Biblical Interpretation: Shetani siyo Lucifer, Lucifer ni Yesu (King James Isaiah 14:12 and Revelation 22:16)

Biblical Interpretation: Shetani siyo Lucifer, Lucifer ni Yesu (King James Isaiah 14:12 and Revelation 22:16)

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Leo wana JF ninaomba niweze kuelezea kwa kina jamboa ambalo limekuwa likisambazwa miaka na miaka ya kuhusu jina Lucifer.

Lucifer ni neno la Kilatini ambalo ninaandikwa kwa herufi ndogo lucifer likiwa na maana ya the morning star the planet Venus au kwa lugha ya kiswahili Zuhura

Mimi nimejiita Venus Star kutokana na kufahamu ukweli huu.

Isaiah 14:12 - KJV
How art thou fallen from heaven, O Lucifer, son of the morning! how art thou cut down to the ground, which didst weaken the nations!

Isaiah 14:12 - NIV
_How you have fallen from heaven,
morning star, son of the dawn!
You have been cast down to the earth,
you who once laid low the nations!_

Tayari katika maandiko hayo tumeona namna ya neno hilo lilvyokuja kuandikwa kwenye Version ya NI. King James huenda walifanya makosa kwa makusudi kabisa kuacha kulitafsiri hilo neno lucifer kutoka kwenye kilatini kuja kwenye kingereza.
1722414287133.png


YESU NDIYE LUCIFER​

Tukiendelea kuisoma biblia kwa kina tunaweza kuona kuwa Yesu ndiye ile nyota ya asubuhi Lucifer

Revelation 22:16
I, Jesus, have sent my angel to give you this testimony for the churches. I am the Root and the Offspring of David, and the bright Morning Star.
1722415580581.png


Mamajusi waliiona Nyota

Mathayo 2:1-2
Basi, Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi, siku za Mfalme Herode, tazama, mamajusi kutoka mashariki walifika Yerusalemu, wakasema, Yuko wapi yeye aliyezaliwa, mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.

Nadharia za Kisayansi na Kihistoria

Mwangaza wa Jupita na Venus (3-2 BC) Mpangilio wa sayari ya Jupiter na Venus katika miaka ya 3-2 BC ulisababisha mwangaza mkali angani ambao unaweza kuwa ulionekana kama nyota maalum.


KARIBUNI TUJADILI KWA KINA MASUALA HAYA YENYE KUFIKIRISHA
 

Kuhusu Hadithi ya John Milton (Paradise Lost) Ilivyochangia Neno Lucifer kuwa ni Shetani​


John Milton, mshairi na mwandishi wa Kiingereza wa karne ya 17, alijulikana sana kwa kazi yake maarufu "Paradise Lost," ambayo ni tamthilia ya kishairi inayosimulia kuanguka kwa Adamu na Hawa na kuanguka kwa Lucifer (Shetani). Milton alitoa mchango mkubwa katika kuelewa na kueneza hadithi ya Lucifer kama Shetani.

Katika "Paradise Lost," Milton anamchora Lucifer kama kiongozi wa malaika walioasi dhidi ya Mungu. Milton anampa Lucifer sifa za kishujaa kama vile ujasiri, kiburi, na uwezo mkubwa wa kujieleza, akimwonyesha kama mfano wa shujaa aliyeanguka ambaye anaendelea kupambana na Mungu.

"Biblia haimzungumzii Lucifer kama kiongozi wa mapinduzi ya malaika. Wazo hili lilitokana na tafsiri na tamaduni za baadaye ambazo ziliunganisha vifungu vya Isaya 14:12-15 na Ezekieli 28:12-17 na kuunda hadithi ya kuanguka kwa Lucifer. Milton alichukua tafsiri hizi na kuzifanya kuwa sehemu kuu ya kazi yake."
 
Tofautisha majina ya kazi, hali, wakati na tabia. Lucifer aliitwa hivyo kabla ya kuasi, baada ya kuasi akaitwa shetani. Jina lake la kwanza halina kazi tena
Nadhani nakuelewa! Aliitwa lucifer akiwa upande wa utakatifu lakini alipohasi na kufukuzwa toka upande ule wa watakatifu alibadilishiwa jina na kuitwa ibilisi, joka, shetani!!
 
Leo wana JF ninaomba niweze kuelezea kwa kina jamboa ambalo limekuwa likisambazwa miaka na miaka ya kuhusu jina Lucifer.

Lucifer ni neno la Kilatini ambalo ninaandikwa kwa herufi ndogo lucifer likiwa na maana ya the morning star the planet Venus au kwa lugha ya kiswahili Zuhura

Mimi nimejiita Venus Star kutokana na kufahamu ukweli huu.





Tayari katika maandiko hayo tumeona namna ya neno hilo lilvyokuja kuandikwa kwenye Version ya NI. King James huenda walifanya makosa kwa makusudi kabisa kuacha kulitafsiri hilo neno lucifer kutoka kwenye kilatini kuja kwenye kingereza.
View attachment 3057450

YESU NDIYE LUCIFER​

Tukiendelea kuisoma biblia kwa kina tunaweza kuona kuwa Yesu ndiye ile nyota ya asubuhi Lucifer


View attachment 3057474

Mamajusi waliiona Nyota



Nadharia za Kisayansi na Kihistoria


Mwangaza wa Jupita na Venus (3-2 BC) Mpangilio wa sayari ya Jupiter na Venus katika miaka ya 3-2 BC ulisababisha mwangaza mkali angani ambao unaweza kuwa ulionekana kama nyota maalum.


KARIBUNI TUJADILI KWA KINA MASUALA HAYA YENYE KUFIKIRISHA
Ha ha haaa Gen Z bana, mnasoma haraka ili muwahi ku post na ku forward bila ya kujipa muda wa kudadavua ili muelewe
 
Ha ha haaa Gen Z bana, mnasoma haraka ili muwahi ku post na ku forward bila ya kujipa muda wa judadavua ili muelewe
Samahani sana PakiJinja mimi siyo Gen Z.

Pili nimeandika kwa kina kabisa na kutoa maelezo ya kiundani. Kama upo na maelezo zaidi ya haya yenye references. Tafadhali uyaweke. Hapa tunajadiliana kama GT kwenye Intelligence thread.
 
V
Leo wana JF ninaomba niweze kuelezea kwa kina jamboa ambalo limekuwa likisambazwa miaka na miaka ya kuhusu jina Lucifer.

Lucifer ni neno la Kilatini ambalo ninaandikwa kwa herufi ndogo lucifer likiwa na maana ya the morning star the planet Venus au kwa lugha ya kiswahili Zuhura

Mimi nimejiita Venus Star kutokana na kufahamu ukweli huu.





Tayari katika maandiko hayo tumeona namna ya neno hilo lilvyokuja kuandikwa kwenye Version ya NI. King James huenda walifanya makosa kwa makusudi kabisa kuacha kulitafsiri hilo neno lucifer kutoka kwenye kilatini kuja kwenye kingereza.
View attachment 3057450

YESU NDIYE LUCIFER​

Tukiendelea kuisoma biblia kwa kina tunaweza kuona kuwa Yesu ndiye ile nyota ya asubuhi Lucifer


View attachment 3057474

Mamajusi waliiona Nyota



Nadharia za Kisayansi na Kihistoria

Mwangaza wa Jupita na Venus (3-2 BC) Mpangilio wa sayari ya Jupiter na Venus katika miaka ya 3-2 BC ulisababisha mwangaza mkali angani ambao unaweza kuwa ulionekana kama nyota maalum.


KARIBUNI TUJADILI KWA KINA MASUALA HAYA YENYE KUFIKIRISHA
Big mistakes
12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
Isaya 14:12

13 Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
Isaya 14:13

14 Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
Isaya 14:14

15 Lakini utashushwa mpaka kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo.
Isaya 14:15
 
V
Big mistakes
12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
Isaya 14:12

13 Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
Isaya 14:13

14 Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
Isaya 14:14

15 Lakini utashushwa mpaka kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo.
Isaya 14:15
Ukitaka kuelewa hiyo CAP anzia hapa:

Isaya 14: 3 Tena itakuwa katika siku ile, ambayo Bwana atakupa raha baada ya huzuni yako, na baada ya taabu yako, na baada ya utumishi ule mgumu uliotumikishwa;

Isaya 14: 4 utatunga mithali hii juu ya mfalme wa Babeli, na kusema, Jinsi alivyokoma mwenye kuonea; Jinsi ulivyokoma mji ule wenye jeuri!

Utaelewa hapo alikuwa anaongelewa Mfalme wa Babeli
 
walipojifanya wenye hekima WALIPUMBAZIKA.
Leo wana JF ninaomba niweze kuelezea kwa kina jamboa ambalo limekuwa likisambazwa miaka na miaka ya kuhusu jina Lucifer.

Lucifer ni neno la Kilatini ambalo ninaandikwa kwa herufi ndogo lucifer likiwa na maana ya the morning star the planet Venus au kwa lugha ya kiswahili Zuhura

Mimi nimejiita Venus Star kutokana na kufahamu ukweli huu.





Tayari katika maandiko hayo tumeona namna ya neno hilo lilvyokuja kuandikwa kwenye Version ya NI. King James huenda walifanya makosa kwa makusudi kabisa kuacha kulitafsiri hilo neno lucifer kutoka kwenye kilatini kuja kwenye kingereza.
View attachment 3057450

YESU NDIYE LUCIFER​

Tukiendelea kuisoma biblia kwa kina tunaweza kuona kuwa Yesu ndiye ile nyota ya asubuhi Lucifer


View attachment 3057474

Mamajusi waliiona Nyota



Nadharia za Kisayansi na Kihistoria


Mwangaza wa Jupita na Venus (3-2 BC) Mpangilio wa sayari ya Jupiter na Venus katika miaka ya 3-2 BC ulisababisha mwangaza mkali angani ambao unaweza kuwa ulionekana kama nyota maalum.


KARIBUNI TUJADILI KWA KINA MASUALA HAYA YENYE KUFIKIRISHA
 
Huyu issaya huwachanganya hata
Ukitaka kuelewa hiyo CAP anzia hapa:

Isaya 14: 3 Tena itakuwa katika siku ile, ambayo Bwana atakupa raha baada ya huzuni yako, na baada ya taabu yako, na baada ya utumishi ule mgumu uliotumikishwa;

Isaya 14: 4 utatunga mithali hii juu ya mfalme wa Babeli, na kusema, Jinsi alivyokoma mwenye kuonea; Jinsi ulivyokoma mji ule wenye jeuri!

Utaelewa hapo alikuwa anaongelewa M
Kuanguka kwa ufalme wa babeli.
 
Ukitaka kuelewa hiyo CAP anzia hapa:

Isaya 14: 3 Tena itakuwa katika siku ile, ambayo Bwana atakupa raha baada ya huzuni yako, na baada ya taabu yako, na baada ya utumishi ule mgumu uliotumikishwa;

Isaya 14: 4 utatunga mithali hii juu ya mfalme wa Babeli, na kusema, Jinsi alivyokoma mwenye kuonea; Jinsi ulivyokoma mji ule wenye jeuri!

Utaelewa hapo alikuwa anaongelewa Mfalme wa Babeli
mgen , MK254, imeloa ,
 
Back
Top Bottom