Biblia ndiyo imejenga Ulaya na Wazungu!

Biblia ndiyo imejenga Ulaya na Wazungu!

Unachanganya mambo ushoga siyo Umagharibi upo Dunia nzima na Tamaduni zote mpaka kwetu ukienda Zanzibar au Mombasa ndiyo utajua hata hapa Dar mashoga wapo kibao!
Kwetu ushoga ni kosa,na wanaofanya hawafanyi kwa uhuru kama huko kwenye ustaarabu wa Magharibi,mpaka sheria zinaharamisha hayo mambo,lakini hao watu wa magharibi ni jambo la fahari kwao na ndio maana wamekua wakihalalisha ndoa za jinsi moja na wamekua wakifanya matamasha yao ya Gay Pride kila mwaka,kuanzia Marekani ,Ulaya na hata Israel kwa kujifaharisha na ushoga na ukitaka kugombana nao hao Western civilised piga vita ushoga ndo utawajua wao ni nani? Ndo nikakuuliza je na hili limo katlka yale ?au uliyoyataja yanayokufurahisha ukaacha yanayokuudhi?ungeweka na hili pia kwani wanalona sifa yao hao jamaa zako.
 
Mbona maelezo ni finyu sana ukiringanisha na mada husika?
Fafanua zaidi
 
Kwetu ushoga ni kosa,na wanaofanya hawafanyi kwa uhuru kama huko kwenye ustaarabu wa Magharibi,mpaka sheria zinaharamisha hayo mambo,lakini hao watu wa magharibi ni jambo la fahari kwao na ndio maana wamekua wakihalalisha ndoa za jinsi moja na wamekua wakifanya matamasha yao ya Gay Pride kila mwaka,kuanzia Marekani ,Ulaya na hata Israel kwa kujifaharisha na ushoga na ukitaka kugombana nao hao Western civilised piga vita ushoga ndo utawajua wao ni nani? Ndo nikakuuliza je na hili limo katlka yale ?au uliyoyataja yanayokufurahisha ukaacha yanayokuudhi?ungeweka na hili pia kwani wanalona sifa yao hao jamaa zako.


Siyo kweli, ushoga umekatazwa kwenye Biblia na nchi za Magharibi zote mpaka miaka ya 60' wkt bado wanafwata Biblia ushoga ulikuwa hauruhusiwi na walikuwa wanauchukua kama ugonjwa ndiyo maana mashoga wote walikuwa wanapelekwa therapy mpaka alivyokuja Anti christ Obama ndiyo akafuta na kusema rasmi ushoga siyo ugonjwa bali ni kawaida na kuanza kuusambaza Dunia nzima, lkn nchi zote Kikristo za Ulaya pmj na USA hazikuruhu ushoga mpaka devil Obama alivyokuja na kuanza kuusambaza na sasa ameuleta kwetu pia!
 
Ustarabu gani waliokuanao au kuvaa nguo fupi na kupigwa denda mbele ya wazazi wao biblia ndo inafundisha ivyo


Kama siyo mzuri ni kwa nini tunauiga? Niambie kuna Mtz gani Leo hii hamyonyi mpenzi wake mate? Kwanza hata kufanya mapenzi kwa kutomasana siyo utamaduni wetu mababu zetu hawakutomasana Leo hii nani analala na Mwanamke bila kumtomasa kwanza?
 
Kama siyo mzuri ni kwa nini tunauiga? Niambie kuna Mtz gani Leo hii hamyonyi mpenzi wake mate? Kwanza hata kufanya mapenzi kwa kutomasana siyo utamaduni wetu mababu zetu hawakutomasana Leo hii nani analala na Mwanamke bila kumtomasa kwanza?

Kaka Barbarosa mbona utamaduni wetu wa Jando na Kuchezwa mwanamke unafundisha kutomasana??
 
Kaka Barbarosa mbona utamaduni wetu wa Jando na Kuchezwa mwanamke unafundisha kutomasana??


Siyo kweli fanya utafiti zaidi kikwetu mambo ya kunyonyana ulimi hayakuwepo kwanza hata kumuandaa Mwanamke kabla ya tendo haikuwepo ndiyo maana kuna misemo kama kamchana mwanamke au mwanamke kuogopa tendo kwa kuhofia kuumia hiyo ni kwa sababu tulikuwa hatutayarishani tulikuwa tunaingiza tu, kibaolojia uke wa Mwanamke ukiwa tayari unapokea uume wowote ule ukisikia mwanamke analalamika ujue hayuko tayari!
 
Fafanua kama ukipenda, nilipokosea!

Mkuu Barbarosa.
Tukiweka kumbukumbu sawa kabisa Ukristo umeanzia kwa Wayahudi pale Mashariki ya Kati.
Umeletwa na Yesu mnamo karne ya 1 na kupindi hiki hata Biblia ilikuwa bado haijaandikwa.
Ubepari umeanza mnamo Karne ya 15. Ukakomaa, Ukashamiri na Kuenea duniani mnamo Karne za 18 na 19.

Ikumbukwe kuwa Ukristo ulienea kwanza Afrika na Asia kabla ya kufika Ulaya.
Misri, Ethiopia na nchi za Afrika Maghreb zilikuwa ni za Kikristo na zilikaliwa na watu weusi hata kabla ya kuja Uislamu. Kulikuwa na makanisa mengi Asia na Afrika lakini mbona hatukuwa mabepari?

Abyssinia ambayo ni Ethiopia ya sasa ulikuwa ni ufalme wa Kikristo lakini mpaka leo hii Waethiopia ni wajamaa na walikuwa marafiki wa wakomunisti.
Mfano wa kukufanya ufikiri zaidi ni ule wa Kanisa la Orthodoxy la Urusi ambalo lipo zaidi ya miaka 500: Lakini zaidi ya miaka 300 Urusi ilikuwa chini ya mfumo wa Ukabaila au Feudalism.

Kwenye Common Law hapo,
Kitu cha Kukumbuka ni kwamba mwanzilishi ni Mfalme William kutoka Ufaransa ambaye alitawala Uingereza baada ya kumuua mfalme Harold.
Common Law ni common kwasababu ni muunganiko wa sheria zinazofanana katika vijiji mbalimbali vya Uingereza.
Germani Law au Continental Europe Civil System ni zao la sheria za Dola la Mrumi iliyotawala Ulaya kwa zaidi ya miaka 600.

Hivyo Common Law au German Law havina uhusiano wowote na Biblia.
Japo, Ukristo ulikuwa na ushawishi mkubwa sana kwenye Sheria za Ulaya hasa kipindi cha Mfalme Justine wa Rumi Takatifu.
Hivyo ushahidi wa kihistoria unakupinga kabisa.

 
Mkuu Barbarosa.
Tukiweka kumbukumbu sawa kabisa Ukristo umeanzia kwa Wayahudi pale Mashariki ya Kati.
Umeletwa na Yesu mnamo karne ya 1 na kupindi hiki hata Biblia ilikuwa bado haijaandikwa.
Ubepari umeanza mnamo Karne ya 15. Ukakomaa, Ukashamiri na Kuenea duniani mnamo Karne za 18 na 19.

Ikumbukwe kuwa Ukristo ulienea kwanza Afrika na Asia kabla ya kufika Ulaya.
Misri, Ethiopia na nchi za Afrika Maghreb zilikuwa ni za Kikristo na zilikaliwa na watu weusi hata kabla ya kuja Uislamu. Kulikuwa na makanisa mengi Asia na Afrika lakini mbona hatukuwa mabepari?

Abyssinia ambayo ni Ethiopia ya sasa ulikuwa ni ufalme wa Kikristo lakini mpaka leo hii Waethiopia ni wajamaa na walikuwa marafiki wa wakomunisti.
Mfano wa kukufanya ufikiri zaidi ni ule wa Kanisa la Orthodoxy la Urusi ambalo lipo zaidi ya miaka 500: Lakini zaidi ya miaka 300 Urusi ilikuwa chini ya mfumo wa Ukabaila au Feudalism.

Kwenye Common Law hapo,
Kitu cha Kukumbuka ni kwamba mwanzilishi ni Mfalme William kutoka Ufaransa ambaye alitawala Uingereza baada ya kumuua mfalme Harold.
Common Law ni common kwasababu ni muunganiko wa sheria zinazofanana katika vijiji mbalimbali vya Uingereza.
Germani Law au Continental Europe Civil System ni zao la sheria za Dola la Mrumi iliyotawala Ulaya kwa zaidi ya miaka 600.

Hivyo Common Law au German Law havina uhusiano wowote na Biblia.
Japo, Ukristo ulikuwa na ushawishi mkubwa sana kwenye Sheria za Ulaya hasa kipindi cha Mfalme Justine wa Rumi Takatifu.
Hivyo ushahidi wa kihistoria unakupinga kabisa.

Kuna Ukristo wa aina nyingi kwa mfano Ukristo wa Ethiopia ambalo ndiyo kanisa la kwanza Duniani hauhusiani na Ukristo wa Wazungu!

Ukristo wa Wazungu kama Uroma chini ya Papa na Ulutheri ni umetokana na Utamaduni wa Wazungu na hata Biblia yenyewe waliiandika upya na kuongeza au kuondoa baadhi ya vitabu na ndiyo aina ya ukristo waliouleta kwetu!

Na ndiyo chanzo cha Western Civilization ambayo imesambaa Duniani kote mfano Papa ni mambo ya Kizungu!

Nitakupa mfano Christmas tarehe 25/12 haihusiani na siku ya kuzaliwa Yesu bali ilikuwa ni sikukuu ya Kipagani ya Kizungu kabla ya Ukristo kuingia Ulaya, Papa ndiyo akaamua kuifanya ya kikristo ndiyo maana mpaka Leo Wazungu wanahusisha Krismasi na snow, sasa Yesu na snow wapi na wapi wkt alizaliwa Jangwani?
 
Kuna Ukristo wa aina nyingi kwa mfano Ukristo wa Ethiopia ambalo ndiyo kanisa la kwanza Duniani hauhusiani na Ukristo wa Wazungu!

Ukristo wa Wazungu kama Uroma chini ya Papa na Ulutheri ni umetokana na Utamaduni wa Wazungu na hata Biblia yenyewe waliiandika upya na kuongeza au kuondoa baadhi ya vitabu na ndiyo aina ya ukristo waliouleta kwetu!

Na ndiyo chanzo cha Western Civilization ambayo imesambaa Duniani kote mfano Papa ni mambo ya Kizungu!

Nitakupa mfano Christmas tarehe 25/12 haihusiani na siku ya kuzaliwa Yesu bali ilikuwa ni sikukuu ya Kipagani ya Kizungu kabla ya Ukristo kuingia Ulaya, Papa ndiyo akaamua kuifanya ya kikristo ndiyo maana mpaka Leo Wazungu wanahusisha Krismasi na snow, sasa Yesu na snow wapi na wapi wkt alizaliwa Jangwani?

Mkuu Rosa,
Hakuna Ukristo wa aina nyingi; ukristo ni dini moja ila una madhehebu mengi.
Ukatoliki na Ulutheri ni udhehebu chini ya dini ya Kikristo.
Wajenzi wa Ustaarabu wa nchi za Magaharibi ni Wagiriki na Warumi na siyo Biblia hebu fanya utafiti.


 
"Ukinisujudu ntakupa milki yote ya dunia"...shetani"

Hiki kifungu wazungu wanajua kukitumia vizuri sana na ndio maana wanatawala dunia.

Na sisi tunashindwa kung'amua hilo kwa sababu hatuna maaalifa.

Kwa hiyo tutaendelea kuburuzwa na wazungu mpaka pale tutakapong'amua umuhimi wa kifungu hapa chini.

"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa"....Bible
 
Unachanganya mambo ushoga siyo Umagharibi upo Dunia nzima na Tamaduni zote mpaka kwetu ukienda Zanzibar au Mombasa ndiyo utajua hata hapa Dar mashoga wapo kibao!
Hapa amezungumzia chanzo cha ushoga nasiyo kutapakaa kwa ushoga Mombasa,DSM nakwingineko.Kwaio Ushoga siyo Western Civilization?
Ushoga umetokea Marekani na ni Western Civilization iliko.
 
Wazungu wameendelea na wana utamaduni ambao wote leo hii tunauiga au tunataka kuuiga lkn kama ulikuwa haufahamu Wazungu wameendelea kwa sababu ya UKRISTO, yaani mfumo wa Kizungu ni kwamba uliongozwa na mafundisho ya Biblia na ndiyo maana wamefikia hapo walipofikia, ukisikia wakisema Western Civilization maana yake ni kwamba ni Ukristo na Biblia!

Hata Ubepari au Capitalism kama ujulikanavyo kwa Kizungu umetokana na Biblia, bila ya Ukristo na Biblia hakuna Capitalism!
Sheria zote za Kizungu ambazo leo hii tunaziiga kama Common law ya Uingereza, French law, German law ambayo ndiyo inatumika Ujapani, Uchina na kwingineko imetokana Biblia na Ukristo, hivyo tukitaka kuendelea kwenye Dunia inayaofuata na kuongozwa na mfumo wa Kizungu ni lazima tuiishi Biblia au tuchanganye lkn ni lazima tuielewe Biblia na mafundisho yake na kuyaishi na siyo kuishia kukariri vifungu tu, bila ya hivyo tutabakia kuwa wa mwisho siku zote labda mpaka Kimondo kishuke Duniani na kuua sehemu kubwa ya Dunia na kutoa nafasi kwa Ustaarabu mwingine kunyanyuka lkn mpaka hiyo siku ifike Ukristo na Biblia ndiyo way to go!
Biblia ya CCM ndiyo inayoongoza Tanzania. Sasa ya Ulaya yanakujaje!
 
Wazungu wameendelea na wana utamaduni ambao wote leo hii tunauiga au tunataka kuuiga lkn kama ulikuwa haufahamu Wazungu wameendelea kwa sababu ya UKRISTO, yaani mfumo wa Kizungu ni kwamba uliongozwa na mafundisho ya Biblia na ndiyo maana wamefikia hapo walipofikia, ukisikia wakisema Western Civilization maana yake ni kwamba ni Ukristo na Biblia!

Hata Ubepari au Capitalism kama ujulikanavyo kwa Kizungu umetokana na Biblia, bila ya Ukristo na Biblia hakuna Capitalism!
Sheria zote za Kizungu ambazo leo hii tunaziiga kama Common law ya Uingereza, French law, German law ambayo ndiyo inatumika Ujapani, Uchina na kwingineko imetokana Biblia na Ukristo, hivyo tukitaka kuendelea kwenye Dunia inayaofuata na kuongozwa na mfumo wa Kizungu ni lazima tuiishi Biblia au tuchanganye lkn ni lazima tuielewe Biblia na mafundisho yake na kuyaishi na siyo kuishia kukariri vifungu tu, bila ya hivyo tutabakia kuwa wa mwisho siku zote labda mpaka Kimondo kishuke Duniani na kuua sehemu kubwa ya Dunia na kutoa nafasi kwa Ustaarabu mwingine kunyanyuka lkn mpaka hiyo siku ifike Ukristo na Biblia ndiyo way to go!
Kutumika Ujapani na Uchina napata ukakasi kidogo! Mbona hao jamaa wako tofauti sana na Ulaya?! Nahitaji kuelimishwa zaidi tafadhali!!
We jamaa kumbe mweupe sana kichwani?inasikitisha sana.
 
Mkuu kidogo napingana nawe.. Nikiangalia ukristo haswa uko marekani ya kusini ambako maendeleo yao kama sisi tu (ukitoa vinara wachache kama Brazili, Argentina na puerto Rico) pia ukija upande wa pili kuna mataifa ambayo hayataki kusikia Ukristo wala uislam na mataifa haya yako mbele kiustaarabu kitamaduni na kiuchumi kwa karne nyingi sana (uchina.. japan.. Na Kwa kiasi flan Mongolia ya kina Genghis Khan)
Naunga mkono hoja. Ni Chengis Khan
 
Unachanganya mambo ushoga siyo Umagharibi upo Dunia nzima na Tamaduni zote mpaka kwetu ukienda Zanzibar au Mombasa ndiyo utajua hata hapa Dar mashoga wapo kibao!
Western civilization pia iko karibia dunia nzima!!
 
Asili ya biblia ni mashariki ya kati na kitovu ni Jerusalem au nchi ya Israel
 
Back
Top Bottom