Biden asema anaheshimu uamuzi wa Mahakama baada ya Mwanawe kukutwa na hatia ya Makosa ya Uhalifu wa Bunduki

Biden asema anaheshimu uamuzi wa Mahakama baada ya Mwanawe kukutwa na hatia ya Makosa ya Uhalifu wa Bunduki

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Rais Joe Biden amesema ataheshimu uamuzi wa Kisheria wa Mahakama baada ya mwanawe kupatikana hatia katika Makosa Matatu ya uhalifu wa bunduki ambaye anakabiliwa na kifungo cha hadi Miaka 25 jela

Jopo la Majaji 12 lilimkuta Hunter Biden (54) na hatia ya kusema uwongo kuhusu matumizi yake ya Dawa za kulevya aina ya #Cocaine kwenye fomu wakati akinunua bunduki mwaka 2018.

Ushahidi kutoka kwa Mke wake wa zamani, Kathleen Buhle, na mpenzi wa zamani, Zoe Kestan, picha na Video ulithibitisha Hunter mara kwa mara alikuwa akitumia Dawa Za Kulevya, matumizi yaliyoleta athari kwa marafiki na familia yake

........

Biden vows to respect guilty verdict in son's gun trial

US President Joe Biden has said he will respect a jury’s decision to find his son guilty of gun crimes, after a week-long trial that laid bare a tumultuous time for the family.
The 12-person jury found Hunter Biden, 54, guilty of lying about his drug use on a form while purchasing a handgun in 2018. He faces possible jail time following the verdict, which marked the first criminal prosecution of a sitting president’s child.

His conviction on all three felony counts comes as President Biden campaigns for re-election in November, and less than two weeks after his election rival Donald Trump was himself convicted of a crime in New York.

While President Biden did not attend the trial in Delaware, many family members including First Lady Jill Biden did so regularly. Hunter Biden’s wife, sister and uncle were all present at times to support him during proceedings.

President Biden flew to Wilmington, Delaware, after the verdict where he greeted and hugged his son on the tarmac.

“I am the president, but I am also a dad. Jill and I love our son, and we are so proud of the man he is today,” he said in a statement. Mr Biden added that he would “accept the outcome of this case and… continue to respect the judicial process as Hunter considers an appeal”.

President Biden earlier ruled out pardoning his son, whose trial aired embarrassing details as prosecutors sought to show he was using crack cocaine at the time he bought the gun.

Jurors heard from his ex-wife, Kathleen Buhle, and a former girlfriend, Zoe Kestan, who described frequent drug binges that took a toll on his friends and family.

Text messages detailing his addiction and photographs, some showing a half-naked Hunter Biden, were also shown to the court.

Source: BBC
 
  • Thanks
Reactions: I M
Wanasema tu hivo for public consumption ila badaye inaenda kumtafutia unafuu wa hukumu hawezi kufungwa kihivyo.
 
Next US election:

A presidential candidate whose son is a convicted felon against a candidate who is a convicted felon himself.
 
Back
Top Bottom