hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Ama kweli akili Mali [emoji28]Mind games, maneno yake hayasadifu vitendo vyake. Hata China na Urusi na hao Waarabu wanamtegemea USA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ama kweli akili Mali [emoji28]Mind games, maneno yake hayasadifu vitendo vyake. Hata China na Urusi na hao Waarabu wanamtegemea USA
Sijui wame kimbia wapi [emoji28]Sio tena akina rockefela roschild etc
[emoji28][emoji28] wata mchukiaWaache awape ukweli na hivi wazee huwa wanaropoka ukweli
Bila wizi USA ni njaa tu
Aibu sana [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hii ! Ebu subiri Kwanza niegemee mahali nisome tena.
Biden kasema wamefanyaje fanyaje ?
Bora bangi ihalalishwe tu tujue moja, inamaana yeye hajui anachoagiza kuhusu Russia?. Mpaka kwenye maagizo yake akasema Putin aondolewe kwenye utawala"The problem is Republicans in Congress are doing everything they can to stop my plans to bring down costs on ordinary families. That's why my plan is not finished and why the results aren't finished either," Biden said
The President continued, "Jobs are back but prices are still too high. Covid is down but gas prices are up. Our work isn't done. But here's the deal: America still has a choice to make. A choice between a government by the few -- for the few -- or a government for all of us. Democracy for all of us. An economy where all of us have a fair shot and a chance to earn our place in the economy."
Kumbe kuna wakomba matembele humu!!!?Aaaaahaa wewe,acha izo.
Inategemewa na aina ya mboga.
Matembele bila ugali hayanogi mwanangu.
kabsaAibu sana [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Inategemea na mboga gani unazungumzia, tatizo unakula ugali na mchuzi wa nyama mbili. Tatizo ushazoea kula kwa mama ntilie.Mboga hailiwi bali hukombwa, na kamwe mboga bila ugali haijawahi kumshibisha Mtu.
Hahaha sasa hujui tembele ni sukuma wiki au ? Ile sio mboga ya kula binadamu njaa tu mshikaji wangu. Ila kweli tembele bila ugali halinogi. .Aaaaahaa wewe,acha izo.
Inategemewa na aina ya mboga.
Matembele bila ugali hayanogi mwanangu.
Kamuulize BidenMkuu unatamani sana siku moja kabla hujaondoka hapa duniani ushuhudie Marekani ikiikopa fedha Tanzania.
Huo ndio ukweliWaache awape ukweli na hivi wazee huwa wanaropoka ukweli
Bila wizi USA ni njaa tu
[emoji1787][emoji1787]Ngoja waje wamarekani weusi wa Nzega,wao wanaujua uchumi wa Marekani kuliko Biden,
watakwambia;
"Hayo maneno ni mbinu tu,kuna mtu anapotezwa hapo"
Uongo na propaganda hua vina mwisho.
Kuidanganya Dunia kua Urusi ni masikini,china ni masikini.sasa ukweli umeanza kuchomoza..
Ulishaona wapi nchi masikini kama zimbabwe ikaushikikia uchumi wa nchi kubwa kama Marekani?
Uchumi wa nchi tajiri kama Marekani unashikiliwa na nchi tajiri mwenzie.
umeongea kwa uchungu sana,pole sanaKwa hiyo kama Urusi ni tajiri inakusaidia nini,au kuna mgao wa fedha huwa wanakipa?
Uchumi wa marekan kweli Kama waarabu wanakua wamoja na kuungana waweke vikwazo vya mafuta Marekani anakua hana loloteNgoja waje wamarekani weusi wa Nzega,wao wanaujua uchumi wa Marekani kuliko Biden,
watakwambia;
"Hayo maneno ni mbinu tu,kuna mtu anapotezwa hapo"
Wewe umtegemee mtu halafu unaemtegemea ndio awe anateseka uliliona wapi?Mind games, maneno yake hayasadifu vitendo vyake. Hata China na Urusi na hao Waarabu wanamtegemea USA
Maumivu yakizidi onana na DaktariKwa hiyo kama Urusi ni tajiri inakusaidia nini,au kuna mgao wa fedha huwa wanakipa?
Hiyo itawezekana kweli? Tukubali. Lakini watauza mafuta yao wapi kwa sababu chumi zao zimejikita zaidi katika kuuza mafuta na gesi asilia. Na Marekani likiwa soko kubwa. Pengine soko la uchina litawaokoa. Tukumbuke soko la uchina ndilo vile vile tegemeo kuu la Urusi kama vikwazo vitaendelea.Uchumi wa marekan kweli Kama waarabu wanakua wamoja na kuungana waweke vikwazo vya mafuta Marekani anakua hana lolote