strongly, and even destroys the idols, in Sura 19 Abraham shuts up after his father threatens him to stone him for speaking out against the idols. And he seems not only to become silent, but even to leave the area ("turning away from them all").
  76. What about Noah's son? According to Sura 21:76, Noah and his family is saved from the flood, and Sura 37:77 confirms that his seed survived. But Sura 11:42-43 reports that Noah's son drowns.
  77. Was Noah driven out? "Before them *the people of Noah* rejected (their messenger): They rejected Our servant and said, 'Here is One possessed!' And he was driven out." [Sura 54:9] Now, if he is driven out [expelled from their country] how come they can scoff at him while he is building the ark since we read "Forthwith he (starts) constructing the Ark: Every time that the Chiefs of *his people* passed by him, they threw ridicule on him." [Sura 11:38] He cannot be both: Driven out and near enough that they can regularly pass by.
  78. Pharaoh's Magicians: Muslims or Rejectors of Faith? Did the Magicians of Pharaoh, Egyptians, become believers in the God of Moses [7:103-126; 20:56-73; S. 26:29-51] or did only Israelites believe in Moses [10:83]?
  79. How many gods did the Egyptians worship?
  80. Pharaoh's repentance in the face of death? According to Sura 10:90-92, Pharaoh repented "in the sight of death" and was saved. But Sura 4:18 says that such a thing can't happen.
  81. Abrogation? "The words of the Lord are perfect in truth and justice; there is NONE who can change His words." [Sura 6:115] Also see 6:34 and 10:64. But then Allah (Muhammad?) sees the need to exchange some of them for "better ones" [Sura 2:106, 16:101]. And it is not for ignorant people to question Allah because of such practices!
  82. Guiding to truth? "Say: 'God - He guides to the truth; and which is worthier to be followed ...?" [Sura 10:35] But how much is left over of this worthiness when we also read: "Allah leads astray whom he pleases, and he guides whom He pleases, ..." [Sura 14:4]. And how do we know in which of Allah's categories of pleasure we fall? How sure can a Muslim be that he is one of those guided right and not one of those led astray?
  83. What is the punishment for adultery? Flogging with a 100 stripes (men and women) [24:2], "confine them to houses until death do claim them (lifelong house arrest - for the women) [4:15]. For men: "If they repent and amend, leave them alone" [4:16]. 24:2 contradicts both the procedure for women and men in Sura 4. And why is the punishment for women and men equal in Sura 24 but different in Sura 4?
  84. How are the sexually immoral supposed to be punished?
  85. The Problem of Divine Sovereignty, Predestination, Salvation and Human Free Will
  86. Who suffers the consequence of sins? The Qur'an declares that everyone will be held responsible only for his own sins [S. 17:13-15, 53:38-42]. Yet, the Qur'an accuses the Jews of Muhammad's day for the sins committed some 2000 years earlier by other Jews, e.g. worshipping the Golden Calf idol.
  87. Will Christians enter Paradise or go to Hell? Sura 2:62 and 5:69 say "Yes", Sura 5:72 (just 3 verses later) and 3:85 say "No".
  88. God alone or also men? Clear or incomprehensible? The Qur'an is "clear Arabic speech." [16:103] Yet "NONE knows its interpretation, save only Allah." [3:7]. Actually, "men of understanding do grasp it." [3:7]
  89. Was Pharaoh Drowned or Saved when chasing Moses and the Israelites? Saved [10:92], drowned [28:40, 17:103, 43:55].
  90. When Commanded Pharaoh the Killing of the Sons? When Moses was a Prophet and spoke God's truth to Pharaoh [40:23-25] or when he was still an infant [20:38-39]?
  91. When/how are the fates determined? "The night of power is better than a thousand months. The angels and spirit descend therein, by the permission of their Lord, with all decrees." [97:3,4] "Lo! We revealed it on a blessed night." [44:3] To Muslims, the "Night of Power" is a blessed night on which fates are settled and on which everything relating to life, death, etc., which occurs throughout the year is decreed. It is said to be the night on which Allah's decrees for the year are brought down to the earthly plane. In other words, matters of creation are decreed a year at a time. Contradicting this, Sura 57:22 says, "No affliction befalls in the earth or in your selves, but it is in a Book before we create it." This means it is written in the Preserved Tablet, being totally fixed in Allah's knowledge before anyone was created. All of the above is contradicted by "And every man's fate We have fastened to his own neck." This says that man alone is responsible for what he does and what happens to him. [17:13]
  92. Wine: Good or bad? Strong drink and ... are only an infamy of Satan's handiwork. [5:90, also 2:219]. Yet on the other hand in Paradise are rivers of wine [47:15, also 83:22,25]. How does Satan's handiwork get into Paradise?
  93. Good News of Painful Torture? Obviously, announcing torment and suffering to anyone is bad news, not good news. However, the Qur'an announces the good news of painful torment [3:21, 4:138, 9:3, 9:34, 31:7, 45:8, and 84:24].
  94. Jinns and men created for worship or for Hell? Created only to serve God [Sura 51:56], many of them made for Hell [Sura 7:179].
  95. Preferred for Hell? S. 17:70 says that Allah prefers (all) the children of Adam over many of his creatures, but S. 98:6 declares the majority of men to be the worst of creatures, many of them being even created specifically for Hell (S. 7:179).
  96. Will people stay in Hell forever, or not?
  97. Will all Muslims go to Hell? According to Sura 19:71 every Muslim will go to Hell (for at least some time), while another passage states that those who die in Jihad will go to Paradise immediately.
  98. Will Allah disgrace Muslims? On the day of judgment Allah will not humiliate or disgrace the Prophet and those who believe in him [S. 66:8]. However, 19:71 says that everyone will enter Hell, and 3:192 states that whomsoever Allah sends to Hell, is disgraced thereby.
  99. Will Jesus burn in Hell? Jesus is raised to Allah, [Sura 4:158], near stationed with him [Sura 3:45], worshiped by millions of Christians, yet Sura 21:98 says, that all that are worshiped by men besides Allah will burn in Hell together with those who worship them.
  100. Is Jesus God or Not? In Sura 16:17, 20-21 and S. 25:3 we find a criterion to distinguish the true God from false gods. Yet, according to S. 3:49, 55, 4:157-158, 5:110, 6:2, and 38:71-72 Jesus satisfies the definition and should be considered true Deity.
  101. Is Jesus Like Adam? S. 3:59 makes this claim, but how many aspects of likeness are there really?
  102. Can there be a son without a consort? Allah cannot have a son without a consort [Sura 6:101], but Mary can have a son without a consort because that is easy for Allah [Sura 19:21].
  103. Who is the father of Jesus? A more involved argument that is difficult to summarize in one sentence.
  104. Begetting and Self-sufficiency A self-contradiction on account of confused terminology.
  105. Could Allah have a son? Sura 39:4 affirms and Sura 6:101 denies this possibility.
  106. Did Jesus Die already? Sura 3:144 states that all messengers died before Muhammad. But 4:158 claims that Jesus was raised to God (alive?).
  107. One Creator or many? The Qur'an uses twice the phrase that Allah is "the best of creators" [23:14, 37:125]. What other creators are in mind? On the other hand, many verses make clear that Allah alone is "the creator of all things" [e.g. 39:62]. There is nothing left for others to be a creator of.
  108. From among all nations or from Abraham's seed? Sura 29:27 states that all prophets came Abraham's seed. But 16:36 claims that Allah raised messengers from among every people.
  109. Marrying the wives of adopted sons? It is important that Muslims can marry the divorced wives of adopted sons [Sura 33:37], yet it is forbidden to adopt sons [Sura 33:4-5].
  110. Messengers were never sent to other than their own people? So it is claimed in Sura 14:4 and 30:47. However, the Bible and the Qur'an, and the Muslim traditions confirm that Jonah was sent to a different nation.
  111. Messengers Were Sent Only to Their Own People? Sura 14:4 states that never was a messenger sent except in the language of his own people. Yet, the Quran itself claims that Jesus is supposed to be a sign to all people, that the Torah and Gospel are for all people, that Moses was sent to Pharaoh of Egypt, and that Muhammad is sent to all of mankind. The hadith also claim that Noah was sent to "the inhabitants of the earth".
  112. Did Allah give a Greek Injil to the Jews?
  113. What kind of book is the Injil?
  114. Messengers Amongst the Jinns and Angels? Allah sent only men as messengers [Suras 12:109, 21:7-8, 25:20-21] but there seemingly are messengers from Jinns and Angels [6:130; 11:69,77; 22:75; etc., see article for details].
  115. Do all of God's messengers eat food?
  116. A Messenger from among the beasts? Allah sent only men as messengers [Suras 12:109, 21:7-8, 25:20-21]. Yet, the Qur'an also speaks about a beast that is a messenger from Allah to men [S. 27:82].
  117. Is Muhammad Only A Warner or a Prophet/Messenger?
  118. Did the Messengers Perform Miracles?
  119. Divinely Inspired Ignorance?
  120. Which Prophets Did the Jews Kill?
  121. Another eleven contradictions...
 
Hakuna aliyekuzuhia kutalk openly ndugu,
Tatizo ni kuwa, ukiona uzi wowote unazungumzia mambo ya Mungu wewe haraka sana unaanza ohoo Kwanza Mungu ayupo, mara thibitisha km kweli yupo. Kitu kinachopelekea kuharibu maudhui mazima ya mada husika na kuanza kujadili hoja yako
Mungu hayupo.

Unaweza kuthibitisha kwamba yupo?
 
Mungu hayupo.

Unaweza kuthibitisha kwamba yupo?
Dah umerudi kule kule tena,.
Ok kwa imani yako unaamini Mungu hayupo. Ila ninachojiuliza ni kwanini usibaki na imani yako hiyo mwenyewe badala yake unatumia nguvu nyingi kuwaaminisha watu wengine kile unachokiamini wewe.
Ni kwanini hizo nguvu usizielekeze kwenye kutatua changamoto zinazoikabili jamii yako
 
Mungu hayupo.

Unaweza kuthibitisha kwamba yupo?
Dah umerudi kule kule tena,.
Ok kwa imani yako unaamini Mungu hayupo. Ila ninachojiuliza ni kwanini usibaki na imani yako hiyo mwenyewe badala yake unatumia nguvu nyingi kuwaaminisha watu wengine kile unachokiamini wewe.
Ni kwanini hizo nguvu usizielekeze kwenye kutatua changamoto zinazoikabili jamii yako
 
Dah umerudi kule kule tena,.
Ok kwa imani yako unaamini Mungu hayupo. Ila ninachojiuliza ni kwanini usibaki na imani yako hiyo mwenyewe badala yake unatumia nguvu nyingi kuwaaminisha watu wengine kile unachokiamini wewe.
Ni kwanini hizo nguvu usizielekeze kwenye kutatua changamoto zinazoikabili jamii yako
Hata hunielewi.

Sitaki imani. Nataka kujua.

Nimebaki na kutaka kujua.

Ila nyie ndio mnaniletea uongo hapa JF kwamba Mungu yupo.

Wakati hayupo.

Ndiyo maana hamuwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Mimi sipendi uongo.

Sasa unanilazimisha nikubali uongo ambao hamuwezi kuuthibitisha?
 
Kwanza kabisa, si kweli kwamba watu wana fikra huru.

Soma utafiti wa kisomi huu hapa kutoka jarida la Scientific American

Is Free Will an Illusion?

Pili, Mungu anayefyekelea vizazi, anakuwaje Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?

Ina maana alivyoumba ulimwengu alijua atavifyekelea mbali hivi vizazi akaviumba tu, ili avifyekelee mbali?

Kama ni kweli alijua hilo, Mungu anayeumba vizazi huku akijua atavifyekelea mbali, ni kweli ana upendo wote?

Kama hakujua kwamba atavifyekelea mbali, Mungu asiyejua kwamba atavifyekelea mbali vizazi, ana ujuzi wote?

Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote ataumbaje watu kwa version? Ina maana alikosea mwanzo, akaona afanye update kama software engineer ambaye hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote?

Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote naye anahitaji kufanya updates?

Mungu wako anajitekenye mwenyewe na kucheka mwenyewe? Kwa kutupa mitihani? Kama anajua majibu yote, anatupa mitihani ili iweje?

Mwalimu anampa mwanafunzi mtihani ili mwalimu ajue mwananfunzi anajua nini. Huyo Mungu ambaye ndiye anatoa uwezo wa mtu kujua yote anayojua, anatoa mtihani ili iweje wakati yeye Mungu mnasema anajua kila kitu?

.

Free will is an illussion, soma wataalam wanasema hilo hapa

Is Free Will an Illusion?

Mtu ukizaliwa Saudi Aarabia most likely utakuwa Muislamu na kumuamini Allah, by sheer chance of birth and environment, ukizaliwa Italy most likely utakuwa Catholic. Unapozaliwa tu pana determine utakulia dini gani na kuamini nini.

Watu karibu wote wanaoamini Mungu wanaamini dini walizozaliwa nazo, hapo hakuna free will.

Watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri hawana free will.

Watu wenye addictions zilizo na genetic links hawana free will.

Free will is an illussion.

Mungu hayupo, ndiyo maana huwezi kuthibitisha yupo



Hakuna mistari ambayo Mungu kalaani watu kwenye Quran?



Kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao tsunami linaweza kupiga na kuua mpaka vitoto vichanga, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao tsunami haliwezi kupiga?

Hujajibu swali hili.

Mwanadamu hajaruhusiwa afanye kila analotaka, mfano, nataka nirudi nyuma katika muda, nirekebishe mambo fulani, lakini siwezi. Kusema mtu karuhusiwa kufanya kila analotaka ni uongo.

Aallah yupo kwenye test? Ina maana Mungu wako ujuzi wake wote hautoshi mpaka afanye test? Test inafanywa na mtu asiye na uhakika, Aallah wako hana uhakika?

Unaweza kuthibitisha hiyo dunia isiyo ya kwaiada si story tu?



Qquran si tukufu, imeandikwa na watu tu, ndiyo maana ina contradictions.

Qquran inasema kuna watu Aallah kawaziba macho, mioyo na amsikio wasimjue.

Hata mkifanya vipi hawatamjua. Kisha Allah atawapa hukumu kubwa hawa.

Yani Mungu badala ya kuwaongoza watu wamjue, anawaziba macho, masikio na mioyo wasimje.

Halafu anawahukumu kwa sababu hawakumjua.

Unaona hiki kitabu cha Mungu kweli?



Thibitisha Mungu yupo, usilete longolongo.

Unaelewa ukisema for every creation there is a creator unasema Mungu hawezi kuwepo?

Kwa sababu na yeye atahitaji creator wake, na creator wake atahitaji creator wake, ad infinitum, ad nauseum?

Unaelewa hilo linaonesha Mungu hawezi kuwepo, haliuoneshi Mungu yupo?



Unaelewa kwamba ukishasema Mungu anaweza kuumba jiwe kubwa sana hata yeye ashindwe kulibeba, tayari umeshasema huyo Mungu si muweza yote, kwa sababu ameshindwa kubeba hilo jiwe?

Unaelewa hilo?



Mungu muweza yote amshindwa kuwa elevate watu kwenye umbo lisilo kufa bila kuwatenganisha na familia zao kwa kifo?

Mungu wako anahitaji kufanya test? kwa sababu hana uhakika na mambo yake?



Kama Mungu hajaruhusu confusion, mbona dunia ina dini nyingi sana na kuna confusion nani Mungu wa kweli?

Imekuwaje confusion ambaypo Mungu hajairuhusu iweze kutokea?



Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na si hadithi za uongo tu?

Unaweza kuondoa contradictions hizi za kwenye Quran?

Contradictions / Difficulties in the Qur'an

Internal Contradictions:
  1. Who suffers loss if Muhammad was wrong? Sura 34:50 commands Muhammad to say, "If I go astray, I go astray only to my own loss," which is a severe factual error in the Qur'an as well as contradicting the teaching of the Qur'an in a number of other verses.
  2. Allah, Adam, and the Angels. There are a great number of problems and inconsistencies between the several accounts of Adam's creation, Allah's command to prostrate before Adam, Satans refusal, etc.
  3. Who Was the First Muslim? Muhammad [6:14, 163], Moses [7:143], some Egyptians [26:51], or Abraham [2:127-133, 3:67] or Adam, the first man who also received inspiration from Allah [2:37]?
  4. Can Allah be seen and did Muhammad see his Lord? Yes [S. 53:1-18, 81:15-29], No [6:102-103, 42:51].
  5. Were Warners Sent to All Mankind Before Muhammad? Allah had supposedly sent warners to every people [10:47, 16:35-36, 35:24], Abraham and Ishmael are specifically claimed to have visited Mecca and built the Kaaba [2:125-129]. Yet, Muhammad supposedly is sent to a people who never had a messenger before [28:46, 32:3, 34:44, 36:2-6]. This article also raises other issues: What about Hud and Salih who supposedly were sent to the Arabs? What about the Book that was supposedly given to Ishmael? Etc.
  6. What will be the food for the people in Hell? The food for the people in Hell will be only "Dhari" [Sura 88:6], or only foul pus from the washing of wounds [S. 69:36], or will they also get to eat from the tree of Zaqqum [S. 37:66]? Together, these verses constitute three contradictions.
  7. Can Angels Cause the Death of People? The Qur'an attacks those who worship anyone besides God (e.g. angels or prophets) because those can neither create, nor give life, nor cause anyone to die. Yet, the Qur'an explicitly states that one angel or several angels are causing certain people to die [Sura 4:97, 16:28, 32, 32:11].
  8. Confusion Concerning Identity of the Spirit and Gabriel (a long discussion of dozens of references)
  9. 'Iddah rules for divorced and widowed women appear to be arbitrary and inconsistent.
  10. Is there a minimum age of marriage for girls?
  11. To Marry or Not to Marry? The Qur'an forbids believers to marry idolatrous women [Sura 2:221], and calls Christians idolaters and unbelievers [9:28-33], but still allows Muslims to marry Christian women [5:5].
  12. Will it be accepted of them or not?
  13. Will Allah reward the good deeds of Unbelievers? S. 9:17 and 9:69 clearly say no. However, S. 99:7 implies yes. Moreover, S. 2:62 promises Christians reward for their good deeds. But S. 9:28-33; 5:17, 72-73 calls Christians idolaters, and S. 9:17 is very clear that idolaters will have no reward.
  14. Should Muslims Accept Peace or Not?
  15. Fighting All People Until They Do What?
  16. Compel them or Not?
  17. Can They Disbelieve in the Last Day and be Safe?
  18. Should Muslims show kindness to their parents? On the one hand, the Quran commands all Muslims to show kindness to their parents, even if they are disbelievers [17:23-24, 31:14-15, 29:8, etc.]. On the other hand, it demands not to show any love or friendship to those who oppose Muhammad, even if they are their parents [9:23, 58:22].
  19. Can one be a believer in God and oppose Muhammad at the same time?
  20. How many mothers does a Muslim have? Only one [58:2, the woman who gave birth and none else], or two [4:23, including the mother who nursed him], or at least ten [33:6]?
  21. And it just doesn't add up: Sura 4:11-12 and 4:176 state the Qur'anic inheritance law. When a man dies, and is leaving behind three daughters, his two parents and his wife, they will receive the respective shares of 2/3 for the 3 daughters together, 1/3 for the parents together [both according to verse 4:11] and 1/8 for the wife [4:12] which adds up to more than the available estate. A second example: A man leaves only his mother, his wife and two sisters, then they receive 1/3 [mother, 4:11], 1/4 [wife, 4:12] and 2/3 [the two sisters, 4:176], which again adds up to 15/12 of the available property.
  22. How many angels were talking to Mary? When the Qur'an speaks about the announciation of the birth of Jesus to the virgin Mary, Sura 3:42,45 speaks about (several) angels while it is only one in Sura 19:17-21. (This article has received many Muslim responses which are quoted or linked and/or discussed at the end of the article.)
  23. Further numerical discrepancies Does Allah's day equal to 1,000 human years (Sura 22:47, 32:5) or 50,000 human years (Sura 70:4)? --- According to Sura 56:7 there will be THREE distinct groups of people at the Last Judgement, but 90:18-19, 99:6-8, etc. mention only TWO groups. --- There are conflicting views on who takes the souls at death: THE Angel of Death [32:11], THE angels (plural) [47:27] but also "It is Allah that takes the souls (of men) at death." [39:42] Angels have 2, 3, or 4 pairs of wings [35:1]; but Gabriel had 600 wings. [Sahih Bukhari, Volume 4, Book 54, Number 455]
  24. How many days did Allah need to destroy the people of Aad? One day [54:19] or several days [41:16; 69:6,7]
  25. Six or eight days of creation? Sura 7:54, 10:3, 11:7, and 25:59 clearly state that God created "the heavens and the earth" in six days. But in 41:9-12 the detailed description of the creation procedure adds up to eight days. (This topic also includes many Muslim responses and further discussion.)
  26. Quick or Slow Creation? Allah creates the heavens and the earth in six days [7:54] and many Muslims want to be modern and scientific, and make that six eons, but then again, He creates instantaneously [2:117], "Be! And it is".
  27. Heavens or Earth? Which was created first? First earth and then heaven [2:29], heaven and after that earth [79:27-30].
  28. Calling together or ripping apart? In the process of creation heaven and earth were first apart and are called to come together [41:11], while 21:30 states that they were originally one piece and then ripped apart.
  29. What was man created from? A blood clot [96:1-2], water [21:30, 24:45, 25:54], "sounding" (i.e. burned) clay [15:26], dust [3:59, 30:20, 35:11], nothing [19:67] and this is then denied in 52:35, earth [11:61], a drop of thickened fluid [16:4, 75:37]
  30. What were jinn created from?
  31. The descent of the Quran: Piecemeal or all at once?
  32. Examining the inherent problems with the descent of the Quran
  33. Is half the Quran already fully detailed?
  34. Fully Detailed Or Incomplete? The Qur'an claims for itself to be (fully) detailed, that nothing is left out of the book [6:38, 6:114, 12:111, 16:89 etc.]. However there are plenty of important issues which are left unclear in the Qur'an. This article discusses the confusion found in the quranic statements on wine.
  35. Is the Quran Completely Clear or Not?
  36. The Perspicuity of the Quran and It’s Mysterious Letters
  37. Worshiping the Same or a Different God? Muhammad is commanded to speak to the disbelievers: ... nor do you worship what I worship [109:3]. However, other verses in the Qur'an state clearly that those disbelieving his message are in fact worshiping the same God, Allah.
  38. Did the Meccan Polytheist Believe That Allah Was The Supreme Being?
  39. To Intercede or Not To Intercede? - That is the Question! The Qur'an makes contradictory statements whether on the Day of Judgment intercession will be possible. No: [2:122-123, 254; 6:51; 82:18-19; etc.]. Yes: [20:109; 34:23; 43:86; 53:26; etc.]. Each position can be further supported by ahadith.
  40. How the Islamic Doctrine of Intercession undermines Allah's Omniscience
  41. Where is Allah and his throne? Allah is nearer than the jugular vein [50:16], but he is also on the throne [57:4] which is upon the water [11:7], and at the same time so far away, that it takes between 1,000 and 50,000 years to reach him [32:5, 70:4].
  42. The origin of calamity? Is the evil in our life from Satan [38:41], Ourselves [4:79], or Allah [4:78]?
  43. How merciful is Allah's mercy? He has prescribed mercy for himself [6:12], yet he does not guide some, even though he could [6:35, 14:4].
  44. Does Allah command to do evil? No [7:28, 16:90]. Yes [17:16, ]. Two examples are also given, where Allah clearly commanded or permitted indecent actions [2:229-230, 2:187].
  45. Should Muhammad Get Paid Or Shouldn’t He?
  46. A Contradiction Regarding Muhammad's Fatherhood
  47. Will there be inquiry in Paradise? "neither will they question one another" [23:101] but nevertheless they will be "engaging in mutual inquiry" [52:25], "and they will ... question one another" [37:27].
  48. Are angels protectors? "NO protector besides Allah" [2:107, 29:22]. But in Sura 41:31 the angels themselves say: "We are your protectors in this life and the Hereafter." And also in other suras is their role described as guarding [13:11, 50:17-18] and protecting [82:10].
  49. Is Allah the only Wali? On the one hand, Allah is supposedly the only wali (protector, helper, friend) [9:116, 17:111, 32:4, 42:28], on the other hand, the messenger and the believers are walis [5:55, 9:71], Allah has walis [10:62], and he raises walis [4:75].
  50. Does Allah Act Alone Or Does He Have Partners That Assist Him?
  51. Is Allah the Only Judge or Not?
  52. Is Allah the only sovereign or isn’t he?
  53. Are all obedient and prostrating to Allah? That is the claim in 16:49 and 30:26, but dozens of verses speak of the proud disobedience of Satan [7:11, 15:28-31, 17:61, 20:116, 38:71-74, 18:50] as well of many different human beings who reject His commands and His revelations.
  54. Does Allah forgive shirk? Shirk is considered the worst of all sins, but the author of the Qur'an seems unable to decide if Allah will ever forgive it or not. No [4:48, 116], Yes [4:153, 25:68-71]. Abraham committed this sin of polytheism as he takes moon, sun, stars to be his Lord [6:76-78], yet Muslims believe that all prophets are without any sin.
  55. Abraham and the Sun
  56. Abraham's Monotheism
  57. Abraham's Progeny? How the Qur'an messed up Abraham's family tree
  58. Did All Prophets Receive the Same Book?
  59. The event of worship of the golden calf: The Israelites repented about worshipping the golden calf BEFORE Moses returned from the mountain [7:149], yet they refused to repent but rather continued to worship the calf until Moses came back [20:91]. Does Aaron share in their guilt? No [20:85-90], yes [20:92, 7:151].
  60. Was Jonah cast on the desert shore or was he not? "Then We cast him on a desert shore while he was sick" [37:145] "Had not Grace from his Lord reached him, he would indeed have been cast off on the naked shore while he was reprobate." [68:49]
  61. Moses and the Injil? Jesus is born more than 1,000 years after Moses, but in 7:157 Allah speaks to Moses about what is written in the Injil [the book given to Jesus].
  62. Can slander of chaste women be forgiven? Yes [24:5], No [24:23].
  63. How do we receive the record on Judgment Day? On Judgement day the lost people are given the Record (of their bad deeds): Behind their back [84:10], or in their left hand [69:25].
  64. Can angels disobey? No angel is arrogant, they all obey Allah [16:49-50], but: "And behold, we said to the ANGELS: 'Bow down to Adam'. And THEY bowed down, EXCEPT Iblis. He refused and was haughty." [2:34]. This article includes links to answers to four Muslim responses.
  65. How many wings does an angel have? Angels have 2, 3, or 4 wings [35:1]; but Gabriel had 600 wings according to Sahih al-Bukhari.
  66. Is Satan an angel or a jinn?
  67. Three contradictions in 2:97 and 16:101-103 Who brings the revelation from Allah to Muhammad? The ANGEL Gabriel [2:97], or the Holy Spirit [16:102]? The new revelation confirms the old [2:97] or substitutes it [16:101]? The Qur'an is PURE Arabic [16:103] but there are numerous foreign, non-Arabic words in it.
  68. Do not say, "Three"!? It is impossible to recite Sura 4:171 without transgressing the command contained in it.
  69. The infinite loop problem Sura 26:192,195,196: "It (the Qur'an) is indeed a revelation from the Lord of the Worlds, ... in clear Arabic speech and indeed IT (the Qur'an) is in the writings of the earlier (prophets)." Now, the 'earlier writings' are the Torah and the Injil for example, written in Hebrew and Greek. HOW can an ARABIC Qur'an be contained in books of other languages? Furthermore, it would have to contain this very passage of the Qur'an since the Qur'an is properly contained in them. Hence these earlier writings have to be contained in yet other earlier writings and we are in an infinite loop, which is absurd.
  70. Is the Torah like the Qur'an, or is it not? The Muslim claim of the corruption of the Bible leads to a contradiction between S. 2:24 and 17:88 on the one hand, and 28:49 and 46:10 on the other.
  71. Should Jews and Christians follow the Bible or the Quran?
  72. "An old woman" and God's character About the story of Lot: "So we delivered him and his family, - all exept an old woman who lingered behind." [Sura 26:170-171] And again: "But we saved him and his family, exept his wife: she was of those who lagged behind. [Sura 7:83]. Either this is a contradiction or if indeed Lot's wife is derogatorily called "an old woman" then this does not show much respect for her as a wife of a prophet.
  73. More problems with the story of Lot "And his people gave NO answer but this: They said, "Drive them out of your city: these are indeed men who want to be clean and pure!" [Sura 7:82 & 27:56]. Yet: "But his people gave NO answer but this: They said: "Bring us the Wrath of Allah if thou tellest the truth." [Sura 29:29]. Obviously these answers are different.
  74. The "pleasure" of Allah? Is God's action of punishment or mercy and guidance or misguidance arbitrary?
  75. Did Abraham smash the idols? The accounts of Abraham, Suras 19:41-49, 6:74-83 differ quite a bit from Sura 21:51-59. While in Sura 21 Abraham confronts his people strongly, and even destroys the idols, in Sura 19 Abraham shuts up after his father threatens him to stone him for speaking out against the idols. And he seems not only to become silent, but even to leave the area ("turning away from them all").
  76. What about Noah's son? According to Sura 21:76, Noah and his family is saved from the flood, and Sura 37:77 confirms that his seed survived. But Sura 11:42-43 reports that Noah's son drowns.
  77. Was Noah driven out? "Before them *the people of Noah* rejected (their messenger): They rejected Our servant and said, 'Here is One possessed!' And he was driven out." [Sura 54:9] Now, if he is driven out [expelled from their country] how come they can scoff at him while he is building the ark since we read "Forthwith he (starts) constructing the Ark: Every time that the Chiefs of *his people* passed by him, they threw ridicule on him." [Sura 11:38] He cannot be both: Driven out and near enough that they can regularly pass by.
  78. Pharaoh's Magicians: Muslims or Rejectors of Faith? Did the Magicians of Pharaoh, Egyptians, become believers in the God of Moses [7:103-126; 20:56-73; S. 26:29-51] or did only Israelites believe in Moses [10:83]?
  79. How many gods did the Egyptians worship?
  80. Pharaoh's repentance in the face of death? According to Sura 10:90-92, Pharaoh repented "in the sight of death" and was saved. But Sura 4:18 says that such a thing can't happen.
  81. Abrogation? "The words of the Lord are perfect in truth and justice; there is NONE who can change His words." [Sura 6:115] Also see 6:34 and 10:64. But then Allah (Muhammad?) sees the need to exchange some of them for "better ones" [Sura 2:106, 16:101]. And it is not for ignorant people to question Allah because of such practices!
  82. Guiding to truth? "Say: 'God - He guides to the truth; and which is worthier to be followed ...?" [Sura 10:35] But how much is left over of this worthiness when we also read: "Allah leads astray whom he pleases, and he guides whom He pleases, ..." [Sura 14:4]. And how do we know in which of Allah's categories of pleasure we fall? How sure can a Muslim be that he is one of those guided right and not one of those led astray?
  83. What is the punishment for adultery? Flogging with a 100 stripes (men and women) [24:2], "confine them to houses until death do claim them (lifelong house arrest - for the women) [4:15]. For men: "If they repent and amend, leave them alone" [4:16]. 24:2 contradicts both the procedure for women and men in Sura 4. And why is the punishment for women and men equal in Sura 24 but different in Sura 4?
  84. How are the sexually immoral supposed to be punished?
  85. The Problem of Divine Sovereignty, Predestination, Salvation and Human Free Will
  86. Who suffers the consequence of sins? The Qur'an declares that everyone will be held responsible only for his own sins [S. 17:13-15, 53:38-42]. Yet, the Qur'an accuses the Jews of Muhammad's day for the sins committed some 2000 years earlier by other Jews, e.g. worshipping the Golden Calf idol.
  87. Will Christians enter Paradise or go to Hell? Sura 2:62 and 5:69 say "Yes", Sura 5:72 (just 3 verses later) and 3:85 say "No".
  88. God alone or also men? Clear or incomprehensible? The Qur'an is "clear Arabic speech." [16:103] Yet "NONE knows its interpretation, save only Allah." [3:7]. Actually, "men of understanding do grasp it." [3:7]
  89. Was Pharaoh Drowned or Saved when chasing Moses and the Israelites? Saved [10:92], drowned [28:40, 17:103, 43:55].
  90. When Commanded Pharaoh the Killing of the Sons? When Moses was a Prophet and spoke God's truth to Pharaoh [40:23-25] or when he was still an infant [20:38-39]?
  91. When/how are the fates determined? "The night of power is better than a thousand months. The angels and spirit descend therein, by the permission of their Lord, with all decrees." [97:3,4] "Lo! We revealed it on a blessed night." [44:3] To Muslims, the "Night of Power" is a blessed night on which fates are settled and on which everything relating to life, death, etc., which occurs throughout the year is decreed. It is said to be the night on which Allah's decrees for the year are brought down to the earthly plane. In other words, matters of creation are decreed a year at a time. Contradicting this, Sura 57:22 says, "No affliction befalls in the earth or in your selves, but it is in a Book before we create it." This means it is written in the Preserved Tablet, being totally fixed in Allah's knowledge before anyone was created. All of the above is contradicted by "And every man's fate We have fastened to his own neck." This says that man alone is responsible for what he does and what happens to him. [17:13]
  92. Wine: Good or bad? Strong drink and ... are only an infamy of Satan's handiwork. [5:90, also 2:219]. Yet on the other hand in Paradise are rivers of wine [47:15, also 83:22,25]. How does Satan's handiwork get into Paradise?
  93. Good News of Painful Torture? Obviously, announcing torment and suffering to anyone is bad news, not good news. However, the Qur'an announces the good news of painful torment [3:21, 4:138, 9:3, 9:34, 31:7, 45:8, and 84:24].
  94. Jinns and men created for worship or for Hell? Created only to serve God [Sura 51:56], many of them made for Hell [Sura 7:179].
  95. Preferred for Hell? S. 17:70 says that Allah prefers (all) the children of Adam over many of his creatures, but S. 98:6 declares the majority of men to be the worst of creatures, many of them being even created specifically for Hell (S. 7:179).
  96. Will people stay in Hell forever, or not?
  97. Will all Muslims go to Hell? According to Sura 19:71 every Muslim will go to Hell (for at least some time), while another passage states that those who die in Jihad will go to Paradise immediately.
  98. Will Allah disgrace Muslims? On the day of judgment Allah will not humiliate or disgrace the Prophet and those who believe in him [S. 66:8]. However, 19:71 says that everyone will enter Hell, and 3:192 states that whomsoever Allah sends to Hell, is disgraced thereby.
  99. Will Jesus burn in Hell? Jesus is raised to Allah, [Sura 4:158], near stationed with him [Sura 3:45], worshiped by millions of Christians, yet Sura 21:98 says, that all that are worshiped by men besides Allah will burn in Hell together with those who worship them.
  100. Is Jesus God or Not? In Sura 16:17, 20-21 and S. 25:3 we find a criterion to distinguish the true God from false gods. Yet, according to S. 3:49, 55, 4:157-158, 5:110, 6:2, and 38:71-72 Jesus satisfies the definition and should be considered true Deity.
  101. Is Jesus Like Adam? S. 3:59 makes this claim, but how many aspects of likeness are there really?
  102. Can there be a son without a consort? Allah cannot have a son without a consort [Sura 6:101], but Mary can have a son without a consort because that is easy for Allah [Sura 19:21].
  103. Who is the father of Jesus? A more involved argument that is difficult to summarize in one sentence.
  104. Begetting and Self-sufficiency A self-contradiction on account of confused terminology.
  105. Could Allah have a son? Sura 39:4 affirms and Sura 6:101 denies this possibility.
  106. Did Jesus Die already? Sura 3:144 states that all messengers died before Muhammad. But 4:158 claims that Jesus was raised to God (alive?).
  107. One Creator or many? The Qur'an uses twice the phrase that Allah is "the best of creators" [23:14, 37:125]. What other creators are in mind? On the other hand, many verses make clear that Allah alone is "the creator of all things" [e.g. 39:62]. There is nothing left for others to be a creator of.
  108. From among all nations or from Abraham's seed? Sura 29:27 states that all prophets came Abraham's seed. But 16:36 claims that Allah raised messengers from among every people.
  109. Marrying the wives of adopted sons? It is important that Muslims can marry the divorced wives of adopted sons [Sura 33:37], yet it is forbidden to adopt sons [Sura 33:4-5].
  110. Messengers were never sent to other than their own people? So it is claimed in Sura 14:4 and 30:47. However, the Bible and the Qur'an, and the Muslim traditions confirm that Jonah was sent to a different nation.
  111. Messengers Were Sent Only to Their Own People? Sura 14:4 states that never was a messenger sent except in the language of his own people. Yet, the Quran itself claims that Jesus is supposed to be a sign to all people, that the Torah and Gospel are for all people, that Moses was sent to Pharaoh of Egypt, and that Muhammad is sent to all of mankind. The hadith also claim that Noah was sent to "the inhabitants of the earth".
  112. Did Allah give a Greek Injil to the Jews?
  113. What kind of book is the Injil?
  114. Messengers Amongst the Jinns and Angels? Allah sent only men as messengers [Suras 12:109, 21:7-8, 25:20-21] but there seemingly are messengers from Jinns and Angels [6:130; 11:69,77; 22:75; etc., see article for details].
  115. Do all of God's messengers eat food?
  116. A Messenger from among the beasts? Allah sent only men as messengers [Suras 12:109, 21:7-8, 25:20-21]. Yet, the Qur'an also speaks about a beast that is a messenger from Allah to men [S. 27:82].
  117. Is Muhammad Only A Warner or a Prophet/Messenger?
  118. Did the Messengers Perform Miracles?
  119. Divinely Inspired Ignorance?
  120. Which Prophets Did the Jews Kill?
  121. Another eleven contradictions...
Kiranga, acha kitengeneza maswali ya kubuni. Nimekujibu kwa usahihi, short and clear answers. Soma tena kwa makini hayo majibu yote kwa pamoja ndo uje na maswali yenye mantiki. Nimeshakwambia kama unataka kumuona MUNGU LIVE timiza masharti yake, na hakika hutokuja tena na maswali yako ya kutunga hapa.!

Pili, unaposema free will is an illusion kwa mujibu wa nani? Kwa nini? Na kwa nini yeye? Kwa nini ujadili free will kwa mujibu wa akili za kibinadam? Au kwa maono ya mtu mwingine? Kama unataka tuendelee na mjadara huu, tuelewane kwanza the depth meaning of the free will. Na tukubaliana tunatoa maana yake kwa mtazamo upi .....
 
Kwanza kabisa, si kweli kwamba watu wana fikra huru.

Soma utafiti wa kisomi huu hapa kutoka jarida la Scientific American

Is Free Will an Illusion?

Pili, Mungu anayefyekelea vizazi, anakuwaje Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?

Ina maana alivyoumba ulimwengu alijua atavifyekelea mbali hivi vizazi akaviumba tu, ili avifyekelee mbali?

Kama ni kweli alijua hilo, Mungu anayeumba vizazi huku akijua atavifyekelea mbali, ni kweli ana upendo wote?

Kama hakujua kwamba atavifyekelea mbali, Mungu asiyejua kwamba atavifyekelea mbali vizazi, ana ujuzi wote?

Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote ataumbaje watu kwa version? Ina maana alikosea mwanzo, akaona afanye update kama software engineer ambaye hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote?

Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote naye anahitaji kufanya updates?

Mungu wako anajitekenye mwenyewe na kucheka mwenyewe? Kwa kutupa mitihani? Kama anajua majibu yote, anatupa mitihani ili iweje?

Mwalimu anampa mwanafunzi mtihani ili mwalimu ajue mwananfunzi anajua nini. Huyo Mungu ambaye ndiye anatoa uwezo wa mtu kujua yote anayojua, anatoa mtihani ili iweje wakati yeye Mungu mnasema anajua kila kitu?

.

Free will is an illussion, soma wataalam wanasema hilo hapa

Is Free Will an Illusion?

Mtu ukizaliwa Saudi Aarabia most likely utakuwa Muislamu na kumuamini Allah, by sheer chance of birth and environment, ukizaliwa Italy most likely utakuwa Catholic. Unapozaliwa tu pana determine utakulia dini gani na kuamini nini.

Watu karibu wote wanaoamini Mungu wanaamini dini walizozaliwa nazo, hapo hakuna free will.

Watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri hawana free will.

Watu wenye addictions zilizo na genetic links hawana free will.

Free will is an illussion.

Mungu hayupo, ndiyo maana huwezi kuthibitisha yupo



Hakuna mistari ambayo Mungu kalaani watu kwenye Quran?



Kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao tsunami linaweza kupiga na kuua mpaka vitoto vichanga, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao tsunami haliwezi kupiga?

Hujajibu swali hili.

Mwanadamu hajaruhusiwa afanye kila analotaka, mfano, nataka nirudi nyuma katika muda, nirekebishe mambo fulani, lakini siwezi. Kusema mtu karuhusiwa kufanya kila analotaka ni uongo.

Aallah yupo kwenye test? Ina maana Mungu wako ujuzi wake wote hautoshi mpaka afanye test? Test inafanywa na mtu asiye na uhakika, Aallah wako hana uhakika?

Unaweza kuthibitisha hiyo dunia isiyo ya kwaiada si story tu?



Qquran si tukufu, imeandikwa na watu tu, ndiyo maana ina contradictions.

Qquran inasema kuna watu Aallah kawaziba macho, mioyo na amsikio wasimjue.

Hata mkifanya vipi hawatamjua. Kisha Allah atawapa hukumu kubwa hawa.

Yani Mungu badala ya kuwaongoza watu wamjue, anawaziba macho, masikio na mioyo wasimje.

Halafu anawahukumu kwa sababu hawakumjua.

Unaona hiki kitabu cha Mungu kweli?



Thibitisha Mungu yupo, usilete longolongo.

Unaelewa ukisema for every creation there is a creator unasema Mungu hawezi kuwepo?

Kwa sababu na yeye atahitaji creator wake, na creator wake atahitaji creator wake, ad infinitum, ad nauseum?

Unaelewa hilo linaonesha Mungu hawezi kuwepo, haliuoneshi Mungu yupo?



Unaelewa kwamba ukishasema Mungu anaweza kuumba jiwe kubwa sana hata yeye ashindwe kulibeba, tayari umeshasema huyo Mungu si muweza yote, kwa sababu ameshindwa kubeba hilo jiwe?

Unaelewa hilo?



Mungu muweza yote amshindwa kuwa elevate watu kwenye umbo lisilo kufa bila kuwatenganisha na familia zao kwa kifo?

Mungu wako anahitaji kufanya test? kwa sababu hana uhakika na mambo yake?



Kama Mungu hajaruhusu confusion, mbona dunia ina dini nyingi sana na kuna confusion nani Mungu wa kweli?

Imekuwaje confusion ambaypo Mungu hajairuhusu iweze kutokea?



Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na si hadithi za uongo tu?

Unaweza kuondoa contradictions hizi za kwenye Quran?

Contradictions / Difficulties in the Qur'an

Internal Contradictions:
  1. Who suffers loss if Muhammad was wrong? Sura 34:50 commands Muhammad to say, "If I go astray, I go astray only to my own loss," which is a severe factual error in the Qur'an as well as contradicting the teaching of the Qur'an in a number of other verses.
  2. Allah, Adam, and the Angels. There are a great number of problems and inconsistencies between the several accounts of Adam's creation, Allah's command to prostrate before Adam, Satans refusal, etc.
  3. Who Was the First Muslim? Muhammad [6:14, 163], Moses [7:143], some Egyptians [26:51], or Abraham [2:127-133, 3:67] or Adam, the first man who also received inspiration from Allah [2:37]?
  4. Can Allah be seen and did Muhammad see his Lord? Yes [S. 53:1-18, 81:15-29], No [6:102-103, 42:51].
  5. Were Warners Sent to All Mankind Before Muhammad? Allah had supposedly sent warners to every people [10:47, 16:35-36, 35:24], Abraham and Ishmael are specifically claimed to have visited Mecca and built the Kaaba [2:125-129]. Yet, Muhammad supposedly is sent to a people who never had a messenger before [28:46, 32:3, 34:44, 36:2-6]. This article also raises other issues: What about Hud and Salih who supposedly were sent to the Arabs? What about the Book that was supposedly given to Ishmael? Etc.
  6. What will be the food for the people in Hell? The food for the people in Hell will be only "Dhari" [Sura 88:6], or only foul pus from the washing of wounds [S. 69:36], or will they also get to eat from the tree of Zaqqum [S. 37:66]? Together, these verses constitute three contradictions.
  7. Can Angels Cause the Death of People? The Qur'an attacks those who worship anyone besides God (e.g. angels or prophets) because those can neither create, nor give life, nor cause anyone to die. Yet, the Qur'an explicitly states that one angel or several angels are causing certain people to die [Sura 4:97, 16:28, 32, 32:11].
  8. Confusion Concerning Identity of the Spirit and Gabriel (a long discussion of dozens of references)
  9. 'Iddah rules for divorced and widowed women appear to be arbitrary and inconsistent.
  10. Is there a minimum age of marriage for girls?
  11. To Marry or Not to Marry? The Qur'an forbids believers to marry idolatrous women [Sura 2:221], and calls Christians idolaters and unbelievers [9:28-33], but still allows Muslims to marry Christian women [5:5].
  12. Will it be accepted of them or not?
  13. Will Allah reward the good deeds of Unbelievers? S. 9:17 and 9:69 clearly say no. However, S. 99:7 implies yes. Moreover, S. 2:62 promises Christians reward for their good deeds. But S. 9:28-33; 5:17, 72-73 calls Christians idolaters, and S. 9:17 is very clear that idolaters will have no reward.
  14. Should Muslims Accept Peace or Not?
  15. Fighting All People Until They Do What?
  16. Compel them or Not?
  17. Can They Disbelieve in the Last Day and be Safe?
  18. Should Muslims show kindness to their parents? On the one hand, the Quran commands all Muslims to show kindness to their parents, even if they are disbelievers [17:23-24, 31:14-15, 29:8, etc.]. On the other hand, it demands not to show any love or friendship to those who oppose Muhammad, even if they are their parents [9:23, 58:22].
  19. Can one be a believer in God and oppose Muhammad at the same time?
  20. How many mothers does a Muslim have? Only one [58:2, the woman who gave birth and none else], or two [4:23, including the mother who nursed him], or at least ten [33:6]?
  21. And it just doesn't add up: Sura 4:11-12 and 4:176 state the Qur'anic inheritance law. When a man dies, and is leaving behind three daughters, his two parents and his wife, they will receive the respective shares of 2/3 for the 3 daughters together, 1/3 for the parents together [both according to verse 4:11] and 1/8 for the wife [4:12] which adds up to more than the available estate. A second example: A man leaves only his mother, his wife and two sisters, then they receive 1/3 [mother, 4:11], 1/4 [wife, 4:12] and 2/3 [the two sisters, 4:176], which again adds up to 15/12 of the available property.
  22. How many angels were talking to Mary? When the Qur'an speaks about the announciation of the birth of Jesus to the virgin Mary, Sura 3:42,45 speaks about (several) angels while it is only one in Sura 19:17-21. (This article has received many Muslim responses which are quoted or linked and/or discussed at the end of the article.)
  23. Further numerical discrepancies Does Allah's day equal to 1,000 human years (Sura 22:47, 32:5) or 50,000 human years (Sura 70:4)? --- According to Sura 56:7 there will be THREE distinct groups of people at the Last Judgement, but 90:18-19, 99:6-8, etc. mention only TWO groups. --- There are conflicting views on who takes the souls at death: THE Angel of Death [32:11], THE angels (plural) [47:27] but also "It is Allah that takes the souls (of men) at death." [39:42] Angels have 2, 3, or 4 pairs of wings [35:1]; but Gabriel had 600 wings. [Sahih Bukhari, Volume 4, Book 54, Number 455]
  24. How many days did Allah need to destroy the people of Aad? One day [54:19] or several days [41:16; 69:6,7]
  25. Six or eight days of creation? Sura 7:54, 10:3, 11:7, and 25:59 clearly state that God created "the heavens and the earth" in six days. But in 41:9-12 the detailed description of the creation procedure adds up to eight days. (This topic also includes many Muslim responses and further discussion.)
  26. Quick or Slow Creation? Allah creates the heavens and the earth in six days [7:54] and many Muslims want to be modern and scientific, and make that six eons, but then again, He creates instantaneously [2:117], "Be! And it is".
  27. Heavens or Earth? Which was created first? First earth and then heaven [2:29], heaven and after that earth [79:27-30].
  28. Calling together or ripping apart? In the process of creation heaven and earth were first apart and are called to come together [41:11], while 21:30 states that they were originally one piece and then ripped apart.
  29. What was man created from? A blood clot [96:1-2], water [21:30, 24:45, 25:54], "sounding" (i.e. burned) clay [15:26], dust [3:59, 30:20, 35:11], nothing [19:67] and this is then denied in 52:35, earth [11:61], a drop of thickened fluid [16:4, 75:37]
  30. What were jinn created from?
  31. The descent of the Quran: Piecemeal or all at once?
  32. Examining the inherent problems with the descent of the Quran
  33. Is half the Quran already fully detailed?
  34. Fully Detailed Or Incomplete? The Qur'an claims for itself to be (fully) detailed, that nothing is left out of the book [6:38, 6:114, 12:111, 16:89 etc.]. However there are plenty of important issues which are left unclear in the Qur'an. This article discusses the confusion found in the quranic statements on wine.
  35. Is the Quran Completely Clear or Not?
  36. The Perspicuity of the Quran and It’s Mysterious Letters
  37. Worshiping the Same or a Different God? Muhammad is commanded to speak to the disbelievers: ... nor do you worship what I worship [109:3]. However, other verses in the Qur'an state clearly that those disbelieving his message are in fact worshiping the same God, Allah.
  38. Did the Meccan Polytheist Believe That Allah Was The Supreme Being?
  39. To Intercede or Not To Intercede? - That is the Question! The Qur'an makes contradictory statements whether on the Day of Judgment intercession will be possible. No: [2:122-123, 254; 6:51; 82:18-19; etc.]. Yes: [20:109; 34:23; 43:86; 53:26; etc.]. Each position can be further supported by ahadith.
  40. How the Islamic Doctrine of Intercession undermines Allah's Omniscience
  41. Where is Allah and his throne? Allah is nearer than the jugular vein [50:16], but he is also on the throne [57:4] which is upon the water [11:7], and at the same time so far away, that it takes between 1,000 and 50,000 years to reach him [32:5, 70:4].
  42. The origin of calamity? Is the evil in our life from Satan [38:41], Ourselves [4:79], or Allah [4:78]?
  43. How merciful is Allah's mercy? He has prescribed mercy for himself [6:12], yet he does not guide some, even though he could [6:35, 14:4].
  44. Does Allah command to do evil? No [7:28, 16:90]. Yes [17:16, ]. Two examples are also given, where Allah clearly commanded or permitted indecent actions [2:229-230, 2:187].
  45. Should Muhammad Get Paid Or Shouldn’t He?
  46. A Contradiction Regarding Muhammad's Fatherhood
  47. Will there be inquiry in Paradise? "neither will they question one another" [23:101] but nevertheless they will be "engaging in mutual inquiry" [52:25], "and they will ... question one another" [37:27].
  48. Are angels protectors? "NO protector besides Allah" [2:107, 29:22]. But in Sura 41:31 the angels themselves say: "We are your protectors in this life and the Hereafter." And also in other suras is their role described as guarding [13:11, 50:17-18] and protecting [82:10].
  49. Is Allah the only Wali? On the one hand, Allah is supposedly the only wali (protector, helper, friend) [9:116, 17:111, 32:4, 42:28], on the other hand, the messenger and the believers are walis [5:55, 9:71], Allah has walis [10:62], and he raises walis [4:75].
  50. Does Allah Act Alone Or Does He Have Partners That Assist Him?
  51. Is Allah the Only Judge or Not?
  52. Is Allah the only sovereign or isn’t he?
  53. Are all obedient and prostrating to Allah? That is the claim in 16:49 and 30:26, but dozens of verses speak of the proud disobedience of Satan [7:11, 15:28-31, 17:61, 20:116, 38:71-74, 18:50] as well of many different human beings who reject His commands and His revelations.
  54. Does Allah forgive shirk? Shirk is considered the worst of all sins, but the author of the Qur'an seems unable to decide if Allah will ever forgive it or not. No [4:48, 116], Yes [4:153, 25:68-71]. Abraham committed this sin of polytheism as he takes moon, sun, stars to be his Lord [6:76-78], yet Muslims believe that all prophets are without any sin.
  55. Abraham and the Sun
  56. Abraham's Monotheism
  57. Abraham's Progeny? How the Qur'an messed up Abraham's family tree
  58. Did All Prophets Receive the Same Book?
  59. The event of worship of the golden calf: The Israelites repented about worshipping the golden calf BEFORE Moses returned from the mountain [7:149], yet they refused to repent but rather continued to worship the calf until Moses came back [20:91]. Does Aaron share in their guilt? No [20:85-90], yes [20:92, 7:151].
  60. Was Jonah cast on the desert shore or was he not? "Then We cast him on a desert shore while he was sick" [37:145] "Had not Grace from his Lord reached him, he would indeed have been cast off on the naked shore while he was reprobate." [68:49]
  61. Moses and the Injil? Jesus is born more than 1,000 years after Moses, but in 7:157 Allah speaks to Moses about what is written in the Injil [the book given to Jesus].
  62. Can slander of chaste women be forgiven? Yes [24:5], No [24:23].
  63. How do we receive the record on Judgment Day? On Judgement day the lost people are given the Record (of their bad deeds): Behind their back [84:10], or in their left hand [69:25].
  64. Can angels disobey? No angel is arrogant, they all obey Allah [16:49-50], but: "And behold, we said to the ANGELS: 'Bow down to Adam'. And THEY bowed down, EXCEPT Iblis. He refused and was haughty." [2:34]. This article includes links to answers to four Muslim responses.
  65. How many wings does an angel have? Angels have 2, 3, or 4 wings [35:1]; but Gabriel had 600 wings according to Sahih al-Bukhari.
  66. Is Satan an angel or a jinn?
  67. Three contradictions in 2:97 and 16:101-103 Who brings the revelation from Allah to Muhammad? The ANGEL Gabriel [2:97], or the Holy Spirit [16:102]? The new revelation confirms the old [2:97] or substitutes it [16:101]? The Qur'an is PURE Arabic [16:103] but there are numerous foreign, non-Arabic words in it.
  68. Do not say, "Three"!? It is impossible to recite Sura 4:171 without transgressing the command contained in it.
  69. The infinite loop problem Sura 26:192,195,196: "It (the Qur'an) is indeed a revelation from the Lord of the Worlds, ... in clear Arabic speech and indeed IT (the Qur'an) is in the writings of the earlier (prophets)." Now, the 'earlier writings' are the Torah and the Injil for example, written in Hebrew and Greek. HOW can an ARABIC Qur'an be contained in books of other languages? Furthermore, it would have to contain this very passage of the Qur'an since the Qur'an is properly contained in them. Hence these earlier writings have to be contained in yet other earlier writings and we are in an infinite loop, which is absurd.
  70. Is the Torah like the Qur'an, or is it not? The Muslim claim of the corruption of the Bible leads to a contradiction between S. 2:24 and 17:88 on the one hand, and 28:49 and 46:10 on the other.
  71. Should Jews and Christians follow the Bible or the Quran?
  72. "An old woman" and God's character About the story of Lot: "So we delivered him and his family, - all exept an old woman who lingered behind." [Sura 26:170-171] And again: "But we saved him and his family, exept his wife: she was of those who lagged behind. [Sura 7:83]. Either this is a contradiction or if indeed Lot's wife is derogatorily called "an old woman" then this does not show much respect for her as a wife of a prophet.
  73. More problems with the story of Lot "And his people gave NO answer but this: They said, "Drive them out of your city: these are indeed men who want to be clean and pure!" [Sura 7:82 & 27:56]. Yet: "But his people gave NO answer but this: They said: "Bring us the Wrath of Allah if thou tellest the truth." [Sura 29:29]. Obviously these answers are different.
  74. The "pleasure" of Allah? Is God's action of punishment or mercy and guidance or misguidance arbitrary?
  75. Did Abraham smash the idols? The accounts of Abraham, Suras 19:41-49, 6:74-83 differ quite a bit from Sura 21:51-59. While in Sura 21 Abraham confronts his people strongly, and even destroys the idols, in Sura 19 Abraham shuts up after his father threatens him to stone him for speaking out against the idols. And he seems not only to become silent, but even to leave the area ("turning away from them all").
  76. What about Noah's son? According to Sura 21:76, Noah and his family is saved from the flood, and Sura 37:77 confirms that his seed survived. But Sura 11:42-43 reports that Noah's son drowns.
  77. Was Noah driven out? "Before them *the people of Noah* rejected (their messenger): They rejected Our servant and said, 'Here is One possessed!' And he was driven out." [Sura 54:9] Now, if he is driven out [expelled from their country] how come they can scoff at him while he is building the ark since we read "Forthwith he (starts) constructing the Ark: Every time that the Chiefs of *his people* passed by him, they threw ridicule on him." [Sura 11:38] He cannot be both: Driven out and near enough that they can regularly pass by.
  78. Pharaoh's Magicians: Muslims or Rejectors of Faith? Did the Magicians of Pharaoh, Egyptians, become believers in the God of Moses [7:103-126; 20:56-73; S. 26:29-51] or did only Israelites believe in Moses [10:83]?
  79. How many gods did the Egyptians worship?
  80. Pharaoh's repentance in the face of death? According to Sura 10:90-92, Pharaoh repented "in the sight of death" and was saved. But Sura 4:18 says that such a thing can't happen.
  81. Abrogation? "The words of the Lord are perfect in truth and justice; there is NONE who can change His words." [Sura 6:115] Also see 6:34 and 10:64. But then Allah (Muhammad?) sees the need to exchange some of them for "better ones" [Sura 2:106, 16:101]. And it is not for ignorant people to question Allah because of such practices!
  82. Guiding to truth? "Say: 'God - He guides to the truth; and which is worthier to be followed ...?" [Sura 10:35] But how much is left over of this worthiness when we also read: "Allah leads astray whom he pleases, and he guides whom He pleases, ..." [Sura 14:4]. And how do we know in which of Allah's categories of pleasure we fall? How sure can a Muslim be that he is one of those guided right and not one of those led astray?
  83. What is the punishment for adultery? Flogging with a 100 stripes (men and women) [24:2], "confine them to houses until death do claim them (lifelong house arrest - for the women) [4:15]. For men: "If they repent and amend, leave them alone" [4:16]. 24:2 contradicts both the procedure for women and men in Sura 4. And why is the punishment for women and men equal in Sura 24 but different in Sura 4?
  84. How are the sexually immoral supposed to be punished?
  85. The Problem of Divine Sovereignty, Predestination, Salvation and Human Free Will
  86. Who suffers the consequence of sins? The Qur'an declares that everyone will be held responsible only for his own sins [S. 17:13-15, 53:38-42]. Yet, the Qur'an accuses the Jews of Muhammad's day for the sins committed some 2000 years earlier by other Jews, e.g. worshipping the Golden Calf idol.
  87. Will Christians enter Paradise or go to Hell? Sura 2:62 and 5:69 say "Yes", Sura 5:72 (just 3 verses later) and 3:85 say "No".
  88. God alone or also men? Clear or incomprehensible? The Qur'an is "clear Arabic speech." [16:103] Yet "NONE knows its interpretation, save only Allah." [3:7]. Actually, "men of understanding do grasp it." [3:7]
  89. Was Pharaoh Drowned or Saved when chasing Moses and the Israelites? Saved [10:92], drowned [28:40, 17:103, 43:55].
  90. When Commanded Pharaoh the Killing of the Sons? When Moses was a Prophet and spoke God's truth to Pharaoh [40:23-25] or when he was still an infant [20:38-39]?
  91. When/how are the fates determined? "The night of power is better than a thousand months. The angels and spirit descend therein, by the permission of their Lord, with all decrees." [97:3,4] "Lo! We revealed it on a blessed night." [44:3] To Muslims, the "Night of Power" is a blessed night on which fates are settled and on which everything relating to life, death, etc., which occurs throughout the year is decreed. It is said to be the night on which Allah's decrees for the year are brought down to the earthly plane. In other words, matters of creation are decreed a year at a time. Contradicting this, Sura 57:22 says, "No affliction befalls in the earth or in your selves, but it is in a Book before we create it." This means it is written in the Preserved Tablet, being totally fixed in Allah's knowledge before anyone was created. All of the above is contradicted by "And every man's fate We have fastened to his own neck." This says that man alone is responsible for what he does and what happens to him. [17:13]
  92. Wine: Good or bad? Strong drink and ... are only an infamy of Satan's handiwork. [5:90, also 2:219]. Yet on the other hand in Paradise are rivers of wine [47:15, also 83:22,25]. How does Satan's handiwork get into Paradise?
  93. Good News of Painful Torture? Obviously, announcing torment and suffering to anyone is bad news, not good news. However, the Qur'an announces the good news of painful torment [3:21, 4:138, 9:3, 9:34, 31:7, 45:8, and 84:24].
  94. Jinns and men created for worship or for Hell? Created only to serve God [Sura 51:56], many of them made for Hell [Sura 7:179].
  95. Preferred for Hell? S. 17:70 says that Allah prefers (all) the children of Adam over many of his creatures, but S. 98:6 declares the majority of men to be the worst of creatures, many of them being even created specifically for Hell (S. 7:179).
  96. Will people stay in Hell forever, or not?
  97. Will all Muslims go to Hell? According to Sura 19:71 every Muslim will go to Hell (for at least some time), while another passage states that those who die in Jihad will go to Paradise immediately.
  98. Will Allah disgrace Muslims? On the day of judgment Allah will not humiliate or disgrace the Prophet and those who believe in him [S. 66:8]. However, 19:71 says that everyone will enter Hell, and 3:192 states that whomsoever Allah sends to Hell, is disgraced thereby.
  99. Will Jesus burn in Hell? Jesus is raised to Allah, [Sura 4:158], near stationed with him [Sura 3:45], worshiped by millions of Christians, yet Sura 21:98 says, that all that are worshiped by men besides Allah will burn in Hell together with those who worship them.
  100. Is Jesus God or Not? In Sura 16:17, 20-21 and S. 25:3 we find a criterion to distinguish the true God from false gods. Yet, according to S. 3:49, 55, 4:157-158, 5:110, 6:2, and 38:71-72 Jesus satisfies the definition and should be considered true Deity.
  101. Is Jesus Like Adam? S. 3:59 makes this claim, but how many aspects of likeness are there really?
  102. Can there be a son without a consort? Allah cannot have a son without a consort [Sura 6:101], but Mary can have a son without a consort because that is easy for Allah [Sura 19:21].
  103. Who is the father of Jesus? A more involved argument that is difficult to summarize in one sentence.
  104. Begetting and Self-sufficiency A self-contradiction on account of confused terminology.
  105. Could Allah have a son? Sura 39:4 affirms and Sura 6:101 denies this possibility.
  106. Did Jesus Die already? Sura 3:144 states that all messengers died before Muhammad. But 4:158 claims that Jesus was raised to God (alive?).
  107. One Creator or many? The Qur'an uses twice the phrase that Allah is "the best of creators" [23:14, 37:125]. What other creators are in mind? On the other hand, many verses make clear that Allah alone is "the creator of all things" [e.g. 39:62]. There is nothing left for others to be a creator of.
  108. From among all nations or from Abraham's seed? Sura 29:27 states that all prophets came Abraham's seed. But 16:36 claims that Allah raised messengers from among every people.
  109. Marrying the wives of adopted sons? It is important that Muslims can marry the divorced wives of adopted sons [Sura 33:37], yet it is forbidden to adopt sons [Sura 33:4-5].
  110. Messengers were never sent to other than their own people? So it is claimed in Sura 14:4 and 30:47. However, the Bible and the Qur'an, and the Muslim traditions confirm that Jonah was sent to a different nation.
  111. Messengers Were Sent Only to Their Own People? Sura 14:4 states that never was a messenger sent except in the language of his own people. Yet, the Quran itself claims that Jesus is supposed to be a sign to all people, that the Torah and Gospel are for all people, that Moses was sent to Pharaoh of Egypt, and that Muhammad is sent to all of mankind. The hadith also claim that Noah was sent to "the inhabitants of the earth".
  112. Did Allah give a Greek Injil to the Jews?
  113. What kind of book is the Injil?
  114. Messengers Amongst the Jinns and Angels? Allah sent only men as messengers [Suras 12:109, 21:7-8, 25:20-21] but there seemingly are messengers from Jinns and Angels [6:130; 11:69,77; 22:75; etc., see article for details].
  115. Do all of God's messengers eat food?
  116. A Messenger from among the beasts? Allah sent only men as messengers [Suras 12:109, 21:7-8, 25:20-21]. Yet, the Qur'an also speaks about a beast that is a messenger from Allah to men [S. 27:82].
  117. Is Muhammad Only A Warner or a Prophet/Messenger?
  118. Did the Messengers Perform Miracles?
  119. Divinely Inspired Ignorance?
  120. Which Prophets Did the Jews Kill?
  121. Another eleven contradictions...
7. Ndio, Mungu ni muweza wa yote hakika. Ni kweli anaweza kuumba jiwe kuubwa saana na hata yeye mwenyewe akashindwa kulibeba na hakika badae hilohilo jiwe kuubwa aweza kulifanya likawa doogo saana na akaweza kulibeba. Huyo ndo Allah SW/Mungu ninayemuabudu hata mimi. Hashindwi kitu.! Bali yeye anaamua tu. Aweze au asiweze.!

Unaelewa kwamba ukishasema Mungu anaweza kuumba jiwe kubwa sana hata yeye ashindwe kulibeba, tayari umeshasema huyo Mungu si muweza yote, kwa sababu ameshindwa kubeba hilo jiwe?

Unaelewa hilo?

Aisee..! Unajua jibu nililokupa hapo ni very tricky lakini bado unaingia kikichwakichwa tu. Uwe unaelewa basi... Nimekwambia ni muweza wa yote. So, anaweza kuumba jiwe kubwa na zito akashindwa kulibeba na then hilohilo zito na akalifanya kuwa dogo saana na akalibeba. Sasa kashindwa nini hapo. Huoni kuwa jiwe nnaloliongelea ni hilohilo moja sasa huelewi nini? Elewa pia hii lugha,"Yeye anaamua tu, aweze au asiweze". Unashindwaje kuelewa.!? Huoni kuwa vise versa is true.!? Usipo elewa na hapa nakurudisha darasani, maana ntakuwa namuelewesha mtu mwenye low IQ.

Swali; Hivi mtu akishindwa kulibeba jiwe kubwa haafu hilohilo jiwe kwa nguvu za kiuungu akamua kulibeba, utasemaje..!
A. Kalibeba
B. Kashindwa
C. Muweza wa yote.

Nipe jibu sahihi hapo.
 
Tunatofautina katika Viwango vya Kumjua "MUNGU"
lakini kama Mungu unamfikiria na kumfahamu hivyo pasi "UNAPOTOKA" Chukua hatua
Ndo unieleweshe nami nitakupa ushahidi wa kimaandiko tena kwa kutumia kitabu chako hichohicho unachokiamini.

Haiwezekani kabisa Mungu awe anajigawanya na badae anajikusanya na kuwa kitu kimoja.

Haafu haiwezekani Mungu wa kweli ifike mahala awe anajiomba yeye mwenyewe. Hakuna kitu kama hicho.

Ifike mahali maandiko tuwe tunasoma wenyewe na kutafakari sio kuwategemea wachungaji tu.
 
Kiranga, acha kitengeneza maswali ya kubuni. Nimekujibu kwa usahihi, short and clear answers. Soma tena kwa makini hayo majibu yote kwa pamoja ndo uje na maswali yenye mantiki. Nimeshakwambia kama unataka kumuona MUNGU LIVE timiza masharti yake, na hakika hutokuja tena na maswali yako ya kutunga hapa.!

Pili, unaposema free will is an illusion kwa mujibu wa nani? Kwa nini? Na kwa nini yeye? Kwa nini ujadili free will kwa mujibu wa akili za kibinadam? Au kwa maono ya mtu mwingine? Kama unataka tuendelee na mjadara huu, tuelewane kwanza the depth meaning of the free will. Na tukubaliana tunatoa maana yake kwa mtazamo upi .....

Thibitisha Mungu yupo na si hadithi tu.

Najua arti le ya Scientific American hujasoma ndiyo maana hujauliza swali la kutoka kwenye article.

Sina hakika hata kama unaweza kuisoma.

Wewe unaposema kuna Mungu unatumia kigezo gani?
 
7. Ndio, Mungu ni muweza wa yote hakika. Ni kweli anaweza kuumba jiwe kuubwa saana na hata yeye mwenyewe akashindwa kulibeba na hakika badae hilohilo jiwe kuubwa aweza kulifanya likawa doogo saana na akaweza kulibeba. Huyo ndo Allah SW/Mungu ninayemuabudu hata mimi. Hashindwi kitu.! Bali yeye anaamua tu. Aweze au asiweze.!

Unaelewa kwamba ukishasema Mungu anaweza kuumba jiwe kubwa sana hata yeye ashindwe kulibeba, tayari umeshasema huyo Mungu si muweza yote, kwa sababu ameshindwa kubeba hilo jiwe?

Unaelewa hilo?

Aisee..! Unajua jibu nililokupa hapo ni very tricky lakini bado unaingia kikichwakichwa tu. Uwe unaelewa basi... Nimekwambia ni muweza wa yote. So, anaweza kuumba jiwe kubwa na zito akashindwa kulibeba na then hilohilo zito na akalifanya kuwa dogo saana na akalibeba. Sasa kashindwa nini hapo. Huoni kuwa jiwe nnaloliongelea ni hilohilo moja sasa huelewi nini? Elewa pia hii lugha,"Yeye anaamua tu, aweze au asiweze". Unashindwaje kuelewa.!? Huoni kuwa vise versa is true.!? Usipo elewa na hapa nakurudisha darasani, maana ntakuwa namuelewesha mtu mwenye low IQ.

Swali; Hivi mtu akishindwa kulibeba jiwe kubwa haafu hilohilo jiwe kwa nguvu za kiuungu akamua kulibeba, utasemaje..!
A. Kalibeba
B. Kashindwa
C. Muweza wa yote.

Nipe jibu sahihi hapo.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Halafu unaji contradict mwenyewe.

Kwa sababu unalazimisha Mungu awepo.

Wakati hayupo.

Kurudia rudia "very tricky" hakufanyi uongo wako uwe kweli.

Mungu akiumba jiwe ambalo hawezi kulibeba, atakuwa kashindwa kulibeba hili jiwe.

Hivyo atakuwa hawezi kika kitu.

Na asipoweza kuumba jiwe ambalo hawezi kulibeba, atakuwa hawezi kuumba hilo jiwe.

Either way, kuna kitu atakuwa hawezi kukifanya.

Hivyo Mungu muweza yote hayupo.

Ni kamba tu.

Ndiyo maana huwezi kuthibitusha yupo.
 
Wakuu wapi sehemu ya tatu ya toleo hili? Nafuatilia naona mantiki kwenye maandishi haya. Mungu ni zaidiya tumjuavyo
 
Mkuu umegusia jina la Yesu ningependa unisaidie jambo mfano Yesu kwa kiswahili ukienda nchi nyingine unakuta anaitwa Yashuah au uingereza utakuta ni JESUS.... Na kuna maeneo mengine duniani kama Asia Yesu au Jesus ina maana tofauti kabisa na wanatumia jina tofauti kumaanisha Yesu...

Sasa nachojiulizaga inayofanya kazi ni LILE jina la mwana wa Mungu tunalotaja kwa makabila Yetu au ni ile imani kichwani inayotengeneza connection kati ya sisi wanadamu na mwana wa Mungu (bila kujali anaitwa Yesu kiswahili au yashuah kiebrania)....

Naomba unisaidie ingawa nimetoka nje ya mada
Jina la Yesu linanguvu kwa kila kabila au lugha utakayoitumia kuita jina la Yesu hutenda kazi
 
Pingamizi zangu za kimantiki kuhusu uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa kiingereza "proof by contradiction", bado hazijapata majibu ya kuziondoa.

Hivyo, Mungu hayupo.

Kama mtu anasemayupo, athibitishe kwa kuanza kuondoa contradictions zilizopo katika habari ya kuwapokwake.


Mungu anatakiwa asiwe na contradiction. Huyu Mungub wa Biblia na Quran kwa mfano, mtu akiweza kuniondolea contradictions zote zilizopo katika habari zake, sio tu nitakubali, bali pia nitafurahi sana. Contradictions hizo ni hizi.
Kwa uchache.

1. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, upendo wote na utakatifu wote, kaumba ulimwengu ambao maovu yanaweza kutokea, wakati alikuwa ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezi kutokea? Naomba jibu lisiwe kusema maovu yapo kwa sababu ya shetani. Swali linauliza kabla shetani hajaumbwa Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezi kuwepo. Jibu la swali lisiseme maovu ni matokeo ya dhambi za watu. Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani. Jibu lisiseme free will, hatuna hiyo inayoitwa free will katika mengi sana na hata kui define tu watu hawawezi.

2. Inakuwaje Mungu awe ndiyo mtoa rehema ya kumjua, anachagua mwenyewe nani amjue na nani asimjue, halafu mtu akishindwa kumjua Mungu, kwa sababu Mungu hajamchagua huyo mtu kumpa neema yake Mungu ya kumjua, huyo mtu aonekane ana makosa, ahukumiwe kuchomwa moto? Baba anawezaje kumhukumu mtoto ambaye hajui kusoma, kama mtoto hajui kusoma kwa sababu baba ndiye aliyemnyima nafasi ya kwenda shule?

3. Inakuwaje mahakama za watu tu zinakataza mtoto kuhukumiwa kwa makosa ya mzazi, lakini vitabu vya Mungu vinasema Mungu anahukumu watoto na wajukuu vizazi hata vizazi? Kwa kosa la mzazi wa zamani sana? Huyu Mungu mbona haki yake haijafikia hata haki yetu watu tu?

4. Mnasema Mungu anajua yote. Anayajua maisha ya mtu yote mwanzo mpaka mwisho kabla hata mtu hajaishi. Na anachojua huyo Mungu kitatokea, ni lazima kitokee. Anavyojua si kama utabiri wa hali ya hewa kwamba kuna 80% ya mvua. Yeye anajua kitu kamili hakina utata. Sasa kama anajua hivyo, ina maana mtu muuaji, alimjua huyu atakuwa muuaji kabla hata hajazaliwa. Na muuaji huyo hawezi kuepuka kuua hata afanye nini. Kwa sababu kuepuka kuua wakati Mungu kashajua huyu ataua ni kum prove Mungu wrong. Sasa kama huyu mtu anaenda kuwa muuaji, na hana jinsi ya kuepuka hilo, tutasemaje ana uhuru wa kuamua na anaua kwa uamuzu wake na atahukumiwa motoni kwa uuaji?

5. Mbona hivyo vitabu vinavyosemwa ni vya Mungu vina contradictions lukuki?

6. Mbona huyo Mungu mnayemsema yupo hathibitishiki? Anajificha asijulikanw vizuri kwa nini? Kwa nini hakufanya ulimwengu uweze kumjua vizuri bila uwezo wowote wa kuwepo ubishi juu ya uwepo wake?

7. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anaweza kuumba jiwe zito sana kiasi yeye mwenyewe ashindwe kulibeba? Akiweza kuumba jiwe hilo, atakuwa hawezi yote, maana kuna jiwe atakuwa kashindwa kulibeba. Akishindwa kuumba jiwe hilo, atakuwa hawezi yote maana kuna jiwe atakuwa kashindwa kuliumba.

8. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ameruhusu kifo kitenganishe wapendanao, baba na mama, wazazi na mtoto, marafiki etc, wakati alikuwa na uwezo, ujuzi na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao kifo hakiwezekani kuwepo?

Kwa nini watetezi wa Quran waajitapa sana kusema vitu fulani vichache vimethibitishwa kisayansi, kuinadi Quran kama kitabu cha ukweli, wakati vingi sana vina contradictions ama vinapingana na sayansi ama havijathibitishwa kisayansi, hawasemi vinapingana nansayansi au havijathibitishwa kisayansi?

10.Kama kuna Mungu kweli, kwa nini karuhusu confusion ya dini nyingi tofauti kuwa na vitabu vingi tofauti vyote vinasema vya Mungu wa kweli?

Kwa leo tuishie na maswali haya 10.

Unaweza kujibu ?
Nawewe unaweza kuleta sababu kwanini Mungu hayupo?
 
Nawewe unaweza kuleta sababu kwanini Mungu hayupo?
Kwa sababu dhananya kuwepo kwake inapingana na ulimwengu tunaouona.

Ina contradiction.

Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, ulimwengu usingeweza kuwa na ubaya wowote.

Ulimwengu una ubaya.

Hivyo, Mungu hayupo.
 
Thibitisha Mungu yupo na si hadithi tu.

Najua arti le ya Scientific American hujasoma ndiyo maana hujauliza swali la kutoka kwenye article.

Sina hakika hata kama unaweza kuisoma.

Wewe unaposema kuna Mungu unatumia kigezo gani?
Kabla sijakuthibitishia hilo. Hiivi wee unaamini kama una AKILI.!?
 
Kwa sababu dhananya kuwepo kwake inapingana na ulimwengu tunaouona.

Ina contradiction.

Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, ulimwengu usingeweza kuwa na ubaya wowote.

Ulimwengu una ubaya.

Hivyo, Mungu hayupo.
Ufahamu wako unapoishia ndipo uwezo wake unaanzia yani kitendo chawewe kusema Mungu hayupo ndio utambulisho kuwa yupo
 
Back
Top Bottom