ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Ingependeza ungemeza ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana Poor Brain nikiwa na umri wa miaka 21 tu, tayari nili kuwa na kwangu.😁😁😁😁😁😁 Taifa inabidi kukataza vijana kushinda vijiweni
Huelewi chanzo Cha binti kugoma ni aidha ana mimba ?P2 ni sawa na kumnyonga mtoto? Kivipi?
Na ndio maana kagoma, na hata uki Soma comment za Wadau zina sema hilo.Inawezekana mimba anayo mkuu
😂😂😂😂😂😂 Umejaa.....Kijana Poor Brain nikiwa na umri wa miaka 21 tu, tayari nili kuwa na kwangu.
Hapo sija taja asset nilizo achiwa na mzee, usi ulize kuhusu biashara hilo sihi taji maelezo wanao nijua personal Wana elewa.
Joanah huyo binti kwanini agome kumeza, vipi Kama ana mimba ? Si ndo uuaji wenyewe?
Kwanini wewe hukuvaa condom au kumwaga nje kama hukuhitaji mimba?Na hukute hayo madhara wanayo hadithiana ni kufata mkumbo tuu..
Mi mdada kama hataki kumeza p2 basi akija kupata mimba basi ajue taitoa hata kwa bisi bisi mimi mwenyewe
Nijae nini sasa, una ongea ushamba ukusaidie nini kijana?.😂😂😂😂😂😂 Umejaa.....
Kwanini na yeye akubali kupata mimbaKwanini wewe hukuvaa condom au kumwaga nje kama hukuhitaji mimba?
Cool down..Nijae nini sasa, una ongea ushamba ukusaidie nini kijana?.
mpaka Leo huja kua tu?, Kumbuka jua ni kali mchana ila jioni huzama.
we kuweza?Hongera kuwa Baba Kijacho 🤗
Sasa anazaaje bila ridhaa yangu au kiongozi uoni km tayari kuna shida apo?Huyo anataka akuzalie
Anakuzalia huyo jipange kuitwa baba.Wakuu huyu bidada simwelewi kabisa tulikutana kurahaika.
Sasa nimemkabidhi P2 avimeze tumalize kesi. Naona bidada katia mguu chini hataki kumeza wakati kakidonge kenyewe ni kadogodogo tu tena kamoja tu.
Simwelewi kabisa huyu bidada anataka kitokee nini.
Mimi ni Mzee, kwahiyo hata mashuti niyapigayo hayana nguvu kusababisha mimba 😜we kuweza?
Labda amependa Kwa hiari yake au kuna maslahi kayaonaSasa anazaaje bila ridhaa yangu au kiongozi uoni km tayari kuna shida apo?
🙆♂️Labda amependa Kwa hiari yake au kuna maslahi kayaona