Kwanini msiwavizie wakati wanakulana mchome moto nyumba wafie ndani? Mbona mnawalea hivyo? Mkendelea kuwachekea wataambukixa kijiji kizimaNGO na ushoga hii iko wazi kabisa.
Kuna members fulani NGO ambayo iko funded na america,toka wamefungua branch yao hapa mtaani karibu kila mwezi anakuja ngozi nyeupe ghetto kwa huyo member wa NGO wanakulana huko ndani siku nzima jion anaondoka na GSM yake.
Kamuharibu huyo kijana wa watu mtaa mzima sasa unajua ni gay yani ata tembea hulka maongezi ni gay kabisa na wako wawili
Mkristo anajua wapi pa kupata Biblia pindi atakapozihitaji. Mkristo anajua Kanisa lake ni lipi.Wakati serikali, wanaharakati na wapenda amani wakipambana dhidi ya kuenea kwa vitendo vya kishoga na kisagaji, mashabiki wa mambo ya ushoga na usagaji wameanza kuingiza vitendo hivyo hapa nchini kupitia kwenye biblia kwa kasi ya kutisha. Biblia hizo zimenyofolewa baadhi ya vifungu vyenye maadili na kuchomekea vifungo vya kishoga kama inavyoelezwa kwenye video hii hapa chini.
Kana kwamba hilo halitoshi, biblia hizo zimeanza kutafsriwa kwa Kiswahili ili ujumbe wa kishoga uwafikie wote watakaozisoma. Serikali isipokuwa makini kudhibiti uagizaji na uingizaji wa biblia hizo, nchi nzima itatumbukia kwenye ushoga na usagaji; hakuna atakayepona, awe mkristo au muislamu.
MAONI YANGU
Mara nyingi watu wamekuwa na mtazamo hasi kwamba vitendo vya kishoga vinaanzia uarabuni kumbe sasa kila mtu anaona kuwa vitendo hivi havina mipaka na kwamba vinaweza kutokea mahali popote, iwe Magharibi au Mashariki.
Kwa kweli kama alivyosema Mwakyembe, ni vigumu sana ushoga kuingia kupitia kwenye korani kwa kuwa waislamu wana msimamo mkali. Ni rahisi kupitia kwenye biblia kwa kuwa wakristo wamegawanyika sana na wengi wao ni wachumiatumbo. Wapo tayari kuuza utu wao kwa kipande cha fedha kama Yuda alivyomuuza Yesu. Mambo kama haya huwezi kuyaona kwa waislamu. Wakrito kuna mahali wanakwama sio bure.
Nawasilisha.
PIA SOMA
- Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali
- Mwakyembe aitwa na NaCoNGO kueleza kwa kina madai aliyoibua kuhusu baadhi ya ngo kuhusika kueneza mapenzi ya jinsia moja nchini
- Inakuwaje serikali inapuuzia ripoti nyingi?
Mfano kuna vijana wanavuta bangi na madawa ya kulevya wameweka gogo nje ya nyumba yako kama kijiwe na dada wa kazi ndani ameshakujulisha kuwa watoto wako wa kiume ambao ndio wanaingia umri wa balehe wanatabia ya kushinda pale kijiweni na wale wavuta bangi.Lakini haya mambo ni kuyapotezea tu kwa hali ya sasa ni ngumu kudhibiti usenge.
Mtu akiamua kuwa msenge atajua yeye mwenyewe na maisha yake as long as ashikilii mkundu wako.
Sasa mbona makaratasi tu yakifanyiwa mzaha au kuchomwa moto kuna watu wanawehuka kama wemen'gatwa na siafu kwenye nyeti?Qur'an inahifadhiwa mioyoni mwetu, sio kwenye makaratasi.
Kama watoto wenu wanafirwa basi nyie ndio wenye matatizo.Kwa hiyo mkuu tukae kimya huku watoto wetu wakifirwa? Are you serious or just kidding?
Wamejifunga na kusaini "declaration of human rights" sababu mule ndipo sheria ya ruhusa ya kuwapa uhuru watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kufanya mambo yao hadharani ilipo.Serikali inashindwa nini kutokomeza ujinga wa ushoga?
Unaweza kuta unabishana na jitu linakula mashoga na wanawake nyuma. Maana ni ajabu sana ukute watu wanaponda ushoga halafu mtu anakuja kutetea.Kwaiyo mtu akiamua kuvuta bangi au madawa ya kulevya tumwache tu
Ushoga ni kinyume cha tamaduni zetu na maadili
Hatuwezi kuishi bila kuheshimu maadili
Ushoga ni Tabia sio Bible wala promo, Huko Marekani kwenyewe mashoga ni % ndogo sana ya pupulationWakati serikali, wanaharakati na wapenda amani wakipambana dhidi ya kuenea kwa vitendo vya kishoga na kisagaji, mashabiki wa mambo ya ushoga na usagaji wameanza kuingiza vitendo hivyo hapa nchini kupitia kwenye biblia kwa kasi ya kutisha. Biblia hizo zimenyofolewa baadhi ya vifungu vyenye maadili na kuchomekea vifungo vya kishoga kama inavyoelezwa kwenye video hii hapa chini.
Kana kwamba hilo halitoshi, biblia hizo zimeanza kutafsriwa kwa Kiswahili ili ujumbe wa kishoga uwafikie wote watakaozisoma. Serikali isipokuwa makini kudhibiti uagizaji na uingizaji wa biblia hizo, nchi nzima itatumbukia kwenye ushoga na usagaji; hakuna atakayepona, awe mkristo au muislamu.
MAONI YANGU
Mara nyingi watu wamekuwa na mtazamo hasi kwamba vitendo vya kishoga vinaanzia uarabuni kumbe sasa kila mtu anaona kuwa vitendo hivi havina mipaka na kwamba vinaweza kutokea mahali popote, iwe Magharibi au Mashariki.
Kwa kweli kama alivyosema Mwakyembe, ni vigumu sana ushoga kuingia kupitia kwenye korani kwa kuwa waislamu wana msimamo mkali. Ni rahisi kupitia kwenye biblia kwa kuwa wakristo wamegawanyika sana na wengi wao ni wachumiatumbo. Wapo tayari kuuza utu wao kwa kipande cha fedha kama Yuda alivyomuuza Yesu. Mambo kama haya huwezi kuyaona kwa waislamu. Wakrito kuna mahali wanakwama sio bure.
Nawasilisha.
PIA SOMA
- Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali
- Mwakyembe aitwa na NaCoNGO kueleza kwa kina madai aliyoibua kuhusu baadhi ya ngo kuhusika kueneza mapenzi ya jinsia moja nchini
- Inakuwaje serikali inapuuzia ripoti nyingi?
Kosa linalotokea kwasasa ni watu kujificha kwenye kichaka cha aibu. Utasikia "hili halituhusu sisi waislam ni lenu wakristo".katika ukristo hakuna freedom na diversity unayosema, ushoga ni dhambi, usagaji ni dhambi. hayo hayapo kwa wakristo tu, ingekuwa hivyo zanzibar, mombasa, tanga na Lamu kusingekuwa na mashoga wengi kuliko bara. juzi hapa takwimu za waziri wa zenji alisema zanzibar pekee kwenye wanadamu hata 2m hawafiki, kuna mashoga zaidi ya 3,000 meaning na mashasha zaidi ya 3,000. wote hao wanaswali na juzi kwenye mfungo walikuwa wanapiga viboko wakristo wasiofunga. hiyo ni dhambi ya kishetani inayoweza kumpata mtu wa dini yeyote.
Biblia katika warumi 1:26 inakataza ushoga na usagaji na inaahidi adhabu ya moto wa milele kwa matando kama hayo. sio kama ndugu mashia wanaoamini kila tobo ni suna, hata kuingilia kinyume ni ruksa. Noo.
Achana nae huyo hata hajielewi.Maendeleo ya kijamii
Maendeleo ya kiuchumi
Maendeleo ya kisiasa
Maendeleo ya kisayansi na teknolojia.
Hayo mambo ya ushoga, wizi, madawa ya kulevya, ubakaji, ulawiti, ufiraji yapo kwenye ishu ya kijamii. Kuyakomesha ndio huitwa maendeleo ya kijamii.
Kwa nini unasema Ni petty ishu Wakati huo ni uhalifu kama uhalifu mwingine?
Kwani hizo biblia wewe umezisoma na kugundua hazijabadilishwa vifungu? Hebu lete ushahidi wa biblia hapa, acha maneno matupu mkuu.Mzee amezungumza kama layman furani anayejaribu kuwa expert pro.
Biblia haiwezi kuwa biblia kama imeweka mambo mengine ambayo hayapo au hayajakubalika na chama cha biblia,hilo litabaki kuwa jarida tu.
Sasa labda tuzungumzie majari yanayotangaza ushoga.
Biblia gani zimebadilishwa vifungu??Kwani hizo biblia wewe umezisoma na kugundua hazijabadilishwa vifungu? Hebu lete ushahidi wa biblia hapa, acha maneno matupu mkuu.
Leta moja iliyobadilishwa na kilichobadilishwa.RSV na IRV na nyingine zinaendelea kubadilishwa mkuu.