S Sendoro Mbazi JF-Expert Member Joined Jan 18, 2013 Posts 3,329 Reaction score 2,169 Apr 16, 2024 #81 ngara23 said: Kwaiyo mtu akiamua kuvuta bangi au madawa ya kulevya tumwache tu Ushoga ni kinyume cha tamaduni zetu na maadili Hatuwezi kuishi bila kuheshimu maadili Click to expand... Atakuwa mmoja wao
ngara23 said: Kwaiyo mtu akiamua kuvuta bangi au madawa ya kulevya tumwache tu Ushoga ni kinyume cha tamaduni zetu na maadili Hatuwezi kuishi bila kuheshimu maadili Click to expand... Atakuwa mmoja wao
C clinician JF-Expert Member Joined Mar 5, 2014 Posts 2,098 Reaction score 4,926 Apr 16, 2024 #82 Chance ndoto said: Dada mnafki sana.. anahema juu juu🤣🤣🤣🥴🥴 Click to expand... Yaan huyo mdada anaonekana ana kasheshe,jinsi anavyoongea tu ni mshari.
Chance ndoto said: Dada mnafki sana.. anahema juu juu🤣🤣🤣🥴🥴 Click to expand... Yaan huyo mdada anaonekana ana kasheshe,jinsi anavyoongea tu ni mshari.
fahad singh JF-Expert Member Joined Aug 3, 2013 Posts 207 Reaction score 490 Apr 16, 2024 #83 Yoda said: Utampata wapi Mlawi leo hii?? Hata huko Israel leo hii hao marabbi wao sidhani kama ni Walawi Click to expand... Mto Songwe said: So mitume, manabii, waamuzi, marabi nao wanakuwa machoko humo ? Aloo Click to expand... Mmiliki wa mtandao wa ngono Pornhub ni Rabbi
Yoda said: Utampata wapi Mlawi leo hii?? Hata huko Israel leo hii hao marabbi wao sidhani kama ni Walawi Click to expand... Mto Songwe said: So mitume, manabii, waamuzi, marabi nao wanakuwa machoko humo ? Aloo Click to expand... Mmiliki wa mtandao wa ngono Pornhub ni Rabbi
tpaul JF-Expert Member Joined Feb 3, 2008 Posts 24,225 Reaction score 22,632 Apr 16, 2024 Thread starter #84 mkorinto said: Leta moja iliyobadilishwa na kilichobadilishwa. Click to expand... Msikilize Mwakyembe kwanza maana hata ukiletewa utaendelea kubisha. Hivi una maslahi gani na ushoga au nawe ni mmoja wao.
mkorinto said: Leta moja iliyobadilishwa na kilichobadilishwa. Click to expand... Msikilize Mwakyembe kwanza maana hata ukiletewa utaendelea kubisha. Hivi una maslahi gani na ushoga au nawe ni mmoja wao.
Chance ndoto JF-Expert Member Joined Mar 8, 2017 Posts 4,363 Reaction score 10,265 Apr 16, 2024 #85 clinician said: Yaan huyo mdada anaonekana ana kasheshe,jinsi anavyoongea tu ni mshari. Click to expand... Saana.. yaani huyu anataka achaguliwe awe secretary😂😂😂. Alichotumwa kafanya. Eti tumenunua
clinician said: Yaan huyo mdada anaonekana ana kasheshe,jinsi anavyoongea tu ni mshari. Click to expand... Saana.. yaani huyu anataka achaguliwe awe secretary😂😂😂. Alichotumwa kafanya. Eti tumenunua