Biblical Interpretation: Shetani siyo Lucifer, Lucifer ni Yesu (King James Isaiah 14:12 and Revelation 22:16)

Biblical Interpretation: Shetani siyo Lucifer, Lucifer ni Yesu (King James Isaiah 14:12 and Revelation 22:16)

Huenda ukawa sahihi na ndioa maana yesu akija mara ya pili, na watakaonyakuliwa nawe wataenda kwenye new heaven, na pia kutakuwa na new earth, na new jerusalem.


Hii sasa itaondoa dhambi ilioingia mbinguni ya sasa, (ambayo nadhani ililetwa na Adamu alipoasi)

Nikipata muda huenda nikaja na scriptures za kuusapoti hii hoja yangu.

Ila ukisoma kwenye ufunuo 20 nadhani inaelezea kuhusu ujenzi wa mbingu mpya, etc.

So Yesu yupo kazini, yeye ndio architecture anajenga vyote hivi, (isaya 65:17) na ipo mistari kwenye vitabi vya paulo inayothibitisha haya yote.

Naendelea kusoma comments zingine
Yesu alikuja kwaajili ya wana wa Israel wanaoabudu Mungu wa Ibrahimu.
 
Yawezekana kabisa jina hilo lucifer hutumika kulingana na eneo, tamaduni, kazi na muktadha.
Kwa Wakristo Wakatoliki, wakati wa mkesha wa Pasaka, wana kitu wanaita 'Mbiu ya Pasaka' kwa Kilatini Praeconium Paschale- 'Exultet'.
Katika mbiu hii, kuna maneno ya Kilatini yanasomeka hivi;
'Flammas eius lucifer matutinus inveniat: Ille, inquam,lucifer, qui nescit occasum: Christus Filius tuus, qui regresus ab inferis, humano generi serenus illuxit, et tecum vivit et regnat in saecula saeculorum.
Kwa kiingereza maneno hayo yanatafsiriwa hivi;
May this flame be found still burning by the Morning Star: the one Morning Star who never sets,
Christ your Son, who, coming back from death's domain, has she'd his peaceful light o humanity, and lives and reigns forever and ever.
Hapa Kristo ametajwa kama Nyota ya Alfajiri ile isiyofifia au isiyozimika.
Pia nakumbuka kuna mtu aliletaga mada hapa kuhusu viumbe wa Bahariini na wale wanaoakisi mwanga wa jua.
Kwenye mada ile alisema kuwa wanajimu wanaijua nyota moja inaitwa nyota ya mwana wa Mfalme. Yawezekana ndio hiyo the morning star who never sets.
Naomba kuwasilisha.
 
V-Anus star ungekuwa umeisoma biblia yote usingeandika upuuzi mtupu wa kiwango hiki..Pia nimeona LGBTQ wengi wa generation Z ndio wenye ujasiri WA dharau Kama uliotuonyesha hapa..
 
V-Anus star ungekuwa umeisoma biblia yote usingeandika upuuzi mtupu wa kiwango hiki..Pia nimeona LGBTQ wengi wa generation Z ndio wenye ujasiri WA dharau Kama uliotuonyesha hapa..
 
V-Anus star ungekuwa umeisoma biblia yote usingeandika upuuzi mtupu wa kiwango hiki..Pia nimeona LGBTQ wengi wa generation Z ndio wenye ujasiri WA dharau Kama uliotuonyesha hapa..
Kwahiyo wewe umeanza kuwa muhukumu wa mawazo ya watu wengine?
 
V-Anus star soma Ayubu 38:3-7 au mwombe mtu makini akuwekee huo mstari...lakini msisitizo wako UWE kwenye mstari WA 7.anzia hapo ili uanze kufikiria nyota za asubuhi zilizoimba zilikuwa zipi?????????
 
Yesu alikuja kwaajili ya wana wa Israel wanaoabudu Mungu wa Ibrahimu.
So hivyo mtumish jifunze zaid alafu acha mzaha mtumish tumepoteza watu wengi kwa sababu ya mizaha mizaha na shetani amekuwa akiutumia mzaha kama silaha yake ya maangamizi

Msome YESU umuelewa hapa huenda itakusaidia

John au yohana 10:16 tena ninao kondoo wengine ambao hawamo zizini humu. Inabidi kuwaleta hao pia, nao wataisikia sauti yangu na na kutakuwako mchungaji mmoja na kundi Moja

Ili ueelewe anzia hiyo john yohana10: 11-17
 
Back
Top Bottom