Bidada kakataa kumeza P2

😁😁😁😁😁😁 Taifa inabidi kukataza vijana kushinda vijiweni
Kijana Poor Brain nikiwa na umri wa miaka 21 tu, tayari nili kuwa na kwangu.

Hapo sija taja asset nilizo achiwa na mzee, usi ulize kuhusu biashara hilo sihi taji maelezo wanao nijua personal Wana elewa.

Joanah huyo binti kwanini agome kumeza, vipi Kama ana mimba ? Si ndo uuaji wenyewe?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Umejaa.....
 
Badala ya yeye kumeza P2, Vaa wee condoms.
Mbna simple tyuuh. Aaaah
 
Na hukute hayo madhara wanayo hadithiana ni kufata mkumbo tuu..

Mi mdada kama hataki kumeza p2 basi akija kupata mimba basi ajue taitoa hata kwa bisi bisi mimi mwenyewe
Kwanini wewe hukuvaa condom au kumwaga nje kama hukuhitaji mimba?
 
Mkuu jiandae tu, kuwa baba mlezi mbona ni sifa nzuri tu
 
Nijae nini sasa, una ongea ushamba ukusaidie nini kijana?.

mpaka Leo huja kua tu?, Kumbuka jua ni kali mchana ila jioni huzama.
Cool down..
Kila mmoja atachanganyikiwa kwa mda wake...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna vitu don't take serious broo
 
Unakutana na Demu Condom halitaki, P2 Halitaki na Mimba halutaki, Unabaki hata mzunguko wake haliufahamu, unabaki kulishangaa we kima nn.
 
Anakuzalia huyo jipange kuitwa baba.
 
we kuweza?
Mimi ni Mzee, kwahiyo hata mashuti niyapigayo hayana nguvu kusababisha mimba 😜

Ila, Mtoa mada si angemwagia nje ikiwa alikuwa hataki kuwa Baba.

Otherwise angevaa kondomu πŸ€—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…